Naitwa Nyafwili, Naomba mnipokee hapa JF

bwana nyafwiri hapa jf ukiwa mwongo jifunze kuwa na kumbukumbu kuna kitu kinaitwa kufukua makaburi. Kila wakati kuwa makin na unachoandika kuna watu wamekimbia ID zao.
Mwisho kabisa kama huna gari nunua maana wanaume wote humu JF tuna ndinga kali na sio bebiwoka.
 
Kipato changu bado ni kidogo mkuu, nikipata pesa nitanunua ndingaπŸ™πŸ™
 
Karibu bwana Nyafwili,..pia MIMI ndo MGANGA wao humu ndani,..lipia 50,000 nikutengenezee dawa ya kutopigwa BAN.,..pia ntasafisha nyota yako upendwe na mabint wooote humu JF.,..🀭🀭
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…