Najitahidi sana kucheka ila usiku ni majonzi

Mapenzi lazima yaishie kwenye maumivu labda mfe wote kwa mkupuo..... usipokubaliana na hilo basi hutozoea...

Enewei

are you tall dark and handsome??πŸ˜‚
 
Una hoja.
 
Lakini pengine unaona kabisa kama unalazimisha kuanza na gina no 5
 
""inshort mwanamke kwenye mapenz ni kama plain paper""" yaani hapo ndi patamu hapo πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€“ sasa kama mii poor brain alafu ndo nijaze akili yake kitatokea nni hapo
 
Tafuta sabb ya kumchukia utakuja kunishukuru one day....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…