Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fwili ndiyo version 2.O ya Phili auAsante sana mkuu, Nyafwili ni jina la kiluga hilo [emoji3578][emoji3578]
Kuna Nyafwili, mafwili, na fwili. [emoji120][emoji120]
Ndo akina nani hao[emoji1][emoji1], kumbe humu hata kuwa tafuta akina sinyorita ni mgumu???
Hao ukimuelewa unamwendea PM mnaongea huko siyo hapa hadharani.Pm unaclick kwenye jina lake itakuletea messege mwandikie hapo.Watoto wazuri mkuu [emoji848]
PoaNoted mkuu [emoji3578][emoji3578][emoji3578][emoji3578],
We karibu tu ,kutana na kina mshana humu wanajua hata kaburi utalozikwa huku hawajui uko wapi.Habari wakuu,
Nimejiunga na JamiiForums leo tarehe 27/11/2023. Naomba kukaribishwa kwenye jukwaa.
[emoji23]daahKijana.. huku sio FB ukiweka utumbo hauwezi kuufuta.
Na tutautumia huo utumbo kama reference mara kwa mara pale tutakapokuwa na Mashaka na Akili yako.
Nashindwa kufungua private messege bossKaribu sana Jukwaani.