Vito Corleone
JF-Expert Member
- Apr 4, 2023
- 2,418
- 5,257
Kwenye utumishi uliotukuka tutakaa.But ni Bora mama aendelee kuliko tupate punguani mmoja aanze kutuchanganya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi najitolea kwa niaba ya nchi yanguHapo kwenye kuandika Namba za simu umefanya Jambo jema sn.
Subiri uteuzi.
Mzalendo anakuwa Chama gani hasa?Ungekua na uzarendo na upendo na nchi yako usingekua mwana ccm, toa njaa zako hapa....
Watu walio zaliwa miaka ya 75+ sahv wana miradi na wapo bize na mambo yao ....hawana muda na ushabiki wa kishamba kupoteza muda ...ukizingatia muda wa kampeni bado ...... wew ni zuzu uzalendo unaujua? Ngoja tupate katiba mpya mtajua hamjuiNdiyo ndugu zangu watanzania
Naam hii ndiyo ahadi yangu thabiti mbele yenu
Ni kwa sababu za kiuzalendo
Ni kwa sababu za upendo wadhati
Ni kwa sababu za hekima niliyonayo
Ni kwasababu ya uelewa mkubwa nilionao
Ni kwa kutambua Mchango, uwezo na weledi mkubwa mkubwa alionao Rais wetu mpendwa
Najitolea kumpigia kampeni Mama Samia aendelee kuongoza awamu ijayo
Utumishi uliotukuka
Mimi Mtanzania Mzalendo
+255714547275
CCM No: 000028433361
Nida: 19750223231140000121
Mzalendo anakuwa Chama gani hasa?
naona uzalendo ulionao ni juu ya chama tu hakuna zaidi...Mzalendo anakuwa Chama gani hasa?
Wewe Uzalendo wako ni UPI?naona uzalendo ulionao ni juu ya chama tu hakuna zaidi...
Bila kuweka Namba za simu hutokuwa mzalendo?Mimi najitolea kwa niaba ya nchi yangu