mimimnyenyekevu
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 737
- 1,002
Huyu ni mimi kabisaSidhani kama kuna siku nishawahi kua offline [emoji2][emoji2][emoji2356][emoji2356], labda nipoteze simu napo hazitazidi siku mbili lazima nirudi tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu ni mimi kabisaSidhani kama kuna siku nishawahi kua offline [emoji2][emoji2][emoji2356][emoji2356], labda nipoteze simu napo hazitazidi siku mbili lazima nirudi tena
Hiyo mbona inafanyika sana tu, lakini ukipiga hesabu ya mda unaotumia online na unaotumia home na familia haviendani. Tupo busy sana na simi mkuu, sio sawa ila ni basi tu umeshakuwa uraibu.Inasikitisha sana mkuu
Nimejifunza kwa familia ya rafiki yangu ya wamejitia nidhamu kuna muda ukifika wanaweka simu pembeni wanapiga story na mke wake na kucheza cheza na watoto wao wadogo.
Nimeona upendo na furaha vimeongezeka.
Nikamuuliza jamaa yangu amefauluje akasema mwanzo mgumu lakini sasa hivi imekuwa kama sehemu ya maisha yao
Inatikiwa kuipa familia muda wako unaporudi nyumbani.Hiyo mbona inafanyika sana tu, lakini ukipiga hesabu ya mda unaotumia online na unaotumia home na familia haviendani. Tupo busy sana na simi mkuu, sio sawa ila ni basi tu umeshakuwa uraibu.
Labda tufanye maamuzi ya dhati kubadilisha hii tabia.