Triple G
JF-Expert Member
- Aug 12, 2011
- 3,018
- 4,369
Wanasemaga shida ni kutangulia..sasa sijui kuna logic yoyote hapo?Hata kama hujaambukizwa vvu ,Kuna siku utakufa,huu ni ukweli unaishi nao siku zote na Wala huoni hofu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanasemaga shida ni kutangulia..sasa sijui kuna logic yoyote hapo?Hata kama hujaambukizwa vvu ,Kuna siku utakufa,huu ni ukweli unaishi nao siku zote na Wala huoni hofu
Tukumbuke leo ni December 1 siku ya.......duniani kutakuwa na propaganda nyingi, chai nyingi,........kuna watu mkate wao wanaupata kupitia hizi chai!!!!!!!!!!!!!!Napata woga kwenda kuchukua HIV test
Inaonyesha dhahiri,huna competence kwenye usomaji na uelewa wa maandiko,just imagine mtu umeshindwa kusoma kabisakabisa duuuh!Nimeshindwa kuisoma yote thread yako, haina mpangilio.
Uzi umeletwa kabla ya tarehe moja,mkuu.Amini UKIMWI upo,siyo propaganda.Tukumbuke leo ni December 1 siku ya.......duniani kutakuwa na propaganda nyingi, chai nyingi,........kuna watu mkate wao wanaupata kupitia hizi chai!!!!!!!!!!!!!!
..starehe mnazipenda ila mwisho wake mbaya, wengi wameteketea kwa kuendekeza umalaya........[emoji445]Ferooz ft Profesa Jay -Starehe
Kwaherini kwaherini kwaherini Hamtaniona tena duniani.....
Mleta mada Kula chuma hichoooo....
Umeingia kwenye gridi ya taifa...
Chai hiyoUnaweza ukaiweka hiyo screenshot ya meseji aliyokutumia huyo dada watu wa CUBA tuingie mzigoni kuchambua herufi baada ya herufi na kuja na conclusion..!
Hahahaaa...Inaonyesha dhahiri,huna competence kwenye usomaji na uelewa wa maandiko,just imagine mtu umeshindwa kusoma kabisakabisa duuuh!
Tatizo hilo.
Natamani ingekua chai kweli, au labda ingekua ndoto tu😥Tukumbuke leo ni December 1 siku ya.......duniani kutakuwa na propaganda nyingi, chai nyingi,........kuna watu mkate wao wanaupata kupitia hizi chai!!!!!!!!!!!!!!
Acha kumpa matumaini ya kusema bora...ukimwi ni ukimwi tuu bana..shida ya ukimwi ni kukosa tumaini...haya mengine ya kina kisukari unakua na matumaini..Pole sana FORTUNE JR huo ndio uamamume sasa!...
Halafu, kuwa na ngoma sio MWISHO wa maisha... Wenye ngoma wanaishi maisha mazuri mno kuliko wenye sukari...
Cha muhimu ikifika wa kati wa kutumia zire karanga ... Zingatia.
Mwenye ngoma anakula takataka zote nzuri za anasa... Na anaendelea kudunda...
Ila kisukari, kansa, BP... Kuliko uugue hayo magonjwa... Ni mara mia upate Ngoma!
Super gono😅😅😅Niliwaandikia humu kuna Gono la kiwango cha juu..a.ka Super Gono...
Pole ndugu cha msingi fata dose vzr usije ukang'ofoka dushelele...
Atambue tu huyo member mmoja asifanye aichukie jfWajumbe sijaona connection ya JF na dhambi zako, NARUDIA TENA hakuna connection ya kupata kwako gonorrhea kutokana na tamaa zako na uwepo wako humu
Ni noma nasikia...Super gono😅😅😅
Nashukuru sijawahi kutana na kiumbe chenye gono, maana nasikia ukikojoa unatafuta pa kukamatia😅
Kwa Ke inachukua mda kidogo, ila kwa Me haikupi mda, wanasema leo-kesho unaanza kusikia miwasho, utam😅😅Ni noma nasikia...
Halafu nimeshangaa kipindi cha kuupata na kuanza kutoa usaha ni very short period hivyo??only 4 days??
Wengine ni masaa tu,yaani anafanya jioni kesho mchana anaipata ya moto.Ni noma nasikia...
Halafu nimeshangaa kipindi cha kuupata na kuanza kutoa usaha ni very short period hivyo??only 4 days??