Najihisi kama muuaji ila inabidi nifanye

Najihisi kama muuaji ila inabidi nifanye

Hivi kumbeee ulipata mimbaa siku ileee,Sasa nakupa taarifa ukienda kuitoa hiyo mimbaa ufee nayooooo.....zakwetu hazitolewi.alfuu kwani usinge niambia kwani nashindwa kuileaaa
 
Tutasema tu na hatuachi...
Ukizaa-Single mother
Ukitoa-Umeua

Mshirikishe mwenzio muyamalize na mumlee mwanenu. Maisha yenyewe yako wapi?
 
Inaonekana wee hujawai hta kusikia neno bahati mbaya kwenye maisha. Vitu vingine vina tokea bila mpango
Hata hii ya pretty ilikua bahati mbaya na haikupangwa na nlikua nasoma kama wewe na mazingira ya mahusiano kama yako!😂
Anyway.. it's between you and your God ambae unamwomba zoezi lako liende salama!
 
Mimi kama member mwenzio wa hapa jamvini,
Nakuombea unapotekeleza utoaji wa hicho kiumbe na wewe ufe hapohapo,,Asante.
 
We juzi hapa ndo ulikua unachakata huku na huku??sasa utajuaje km hiyo ni ya huyo pimbi au pimbi mwingine.
Nyie ni mashetani ndo mana mi sina time kabisa,nakula simbilisi yoyote nnapohitaji natoka baru.
 
Kwa staili hii huna budi kula na wakwenu??? [emoji116]

 
Nngemwambia mama asingekubali nitoe alafu asingekaa kimya angemwambia tu mwezangu. Yeye ajui km kuna matatizo kati yetu
Hata humpendi hiyo mtu, umefuata vihela vyake na upo kimaslahi. Pia huyo mtu wako bado hajakufahamu kuwa upo kimaslahi ila sisi tumeshakufahamu. Namuombea aoneshwe hata rohoni au ndotoni tu, namuonea huruma huyo mzee, anachunwa tu.


Kifupi wewe ni jeuri, mjuaji, kiburi, unajifanya ni wa kisasa, huna adabu, unajifanya pisi kali na unafosi kuishi kama upo mamtoni.

Kifupi hufai kuwa gf wala mke, narudia naomba huyo mtu aoneshwe tu kuwa yupo na gold digger.
 
Yaani unaandika kwa bashasha kabisa kwamba unaenda kumchinja mtoto wako?,ikiwa unaona Soni kuwaambia watu kwamba nakwenda "kunya", kwanini hauna Hofu juu ya hili la kuua mtoto wako aliyepo tumboni??

Unataka uombewe vipi ufanye mauaji kwa mafanikio zaidi au?
 
Sipo okay kabisa physically, psychologically & emotionally sipo sawa na najua nafanya kosa kubwa sana ila inabidi nfanye.

Nna ujauzito wa 4 weeks lakin kesho Mungu akipenda naenda kutoa. Nafanya ivi bila kumshirikisha my fiance wala familia yngu. Hakuna mtu anajua km ni mjamzito zaidi ya rafiki yangu.

Hyu mchumba wngu tume engaged mwaka huu mwezi wa nne. Tokea tuwe engaged kumekua na kutoelewana mara kwa mara tunatofautiana mitazamo na malengo. Mara ya mwisho tumekorofishana tuka kaa wiki 3 bila kuongea hakuna mtu anampigia simu mwenzake au message. Tukaja kupatana na ndio nmepata mimba.

Sina mpango wa kuzaa kwa sasa kwan bado nasoma pia umri wngu hauruhusu bado nna safari ndefu ktk maisha. Kwanza mtu mwenyewe anahisi simpendi yeye napenda pesa zke tu kisa tunatofautiana malengo.

Kuwa na mahusiano na mtu aliekuzidi miaka mingi ni kazi sana kwasababu wakati wee unahisi mda wa kufanya kitu fulani haujafika mwezako anahisi ndo mda sahihi kwake kufanya ivo. Anyways, kesho naenda kuitoa hii mimba niombeeni maombi kla ktu kiende sawa
Kweli psychology yako haiko sawa, how do you even involve GOD on this. Mtoto ni baraka, kuua ni laana.
 
Unatetea kuitoa mimba na Id nyingine kweli umeamua!!.
Wewe nani kakuambia kutoa mimba ni kuua???---- kuna andiko lolote la dini au sheria ya nchi inasema kutoa mimba ni kuua???

NB: mimi sina haja ya sababu zako zinazopelekea kutoa mimba, mimi swali langu ni kuhusu kuoanisha utoaji mimba na uuaji.
 
Mimi naona utakuwa wewe ndio mtoa mimba na unajitafutia kauhalali ka hiyo kazi yako.
Uhai ni uhai iwe independent au iwe dependent. Ile kujua kusudi la Mungu, kwenda kinyume ni dhambi siyo lazima viandikwe katika biblia na misahafu. Kukatisha uhai ni kuua. Hakuna jina lingine kwa jambo hilo.
 
wadada sikieni basi, acheni kupenda wanaume wenye pesa pendeni wanaume wenye malengo

mtaepuka vitu vingi sana na mtafaidi vitu vingi sana.
 
Hatuombi ng'ooo
Sipo okay kabisa physically, psychologically & emotionally sipo sawa na najua nafanya kosa kubwa sana ila inabidi nfanye.

Nna ujauzito wa 4 weeks lakin kesho Mungu akipenda naenda kutoa. Nafanya ivi bila kumshirikisha my fiance wala familia yngu. Hakuna mtu anajua km ni mjamzito zaidi ya rafiki yangu.

Hyu mchumba wngu tume engaged mwaka huu mwezi wa nne. Tokea tuwe engaged kumekua na kutoelewana mara kwa mara tunatofautiana mitazamo na malengo. Mara ya mwisho tumekorofishana tuka kaa wiki 3 bila kuongea hakuna mtu anampigia simu mwenzake au message. Tukaja kupatana na ndio nmepata mimba.

Sina mpango wa kuzaa kwa sasa kwan bado nasoma pia umri wngu hauruhusu bado nna safari ndefu ktk maisha. Kwanza mtu mwenyewe anahisi simpendi yeye napenda pesa zke tu kisa tunatofautiana malengo.

Kuwa na mahusiano na mtu aliekuzidi miaka mingi ni kazi sana kwasababu wakati wee unahisi mda wa kufanya kitu fulani haujafika mwezako anahisi ndo mda sahihi kwake kufanya ivo. Anyways, kesho naenda kuitoa hii mimba niombeeni maombi kla ktu kiende sawa
 
Sipo okay kabisa physically, psychologically & emotionally sipo sawa na najua nafanya kosa kubwa sana ila inabidi nfanye.

Nna ujauzito wa 4 weeks lakin kesho Mungu akipenda naenda kutoa. Nafanya ivi bila kumshirikisha my fiance wala familia yngu. Hakuna mtu anajua km ni mjamzito zaidi ya rafiki yangu.

Hyu mchumba wngu tume engaged mwaka huu mwezi wa nne. Tokea tuwe engaged kumekua na kutoelewana mara kwa mara tunatofautiana mitazamo na malengo. Mara ya mwisho tumekorofishana tuka kaa wiki 3 bila kuongea hakuna mtu anampigia simu mwenzake au message. Tukaja kupatana na ndio nmepata mimba.

Sina mpango wa kuzaa kwa sasa kwan bado nasoma pia umri wngu hauruhusu bado nna safari ndefu ktk maisha. Kwanza mtu mwenyewe anahisi simpendi yeye napenda pesa zke tu kisa tunatofautiana malengo.

Kuwa na mahusiano na mtu aliekuzidi miaka mingi ni kazi sana kwasababu wakati wee unahisi mda wa kufanya kitu fulani haujafika mwezako anahisi ndo mda sahihi kwake kufanya ivo. Anyways, kesho naenda kuitoa hii mimba niombeeni maombi kla ktu kiende sawa
Yaani sie tukuombee uende kufanya mauaji?! We vipi?

Huo msalaba ni wako utajua wewe na Mungu.
 
Back
Top Bottom