Nyafwili JF-Expert Member Joined Nov 27, 2023 Posts 4,240 Reaction score 10,561 Nov 27, 2023 #1 Habari wakuu, Nimejiunga na JamiiForums leo tarehe 27/11/2023. Naomba kukaribishwa kwenye jukwaa.
Active Content Quality Controller JF Staff Joined Jan 30, 2008 Posts 786 Reaction score 1,555 Nov 27, 2023 #2 Karibu sana Jukwaani.
Nyafwili JF-Expert Member Joined Nov 27, 2023 Posts 4,240 Reaction score 10,561 Nov 27, 2023 Thread starter #4 Active said: Karibu sana Jukwaani. Click to expand... Asante sana mkuu
mshamba_hachekwi JF-Expert Member Joined Mar 3, 2023 Posts 20,704 Reaction score 66,337 Nov 27, 2023 #5 Usije ukaweka picha yako hapa Nyafwili watakubeza na kukucheka. Karibu.
Nyafwili JF-Expert Member Joined Nov 27, 2023 Posts 4,240 Reaction score 10,561 Nov 27, 2023 Thread starter #6 shadrackAmri said: jitambulishe unaishiwapi picha yako weka tukuone ili tuweze kukupokea mkuu Click to expand... πππ, nimeangalia threads kadhaa lakini sijaona members wanatuma pictures za utambulisho.
shadrackAmri said: jitambulishe unaishiwapi picha yako weka tukuone ili tuweze kukupokea mkuu Click to expand... πππ, nimeangalia threads kadhaa lakini sijaona members wanatuma pictures za utambulisho.
Nyafwili JF-Expert Member Joined Nov 27, 2023 Posts 4,240 Reaction score 10,561 Nov 27, 2023 Thread starter #7 Shivo32 said: Karbu Click to expand... Asante sana mkuu,
monopoly inc JF-Expert Member Joined Dec 20, 2016 Posts 5,256 Reaction score 11,377 Nov 27, 2023 #8 mshamba_hachekwi said: Usije ukaweka picha yako hapa Nyafwili watakubeza na kukucheka. Karibu. Click to expand... Mshamba hachekwi
mshamba_hachekwi said: Usije ukaweka picha yako hapa Nyafwili watakubeza na kukucheka. Karibu. Click to expand... Mshamba hachekwi
Nyafwili JF-Expert Member Joined Nov 27, 2023 Posts 4,240 Reaction score 10,561 Nov 27, 2023 Thread starter #9 shadrackAmri said: mimi ndio kilanja mkuu humu wekapicha yako chap tukuone mwenzetu Click to expand... Kesho nitatuma picha nikipiga studio, Maana simu yangu camera ni mbovu,
shadrackAmri said: mimi ndio kilanja mkuu humu wekapicha yako chap tukuone mwenzetu Click to expand... Kesho nitatuma picha nikipiga studio, Maana simu yangu camera ni mbovu,
Alez von lumor JF-Expert Member Joined Nov 4, 2023 Posts 516 Reaction score 1,474 Nov 27, 2023 #10 Karibu mkuu hii ndio jamiiforums kuna kila aina ya watu, mada na tabia unazozijua ww ila angalia usipigwe ban tu
Karibu mkuu hii ndio jamiiforums kuna kila aina ya watu, mada na tabia unazozijua ww ila angalia usipigwe ban tu
MENEMENE TEKERI NA PERESI JF-Expert Member Joined Mar 11, 2022 Posts 5,392 Reaction score 14,646 Nov 27, 2023 #11 Nyafwili said: Habari wakuu, Nimejiunga na JamiiForums leo tarehe 27/11/2023. Naomba kukaribishwa kwenye jukwaa. Click to expand... Mambo vipi Nyafwili wewe ni ke au me ? Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Nyafwili said: Habari wakuu, Nimejiunga na JamiiForums leo tarehe 27/11/2023. Naomba kukaribishwa kwenye jukwaa. Click to expand... Mambo vipi Nyafwili wewe ni ke au me ? Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
OKW BOBAN SUNZU Platinum Member Joined Aug 24, 2011 Posts 53,868 Reaction score 121,001 Nov 27, 2023 #12 Kama ni dada tutakupokea
Nyafwili JF-Expert Member Joined Nov 27, 2023 Posts 4,240 Reaction score 10,561 Nov 27, 2023 Thread starter #13 SAN JEN KARIZ said: Karibu mkuu hii ndio jamiiforums kuna kila aina ya watu, mada na tabia unazozijua ww ila angalia usipigwe ban tu Click to expand... Shukran mkuu, noted, jamii Forum kwa sasa ipo trend sana...
SAN JEN KARIZ said: Karibu mkuu hii ndio jamiiforums kuna kila aina ya watu, mada na tabia unazozijua ww ila angalia usipigwe ban tu Click to expand... Shukran mkuu, noted, jamii Forum kwa sasa ipo trend sana...
Nyafwili JF-Expert Member Joined Nov 27, 2023 Posts 4,240 Reaction score 10,561 Nov 27, 2023 Thread starter #14 SAN JEN KARIZ said: Karibu mkuu hii ndio jamiiforums kuna kila aina ya watu, mada na tabia unazozijua ww ila angalia usipigwe ban tu Click to expand... π€π€, Asante sana kwa kunipa taarifa, jamaa anataka kunipeleka chaka ππ
SAN JEN KARIZ said: Karibu mkuu hii ndio jamiiforums kuna kila aina ya watu, mada na tabia unazozijua ww ila angalia usipigwe ban tu Click to expand... π€π€, Asante sana kwa kunipa taarifa, jamaa anataka kunipeleka chaka ππ
lukesam JF-Expert Member Joined Feb 23, 2015 Posts 12,661 Reaction score 26,457 Nov 27, 2023 #15 shadrackAmri said: mimi ndio kilanja mkuu humu wekapicha yako chap tukuone mwenzetu Click to expand... Kiranja. Huko shuleni mlienda kusomea ujinga?
shadrackAmri said: mimi ndio kilanja mkuu humu wekapicha yako chap tukuone mwenzetu Click to expand... Kiranja. Huko shuleni mlienda kusomea ujinga?
Papaa Gx JF-Expert Member Joined Oct 10, 2016 Posts 11,097 Reaction score 17,929 Nov 27, 2023 #16 Jinsia yako?
Nyafwili JF-Expert Member Joined Nov 27, 2023 Posts 4,240 Reaction score 10,561 Nov 27, 2023 Thread starter #17 shadrackAmri said: weekama sio leej sijui Click to expand... Hapana mkuu, Naitwa Nyafwili, ni mgeni kabisa hapa jamii Forum , ingawa nime follow JF Channel kwenye whatsapp
shadrackAmri said: weekama sio leej sijui Click to expand... Hapana mkuu, Naitwa Nyafwili, ni mgeni kabisa hapa jamii Forum , ingawa nime follow JF Channel kwenye whatsapp
Nyafwili JF-Expert Member Joined Nov 27, 2023 Posts 4,240 Reaction score 10,561 Nov 27, 2023 Thread starter #18 MENEMENE TEKERI NA PERESI said: Mambo vipi Nyafwili wewe ni ke au me ? Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app Click to expand... Mimi ni Male kiongozi,
MENEMENE TEKERI NA PERESI said: Mambo vipi Nyafwili wewe ni ke au me ? Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app Click to expand... Mimi ni Male kiongozi,
Nyafwili JF-Expert Member Joined Nov 27, 2023 Posts 4,240 Reaction score 10,561 Nov 27, 2023 Thread starter #19 OKW BOBAN SUNZU said: Kama ni dada tutakupokea Click to expand... Mkuu, Wanaume Hatuluhusiwi kupokelewa hapa jf,
OKW BOBAN SUNZU said: Kama ni dada tutakupokea Click to expand... Mkuu, Wanaume Hatuluhusiwi kupokelewa hapa jf,
Nyafwili JF-Expert Member Joined Nov 27, 2023 Posts 4,240 Reaction score 10,561 Nov 27, 2023 Thread starter #20 Papaa Gx said: Jinsia yako? Click to expand... Mi ni Dume kiongozi,