Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Huu msemo huu.. tafuta pesa sawa ila uhalisia ulivo kama unazo hizo pesa unaujua fikaTafuta pesa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu msemo huu.. tafuta pesa sawa ila uhalisia ulivo kama unazo hizo pesa unaujua fikaTafuta pesa
Huwezi jua ila ninampenda kuliko hata anavyoweza fikiriUnampenda Nani Tena?
ThanksPole yatapita usijiweke au kuegemea kwenye huzuni au negative side... Turn your mind and heart on the other things,,, life is too short don't waste a single minute on selfpity.... Enjoy it while it last...... YOLO!!!!!!!!
Itakua mara ya kumi basi 🤓🤓🤓Mapenz yatakuuaa
Una hoja.Hilo ndo tatizo lako...mapenzi hayahitaji akili kubwa sana, mapenzi ni ku entertain uupuzi tu kutoka kwa mwanamke.
inshort mwanamke kwenye mapenz ni kama plain paper...unaweza kuandika chochote yaan hawana akili wewe ndo unajaza akili yake...ukiwa na mahusiano na mwanamke akili yako ndo inatumika mkuu
Lakini pengine unaona kabisa kama unalazimisha kuanza na gina no 5Hilo ndo tatizo lako...mapenzi hayahitaji akili kubwa sana, mapenzi ni ku entertain uupuzi tu kutoka kwa mwanamke.
inshort mwanamke kwenye mapenz ni kama plain paper...unaweza kuandika chochote yaan hawana akili wewe ndo unajaza akili yake...ukiwa na mahusiano na mwanamke akili yako ndo inatumika mkuu
""inshort mwanamke kwenye mapenz ni kama plain paper""" yaani hapo ndi patamu hapo 🤓🤓🤓🤓 sasa kama mii poor brain alafu ndo nijaze akili yake kitatokea nni hapoHilo ndo tatizo lako...mapenzi hayahitaji akili kubwa sana, mapenzi ni ku entertain uupuzi tu kutoka kwa mwanamke.
inshort mwanamke kwenye mapenz ni kama plain paper...unaweza kuandika chochote yaan hawana akili wewe ndo unajaza akili yake...ukiwa na mahusiano na mwanamke akili yako ndo inatumika mkuu
Hata mamako mzazi mkuu? [emoji15][emoji15][emoji15]Sijawahi ona mwanamke mwenye akili
Tatizo ndio umesema Hana akili au tatizo Nini Sasa?Huwezi jua ila ninampenda kuliko hata anavyoweza fikiri
Tafuta sabb ya kumchukia utakuja kunishukuru one day....Hahahah ngoja nianze na kicheko unafki hivi wanaonijua hua naandikaga pumba et?
Anyway sikuumbiwa mapenzi ninayotamani yote hufa
I hate love, ila sina jinsi najua napoteza ila sina namna nahitaji muda sana
Ninahisi pain sana kila wazo la kimahusiano linapo nipitia kichwani furaha yangu ni ndogo tu 20% tena kwa muda ila huzuni ni nyingi
Sijui kwanini Mungu aliniweka huku
I hateeeeeeeee my heart, nachukia mapenzi, nachukia upendo, nachukia wanawake
Ila Nakupenda sana, siwezi jidanganya
Nyie mtafungua milembe😁""inshort mwanamke kwenye mapenz ni kama plain paper""" yaani hapo ndi patamu hapo 🤓🤓🤓🤓 sasa kama mii poor brain alafu ndo nijaze akili yake kitatokea nni hapo
🙄🙄🙄
Ushauri wa ajabu huuTafuta sabb ya kumchukia utakuja kunishukuru one day....
Natamani kuwa hivyo ila mimi ni Mtu ninayetamani mipango yangu itimie hasa kuishi na ninayempendaSema ndo hivyo tunatofautiana...
Kuna changamoto flani watu tunapitia mpaka hayo mambo pa kuyaweka hakuna an akipenda napenda asipopenda mi sawa tuu an nipo neutral sielewi...
Mimi sio mweusi wala mweupe saaanaMapenzi lazima yaishie kwenye maumivu labda mfe wote kwa mkupuo..... usipokubaliana na hilo basi hutozoea...
Enewei
are you tall dark and handsome??😂
Tafuta Hela mkuu