Alez von lumor
JF-Expert Member
- Nov 4, 2023
- 516
- 1,474
Anytime my man! and if you're a woman then once again you're welcome🤒🤒, Asante sana kwa kunipa taarifa, jamaa anataka kunipeleka chaka 😀😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anytime my man! and if you're a woman then once again you're welcome🤒🤒, Asante sana kwa kunipa taarifa, jamaa anataka kunipeleka chaka 😀😀
Karibu sana mkuu NyafwiliHabari wakuu,
Nimejiunga na JamiiForums leo tarehe 27/11/2023. Naomba kukaribishwa kwenye jukwaa.
rekebisha nahapa ticha👉qummmmmaqo
Chilio Mafwili (me) nyafwili (ke).Habari wakuu,
Nimejiunga na JamiiForums leo tarehe 27/11/2023. Naomba kukaribishwa kwenye jukwaa.
😂😂😂😂🤣 na cheti cha kuzaliwajitambulishe unaishiwapi picha yako weka tukuone ili tuweze kukupokea mkuu
Sawa.Huku kwetu basi ni tofauti mkuu 😀
Kilanja siumepita age yakukosea matamshi sasa hii kilanja inatokea wapi??mimi ndio kilanja mkuu humu wekapicha yako chap tukuone mwenzetu
Hii ni safi hata mie nimemchamba kilanja ndio nini??Kiranja.
Huko shuleni mlienda kusomea ujinga?
Sawa ila hapaswi kujisahau na anawajukuuTumsamehe, atakua mzee wa makamo. ✍️✍️