Binadamu Mtakatifu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 4,226
- 8,879
- Thread starter
- #201
Dada wenyeww shepu ya kitumbua akaaa naenda usambaani kwetuAf hayo meno yalitoka wakat atoka tarakea kunywa mbege
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dada wenyeww shepu ya kitumbua akaaa naenda usambaani kwetuAf hayo meno yalitoka wakat atoka tarakea kunywa mbege
Miguu ipo kama anaomba unga wa ugali kwa wakulimaDada wenyeww shepu ya kitumbua akaaa naenda usambaani kwetu
Yaani Sina wasiwasi na comment yako umeandika Ukweli mtupu, mostly wanawake tukiwa in love tunasikiliza Sana wapenzi zetu,ndio maana mtu alipata Mwanamme mwenye akili anafanikiwa alipata mla unga anaweza hata na yeye kula..ndio mana nikasema UNA HOJA!Ni ukweli mtupu...wapi unawasiwasi napo mama
source: trust me joannah[emoji51]
Oya gawa connection yani ninavyokuomba mshikaji dahhh oy Johnnie Walker huyu mwamba anataka zambi zote afanye mwenyeweMpare hawezi mambo haya achana nao
View attachment 2590471
Huu ushauri wako wote ni Sawa na Tone la maji tu katika Bahari ya Mapenzi. HAKI YA MUNGU NYIE ACHENI TU 🚶watu wanashindwa kuelewa kitu kimoja, binadamu wote tumeumbiwa tamaa, hakuna binadamu atakupenda kama hajavutiwa na kitu Toka kwako, yaani Kuna kitu kiwe kimemvutia, either muonekano wako au pesa zako, hakuna mtu atakupenda kwa kukuonea huruma, tena unavyolia lia ndo kabisaaa
Mahusiano yakiisha focus on yourself, jipende aisee!! Wanaume tumekua wajinga sana,mtu unahonga wanawake wakasuke kila wiki ila unakuta we huna hata saa nzuri au perfume ya kiwango! Hata kama umeoa thamini familia ila usijisahau, mwanaume fanya mazoezi jiweke nadhifu fanya kazi kwa bidii tafuta pesa, mwanamke lazima atakuchukulia kivingine, anajua akizngua msururu wa wanawake huo hapo kutaka nafasi, kwanini asikuheshimu
jiweke smart, piga tizi tafuta pesa acha kulia Lia mwanaume!!!
Ila kama umechapiwa, piga chini huyo kunguru, mimi wife nilishamwambia live, sitokaa nikuchunge sijui mambo ya kukagua simu yako, kama unataka kucheat fresh tu, ila omba sana nisije kujua! Yaani Sina msamaha hata ukileta makaika waje wakutetee
nikamwambia kabla hujafanya màamuzi ya kwenda kuliwa nje, waangalie Hawa watoto wako wawili vizuri unachoenda kufanya kitasababisha Hawa watoto waishi bila wazazi wao wote wawili, ukiona hicho unachofata ni Bora kuliko familia yako sawa nenda, ila siku nikijua it's the end Hilo halina mjadala na yeye anajua Hilo! That's my ground rule
nimempa uhuru afanye anachotaka ila akijua the consiquensces, maana ukikalia kumchunga sana mwanamke utashindwa hata kutafta pesa, nishaona wengi wanakataa deals za pesa ndefu kisa kuwaza nikienda huko mbali kukaa miezi let say minne wife huku itakuaje, stupid!!.
tafuta pesa kiongozi, mwanamke akileta ujinga piga chini chukua namba E weka ndani!!
Naomba huyu mtu akie karibu nae ampokonye simu naona konyag leo imemkataa kabisaMpare hawezi mambo haya achana nao
View attachment 2590471
Miguu ya pisi za kichaga kama stand za pikipikiMiguu ipo kama anaomba unga wa ugali kwa wakulima
Mama mzazi ana akili kuliko mwananmke yeyote iulyewahi muonaSijawahi ona mwanamke mwenye akili
Huyo dawa yake ndogo soon nakupa connectionOya gawa connection yani ninavyokuomba mshikaji dahhh oy Johnnie Walker huyu mwamba anataka zambi zote afanye mwenyewe
Atajikuta karusha movie kabisa alambishwe dumeNaomba huyu mtu akie karibu nae ampokonye simu naona konyag leo imemkataa kabisa
Huyo dawa yake ndogo soon nakupa connection
Ndio kunakonelekea huyu itakuwa kanyimwa tunda leoAtajikuta karusha movie kabisa alambishwe dume
You're so smart[emoji73] nimekupenda eti.Yaani Sina wasiwasi na comment yako umeandika Ukweli mtupu, mostly wanawake tukiwa in love tunasikiliza Sana wapenzi zetu,ndio maana mtu alipata Mwanamme mwenye akili anafanikiwa alipata mla unga anaweza hata na yeye kula..ndio mana nikasema UNA HOJA!
Ha haaa eti nimekupenda eti!You're so smart[emoji73] nimekupenda eti.
Sure...Let’s trade cells so we can grab some food another time.” [emoji51][emoji51][emoji51]Ha haaa eti nimekupenda eti!
Nimekuelewa sana mkuu hapo mwishoo...achukue kigori chuchu saa 6.tafuta pesa kiongozi, mwanamke akileta ujinga piga chini chukua namba E weka ndani!!
Tatizo hiyo lugha Sasa kuielewa😳😳😳😳Sure...Let’s trade cells so we can grab some food another time.” [emoji51][emoji51][emoji51]
[emoji23][emoji23]achana nayo.Tatizo hiyo lugha Sasa kuielewa[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]