Najihisi nimekuwa mraibu, Wangapi mmeweza kutumia smartphone / laptop siku nzima bila kutumia internet ?

Imefikia hatua siku hizi hata familia na wanandoa hawanaa ukaribu, kuzungumza na upendo umepungua kwa sababu kila mtu akirudi nyumbani yuko busy na smartphone yake. Kitu mbaya sana kwa afya ya ndoa
 
Imefikia hatua siku hizi hata familia na wanandoa hawanaa ukaribu, kuzungumza na upendo umepungua kwa sababu kila mtu akirudi nyumbani yuko busy na smartphone yake. Kitu mbaya sana kwa afya ya ndoa
Umetusema kabisa yani, ndivyo ndoa nyingi zilivyo nowadays.
 
Sidhani kama kuna siku nishawahi kua offline [emoji2][emoji2][emoji2356][emoji2356], labda nipoteze simu napo hazitazidi siku mbili lazima nirudi tena
We kiboko, I can't you. Mi kukaa bila bando week ni mara nyingi tu. Hua nahisi mtu akinicheck wasap akiona kimya atanipigia tu kama ni muhimu.

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
 
Umetusema kabisa yani, ndivyo ndoa nyingi zilivyo nowadays.
Inasikitisha sana mkuu

Nimejifunza kwa familia ya rafiki yangu ya wamejitia nidhamu kuna muda ukifika wanaweka simu pembeni wanapiga story na mke wake na kucheza cheza na watoto wao wadogo.

Nimeona upendo na furaha vimeongezeka.

Nikamuuliza jamaa yangu amefauluje akasema mwanzo mgumu lakini sasa hivi imekuwa kama sehemu ya maisha yao
 
Huyu ni mimi kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…