Naitwa Analyse, na hii ndio safari yangu ya maisha...

Endelea mkuu, naamini unaelekea kwenye kutoboa, kama sio ushatoboa kabisa
 
Hiyo sehemu ya kwanza umesema hela uliibiwa mpaka mzee kesho alikusaidia hela ya chai na nauli!

Halafu mwishoni unamalizia kama baada ya kufika ubungo ulinunua vocha umpigie huyo ndugu yako! Hela ulitoa wapi mkuu?

Umechemka haswaaaa DUH!!!!
kumbe nawe wale wale wanaopenda kupinga ya watu.. tena huyu ni story yake mwenyewe anasumulia. muonekana mnayajua sana kila kitu humu.. kumbe pwaaa.. eeeeeh.. huwa nawapita ila hii ya true story imebidi nikuambie uwe unatulia shaaaa..

Makubwa.. nauli aliyopewa ilibidi ujiongeze.
Mazoea mazoea mimi naweza msaidia mtu 10 elfu nikijua anenda kupanda basi safari moja.. zilizobaki ni atajiju nazo. Ungekuwa wa hivyo usingejichemsha aiseeee duh!!!
 
Na hiii nayo kalii eeeheee ikaweje mkuu
 
Nimesubiri sioni muendelezo..
..ngoja nikafanye kazi za watu, nisijekutana na yaliyomkuta ndugu Analyse kwenye ile kazi ya kulisha mifugo ya yule bwana.. au kwa lile bomba la Don.
Nitarudi jioni kufuata muendelezo.
.
.
.
 
Kumbe miaka ya 2003 ivi ndiyo umezaliwa ?
Maana condom zimekuja juzi juzi tu
 
Na hiii nayo kalii eeeheee ikaweje mkuu
Bmkubwa alizimia.... Kuna mdogo wangu wakike alilia hatari, simu yangu ikaanza kupigwa kwafujo zote manamba mageni ndio usiseme nikawa nawachora2 sikupokea. Baada yamda nikamtafuta msela nikampanga akawa kapiga namba yamdingilili akamueleza kuwa walikuta nimejinyonga nawakanichukua kunipeleka hsptl, nilipofikishwa hsptl wakagundua sijafa ila nilikuwa nimezimia. Ndo sasa nikaanza kuwaendesha navyotaka mimi mtoto nikageuka kuwa mkubwa nawenyewe wakageuka watoto
 

Mkuu utakuwa unalaana wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…