Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Oky hapo sasa nimekuelewa.Jifunze
ku DELETE
Yaani hapo nimekupata vizuri kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oky hapo sasa nimekuelewa.Jifunze
ku DELETE
[emoji848]unamaanisha niniUna hoja.
😂😂😂Kazi kweli kweliMapenzi yanasumbua sana jamani, haswa kwa kipindi hichi.
Nitajaribu ila mm hua nampa mtu nafasi kabla yangu, najitoaJipende wewe kwanza kama wewe alafu huyo mwingine mpe nafasi ya pili...
Hapana mkuu hapo c nitakuwa demu sifa ya mwanaume ni kufa na dukuduku ila sio kulitoa jichoniKwaiyo saivi upo una lia adi kamasi
😂😂😂 Dogo unafeli wewe huo ublack maniga umekusaidia nini?mkuu kusema kweli sina cha kukushauri mi mwenyewe mhanga wa mapenzi 😂
😂 Wewe ni genye ndio zinazopita kwenye akili zenu?Mapenzi yanasumbua sana jamani, haswa kwa kipindi hichi.
kuna sehemu zingine sio za kupanda 😂 we haya.....😂😂😂 Mwili mzima
Huu uzi bila comment ya dada yangu huyu nisinge ridhikaPole sana mkuu
🤣🤣🤣 Barikiwa sana 👊Huu uzi bila comment ya dada yangu huyu nisinge ridhika
Uwe na maisha marefu
Mwanangu! We mwananchi eh?Hahahah ngoja nianze na kicheko unafki hivi wanaonijua hua naandikaga pumba et?
Anyway sikuumbiwa mapenzi ninayotamani yote hufa
I hate love, ila sina jinsi najua napoteza ila sina namna nahitaji muda sana
Ninahisi pain sana kila wazo la kimahusiano linapo nipitia kichwani furaha yangu ni ndogo tu 20% tena kwa muda ila huzuni ni nyingi
Sijui kwanini Mungu aliniweka huku
I hateeeeeeeee my heart, nachukia mapenzi, nachukia upendo, nachukia wanawake
Ila Nakupenda sana, siwezi jidanganya
mapenzi ni kama kubet mkuu😂mi nshaacha ndo ivo nikipata mbunye mara mojamoja, mambo yanakaa swafi😂Nitajaribu ila mm hua nampa mtu nafasi kabla yangu, najitoa
Hapana mkuu hapo c nitakuwa demu sifa ya mwanaume ni kufa na dukuduku ila sio kulitoa jichoni
😂😂😂 Dogo unafeli wewe huo ublack maniga umekusaidia nini?
😂 Wewe ni genye ndio zinazopita kwenye akili zenu?
Hivi mnazitiaga wapi maana mm czipati?
Mi sikuhizi mapenz natazama tuJitahidi ku move on yaani hii ni dawa tosha kwenye mahusiano ambayo yapo dilemma, yaani kuna kipindi lazima mahusiano yayumbe na hapo unakuta mmoja mapenzi yamepungua au yameisha kabisa basii balaa ndio huwa linaanza hapo
Nimeliweka akilini na nitaanza lichukulia funzo ambalo nimeshindwa for more 4+ yrsHapo mdogo wangu unachochea matatizo ya afya yako ya akili...Usiforce Mambo,likuepukalo Lina heri nawe.....Muache aendelee na Maisha yake duniani Kuna a lot of varieties Ni suala la muda tu.......usipate sonona usiku ukose usingizi kwa ajili ya mtu asiyejali maumivu yako
Hahaha wanawake wakikupenda huwa wanapokea chochote unachowapa kwenye akili yao...yaan akili yake unaingoza wewe yeye anabaki anatumia hisia tu.[emoji23]""inshort mwanamke kwenye mapenz ni kama plain paper""" yaani hapo ndi patamu hapo [emoji851][emoji851][emoji851][emoji851] sasa kama mii poor brain alafu ndo nijaze akili yake kitatokea nni hapo
Mda wa kujitizama kwenye kioo na kufikiri fikiri hua siupatagiStart to love your face on the mirror....
Just do that every morning and evenings perhaps
Hata mimi☹️, huo ni mchezo hatari sanaMi sikuhizi mapenz natazama tu
Sasa mfano me nita move on mpaka wapi..Jitahidi ku move on yaani hii ni dawa tosha kwenye mahusiano ambayo yapo dilemma, yaani kuna kipindi lazima mahusiano yayumbe na hapo unakuta mmoja mapenzi yamepungua au yameisha kabisa basii balaa ndio huwa linaanza hapo
anza kujifunza sasa utakuja mshukuru huyo mdau aliyekushauri hivyo. chuki imegawanyika kwa nyanja tofauti. tafuta sababu ya yale maovu aliyokutendea.Kwenye maisha yangu sijawahi chukia mtu