Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 7,672
- 9,039
Nafahamu fika Hayati John Magufuli hatarudi duniani. Hata hivyo, kulingana na wanavyomjadili wabaya na wapenzi wake na yale yote mazuri na mabaya aliyotenda kama binadamau, bado tuko naye kiroho kama siyo kihistoria.
Katika kuwa-assess viongozi wetu walio hai ili wajue hisia zetu na wajirekebishe au kuongeza ufanisi, kama leo ingetokea tukawapambanisha watatu hawa katika kinyang'anyiro cha kumsaka anayefaa kutuongoza na kulinda raslimali zetu, ungemchagua nani.
Kumbuka hii ni hypothesis inayolenga kuwapa tahadhali na somo viongozi wetu. Twende kazini.
Katika kuwa-assess viongozi wetu walio hai ili wajue hisia zetu na wajirekebishe au kuongeza ufanisi, kama leo ingetokea tukawapambanisha watatu hawa katika kinyang'anyiro cha kumsaka anayefaa kutuongoza na kulinda raslimali zetu, ungemchagua nani.
Kumbuka hii ni hypothesis inayolenga kuwapa tahadhali na somo viongozi wetu. Twende kazini.