Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Ona aibu basi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ona aibu basi
Kwani uongo muhishimiwa?Na wanajua hilo lipo wazi kama geti la mali mbichi.😂😂😂
Huyo ni die-hard pumpkin head!Ona aibu basi
😅😅😅Huyo ni die-hard pumpkin head!
Mpka 2040Mama aendelee.
Lissu anawashinda wengine kwa mbali sana.Nafahamu fika Hayati John Magufuli hatarudi duniani. Hata hivyo, kulingana na wanavyomjadili wabaya na wapenzi wake na yale yote mazuri na mabaya aliyotenda kama binadamau, bado tuko naye kiroho kama siyo kihistoria.
Katika kuwa-assess viongozi wetu walio hai ili wajue hisia zetu na wajirekebishe au kuongeza ufanisi, kama leo ingetokea tukawapambanisha watatu hawa katika kinyang'anyiro cha kumsaka anayefaa kutuongoza na kulinda raslimali zetu, ungemchagua nani.
Kumbuka hii ni hypothesis inayolenga kuwapa tahadhali na somo viongozi wetu. Twende kazini.
View attachment 2693542
Nikikumbuka watu walivyouawa Mtwara kwenye sakata la gesi na kinachoendelea huko Sasa hivi nabaki kusema Mungu hamfichi Mnafiki.Siku moja wengi wataning'iniza vichwa vyao kwa aibu watakapogundua uovu walioutetea na mashujaa waliowakejeli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hivi anateseka motoni kwa dhambi ya utekajiUshindi wa Magu ni wa Mbinguni na Duniani.
Wenzio wanapigania bikira 72 na wewe ilishatokaUnamaanisha Uislam? Hiyo siyo siri, upo sahihi 100% Najivunia Uislam wangu.
Wewe unajivunia nini?
Uwelewa utaleta changamoto katika hoja yako,meng'enya kidogo wenye meno za mipira waweze kutafunaSiku moja wengi wataning'iniza vichwa vyao kwa aibu watakapogundua uovu walioutetea na mashujaa waliowakejeli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nani alikiudanganya, idadi ndogo sana hiyo, hakuna idadi ni uwezo wako tu, kama 100 au 200 au 1000. Upendavyo.Wenzio wanapigania bikira 72 na wewe ilishatoka
Choko nani kati yako naye anayetukana hata marehemu?Magufuli choko tu yule.