Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
Tatizo hata baadhi ya shughuli zangu bila kuwepo online haziendiTafuta mbadala itasaidia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo hata baadhi ya shughuli zangu bila kuwepo online haziendiTafuta mbadala itasaidia.
Kwa kweli, kuna wakati hata mwenyewe nahisi it's too much. Nikae idle bila kushika simu?🤣🤣Nimefurahi kuona siko pekeyangu
Nimejaribu kila namna nimeshindwa.. Nimejikubali tu siwezi kukaa bila kushika simuKwa kweli, kuna wakati hata mwenyewe nahisi it's too much. Nikae idle bila kushika simu?🤣🤣
Tatizo hata baadhi ya shughuli zangu bila kuwepo online haziendi
Walau umenitia moyoKila kitu kitawezekana kwa jitihada na pia kama kazi zako bila kuwa online haziendi hilo halihusiani na uraibu.
Hapana kitabu huwezi soma siku nzima au movie. Kuna muda akili itachoka utaacha, ila social medias unaweza kodoa 12 hours.Hapo umebadili aina ya uraibu tuu
Halafu ile simulizi yako ya Bi. Chambo imefutwa au waraibu ndiyo wanaiona tu?Walau umenitia moyo
Ilifutwa, nilivunjika moyo Sana.. nitaweka upya TenaHalafu ile simulizi yako ya Bi. Chambo imefutwa au waraibu ndiyo wanaiona tu?
Kuweka Wifi nyumbani ni sawa na kuletea watoto mashine ya kufuliaImefikia hatua siku hizi hata familia na wanandoa hawanaa ukaribu, kuzungumza na upendo umepungua kwa sababu kila mtu akirudi nyumbani yuko busy na smartphone yake. Kitu mbaya sana kwa afya ya ndoa
Duh pole.Ilifutwa, nilivunjika moyo Sana.. nitaweka upya Tena
Asante, kawaidaDuh pole.
Umetusema kabisa yani, ndivyo ndoa nyingi zilivyo nowadays.Imefikia hatua siku hizi hata familia na wanandoa hawanaa ukaribu, kuzungumza na upendo umepungua kwa sababu kila mtu akirudi nyumbani yuko busy na smartphone yake. Kitu mbaya sana kwa afya ya ndoa
We kiboko, I can't you. Mi kukaa bila bando week ni mara nyingi tu. Hua nahisi mtu akinicheck wasap akiona kimya atanipigia tu kama ni muhimu.Sidhani kama kuna siku nishawahi kua offline [emoji2][emoji2][emoji2356][emoji2356], labda nipoteze simu napo hazitazidi siku mbili lazima nirudi tena
Mimi nimeshindwa kwakweli 😌😌We kiboko, I can't you. Mi kukaa bila bando week ni mara nyingi tu. Hua nahisi mtu akinicheck wasap akiona kimya atanipigia tu kama ni muhimu.
Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
HakikaKuweka Wifi nyumbani ni sawa na kuletea watoto mashine ya kufulia
Inasikitisha sana mkuuUmetusema kabisa yani, ndivyo ndoa nyingi zilivyo nowadays.
Huyu ni mimi kabisaTangu mwaka huu uanze sikumbuki siku ambayo nilikuwa offline, Nina biashara zangu na kazi sio kwamba nipo idle.
Yani uwe na smartphone halafu ukose data waweza kuhisi unakosa mahitaji ya msingi, ukifika hii stage jijue ushaanza kuwa mraibu.
Matumizi ya data napenda kuingia Youtube kufatilia habari za Millard Ayo na channels nyingine zinazojielewa, Napenda kuiingia whatsapp kuangalia status, Twitter kufatilia habari za kimataifa, kuperuzi jamiiforums, usiku napenda kucheki tamthilia ama documentary, n.k.
TIKTOK niliitoa, ukitaka kujua maana ya kupoteza muda bila faida tumia hii app.
Wangapi mmeweza kupiga kavu siku nzima bila net