Najitahidi sana kucheka ila usiku ni majonzi

Najitahidi sana kucheka ila usiku ni majonzi

Jipende wewe kwanza kama wewe alafu huyo mwingine mpe nafasi ya pili...
Nitajaribu ila mm hua nampa mtu nafasi kabla yangu, najitoa
Kwaiyo saivi upo una lia adi kamasi
Hapana mkuu hapo c nitakuwa demu sifa ya mwanaume ni kufa na dukuduku ila sio kulitoa jichoni
mkuu kusema kweli sina cha kukushauri mi mwenyewe mhanga wa mapenzi 😂
😂😂😂 Dogo unafeli wewe huo ublack maniga umekusaidia nini?
Mapenzi yanasumbua sana jamani, haswa kwa kipindi hichi.
😂 Wewe ni genye ndio zinazopita kwenye akili zenu?
Hivi mnazitiaga wapi maana mm czipati?
 
Hahahah ngoja nianze na kicheko unafki hivi wanaonijua hua naandikaga pumba et?

Anyway sikuumbiwa mapenzi ninayotamani yote hufa
I hate love, ila sina jinsi najua napoteza ila sina namna nahitaji muda sana

Ninahisi pain sana kila wazo la kimahusiano linapo nipitia kichwani furaha yangu ni ndogo tu 20% tena kwa muda ila huzuni ni nyingi
Sijui kwanini Mungu aliniweka huku

I hateeeeeeeee my heart, nachukia mapenzi, nachukia upendo, nachukia wanawake

Ila Nakupenda sana, siwezi jidanganya
Mwanangu! We mwananchi eh?
 
Nitajaribu ila mm hua nampa mtu nafasi kabla yangu, najitoa

Hapana mkuu hapo c nitakuwa demu sifa ya mwanaume ni kufa na dukuduku ila sio kulitoa jichoni

😂😂😂 Dogo unafeli wewe huo ublack maniga umekusaidia nini?

😂 Wewe ni genye ndio zinazopita kwenye akili zenu?
Hivi mnazitiaga wapi maana mm czipati?
mapenzi ni kama kubet mkuu😂mi nshaacha ndo ivo nikipata mbunye mara mojamoja, mambo yanakaa swafi😂
 
Hapo mdogo wangu unachochea matatizo ya afya yako ya akili...Usiforce Mambo,likuepukalo Lina heri nawe.....Muache aendelee na Maisha yake duniani Kuna a lot of varieties Ni suala la muda tu.......usipate sonona usiku ukose usingizi kwa ajili ya mtu asiyejali maumivu yako
Nimeliweka akilini na nitaanza lichukulia funzo ambalo nimeshindwa for more 4+ yrs
 
""inshort mwanamke kwenye mapenz ni kama plain paper""" yaani hapo ndi patamu hapo [emoji851][emoji851][emoji851][emoji851] sasa kama mii poor brain alafu ndo nijaze akili yake kitatokea nni hapo
Hahaha wanawake wakikupenda huwa wanapokea chochote unachowapa kwenye akili yao...yaan akili yake unaingoza wewe yeye anabaki anatumia hisia tu.[emoji23]
 
Jitahidi ku move on yaani hii ni dawa tosha kwenye mahusiano ambayo yapo dilemma, yaani kuna kipindi lazima mahusiano yayumbe na hapo unakuta mmoja mapenzi yamepungua au yameisha kabisa basii balaa ndio huwa linaanza hapo
Sasa mfano me nita move on mpaka wapi..
Yaani katika hatua za mwanzo tu unakutana na mambo ya ajabu na move on.. naendelea ku move on.... Mwisho wake wapi...?
 
Kwenye maisha yangu sijawahi chukia mtu
anza kujifunza sasa utakuja mshukuru huyo mdau aliyekushauri hivyo. chuki imegawanyika kwa nyanja tofauti. tafuta sababu ya yale maovu aliyokutendea.
tofauti na hapo utakuwa mtumwa wake miaka yote. hata ukimpenda mwingine utashindwa kumjali kwa kumwaza huyo ex wako.

lakini nahisi wewe ni kijana mdogo mbana pua hivi nwenye sauti nyembamba yaani kamwanaume flani hivi kaoga kasicho jiamini. kikimkosa huyo mtoto ndo basi tena.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom