Naitwa Nyafwili, Naomba mnipokee hapa JF

Naitwa Nyafwili, Naomba mnipokee hapa JF

Karibu bwana Nyafwili,..pia MIMI ndo MGANGA wao humu ndani,..lipia 50,000 nikutengenezee dawa ya kutopigwa BAN.,..pia ntasafisha nyota yako upendwe na mabint wooote humu JF.,..🤭🤭
😄😄, mkuu huku kijijini kwetu tunasafisha nyota kwa shilling 2000 tu, na moja wa njano.
 
Udume wako unatia shaka sana, japo sina sababu za msingi. Anyway tukubali tu kuwa na wewe ni dume
Asante sana mkuu, Nyafwili ni jina la kiluga hilo ✍️✍️
Kuna Nyafwili, mafwili, na fwili. 🙏🙏
 
Back
Top Bottom