Naitwa Nyafwili, Naomba mnipokee hapa JF

Naitwa Nyafwili, Naomba mnipokee hapa JF

Kijana.. huku sio FB ukiweka utumbo hauwezi kuufuta.

Na tutautumia huo utumbo kama reference mara kwa mara pale tutakapokuwa na Mashaka na Akili yako.
😀😀 Siwezi kuweka utumbo mkuu, wala mkia
 
Barua ya mwenyekiti
Mtendaji
Passport nne
Muhuri wa mwanasheria
Cheti cha la saba mpaka chuo

Viko wapi
 
Back
Top Bottom