Najichukia kwa hili tatizo langu la ngozi, nimekosa mwenza

Sikuja kuhubiri dini au dhehebu bali kumsaidia huyu dada. Ningepende kusikia maoni yake kuliko maoni ya mtu yeyote asiyehusika
 
Hayo mafuta yanapatikana wapi ndugu?
 
Utakua na alegy na kitu na bado hujajua ni kitu gani, ni mbaya sana hio. jaribu kwenda kwa madaktari wa ngozi watakusaidia tatizo lako
 
Utakua na alegy na kitu na bado hujajua ni kitu gani, ni mbaya sana hio. jaribu kwenda kwa madaktari wa ngozi watakusaidia tatizo lako
sawa asante...ila mara nyingi hua wanasema ni vigumu kujua ni allergy ya nini
 
Hayo mafuta yanapatikana wapi ndugu?

Mafuta ya mizeituni (olive oil) yanapatikana kwenye maduka ya dawa na maduka ambayo yapo karibu na makanisa, kariakoo . Na maeneo mengi tu yanapatikana kwa bei nzuri tu kwa ujazo wa aina tofauti.
 
Mafuta ya mizeituni (olive oil) yanapatikana kwenye maduka ya dawa na maduka ambayo yapo karibu na makanisa, kariakoo . Na maeneo mengi tu yanapatikana kwa bei nzuri tu kwa ujazo wa aina tofauti.
nilisha wahi sikia nitayatafuta
 
Umenikumbusha hadith ya Chaupele na ile ya Cinderella.

Chaupele kumbe ile ngozi alikuwa anaivaa tu na akiivua usiku hung'ara kama almasi... Mdada tafuta dawa ni kweli Wanaume wakiona Mdada ana tatizo fulani kubwa husepa fasta ila Jaribu kula vyakula vyenye virutubisho vingi pia pima kama una areji vya vitu kadhaa mwilini mwako haswa Nyama zote jiepushe nazo kula uone kama pesa ya vipimo huna
 
Masada BUTU alikuambia hajaokoka au anataka Tiba Imani Za MZEE WA upako A. K. A bapa ni shida
 
Weka picha ili tuamini, tusijue unatania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…