Najitahidi sana kucheka ila usiku ni majonzi

Najitahidi sana kucheka ila usiku ni majonzi

Mapenzi lazima yaishie kwenye maumivu labda mfe wote kwa mkupuo..... usipokubaliana na hilo basi hutozoea...

Enewei

are you tall dark and handsome??😂
 
Hilo ndo tatizo lako...mapenzi hayahitaji akili kubwa sana, mapenzi ni ku entertain uupuzi tu kutoka kwa mwanamke.

inshort mwanamke kwenye mapenz ni kama plain paper...unaweza kuandika chochote yaan hawana akili wewe ndo unajaza akili yake...ukiwa na mahusiano na mwanamke akili yako ndo inatumika mkuu
Una hoja.
 
Hilo ndo tatizo lako...mapenzi hayahitaji akili kubwa sana, mapenzi ni ku entertain uupuzi tu kutoka kwa mwanamke.

inshort mwanamke kwenye mapenz ni kama plain paper...unaweza kuandika chochote yaan hawana akili wewe ndo unajaza akili yake...ukiwa na mahusiano na mwanamke akili yako ndo inatumika mkuu
Lakini pengine unaona kabisa kama unalazimisha kuanza na gina no 5
 
Wenzako wanafaidi mzigo na mvua hii wewe unalia unachek😬
Screenshot_20230416_005214_Google.jpg
 
Hilo ndo tatizo lako...mapenzi hayahitaji akili kubwa sana, mapenzi ni ku entertain uupuzi tu kutoka kwa mwanamke.

inshort mwanamke kwenye mapenz ni kama plain paper...unaweza kuandika chochote yaan hawana akili wewe ndo unajaza akili yake...ukiwa na mahusiano na mwanamke akili yako ndo inatumika mkuu
""inshort mwanamke kwenye mapenz ni kama plain paper""" yaani hapo ndi patamu hapo 🤓🤓🤓🤓 sasa kama mii poor brain alafu ndo nijaze akili yake kitatokea nni hapo
 
Hahahah ngoja nianze na kicheko unafki hivi wanaonijua hua naandikaga pumba et?

Anyway sikuumbiwa mapenzi ninayotamani yote hufa
I hate love, ila sina jinsi najua napoteza ila sina namna nahitaji muda sana

Ninahisi pain sana kila wazo la kimahusiano linapo nipitia kichwani furaha yangu ni ndogo tu 20% tena kwa muda ila huzuni ni nyingi
Sijui kwanini Mungu aliniweka huku

I hateeeeeeeee my heart, nachukia mapenzi, nachukia upendo, nachukia wanawake

Ila Nakupenda sana, siwezi jidanganya
Tafuta sabb ya kumchukia utakuja kunishukuru one day....
 
Back
Top Bottom