ππ, mkuu huku kijijini kwetu tunasafisha nyota kwa shilling 2000 tu, na moja wa njano.Karibu bwana Nyafwili,..pia MIMI ndo MGANGA wao humu ndani,..lipia 50,000 nikutengenezee dawa ya kutopigwa BAN.,..pia ntasafisha nyota yako upendwe na mabint wooote humu JF.,..π€π€
Ndo hivyo sasa, mafwili mwanaume, nyafwili mwanamke. Sasa unakuwaje jike dume?Huku kwetu basi ni tofauti mkuu π
Huyo UMUGHAKA ni popoma anajua kila mtu mkurya humu jf.Umenitupa mbali mkuu π€
Karibu, umri wako tafadhari!Hapana mkuu, huku kijijini kwetu,, Nyafwili ndo dume.. βοΈβοΈ
Hii ni safi hata mie nimemchamba kilanja ndio nini??
naona unajikaribisha. Ung akaunti ngapi JamiiForums ?Karibu mkuu hii ndio jamiiforums kuna kila aina ya watu, mada na tabia unazozijua ww ila angalia usipigwe ban tu
Karibu kwenye hii jamuhuri yetu ya JF.Habari wakuu,
Nimejiunga na JamiiForums leo tarehe 27/11/2023. Naomba kukaribishwa kwenye jukwaa.
Huu ushauri usiupokee.JF hatujuani majina ,sura wala unapokaa.Labda mfikie mambo ya kulana kimasiharajitambulishe unaishiwapi picha yako weka tukuone ili tuweze kukupokea mkuu
Haya vua viatu kaa kwenye mkeka hapo wote humu ni familia moja heshimu mawazo ya kila mmoja karibu sana'Habari wakuu,
Nimejiunga na JamiiForums leo tarehe 27/11/2023. Naomba kukaribishwa kwenye jukwaa.
Karibu sanaShukran sana mkuu, [emoji3578][emoji3578][emoji3578]