Najitolea kwa hiari na upendo mkubwa kumpigia kampeni Rais Samia aendelee kuongoza awamu ijayo

Najitolea kwa hiari na upendo mkubwa kumpigia kampeni Rais Samia aendelee kuongoza awamu ijayo

Kwenye utumishi uliotukuka tutakaa.But ni Bora mama aendelee kuliko tupate punguani mmoja aanze kutuchanganya.
 
Ndiyo ndugu zangu watanzania
Naam hii ndiyo ahadi yangu thabiti mbele yenu

Ni kwa sababu za kiuzalendo
Ni kwa sababu za upendo wadhati
Ni kwa sababu za hekima niliyonayo

Ni kwasababu ya uelewa mkubwa nilionao
Ni kwa kutambua Mchango, uwezo na weledi mkubwa mkubwa alionao Rais wetu mpendwa

Najitolea kumpigia kampeni Mama Samia aendelee kuongoza awamu ijayo

Utumishi uliotukuka


Mimi Mtanzania Mzalendo
+255714547275
CCM No: 000028433361
Nida: 19750223231140000121
Watu walio zaliwa miaka ya 75+ sahv wana miradi na wapo bize na mambo yao ....hawana muda na ushabiki wa kishamba kupoteza muda ...ukizingatia muda wa kampeni bado ...... wew ni zuzu uzalendo unaujua? Ngoja tupate katiba mpya mtajua hamjui
 
CCM NA WANACCM

KUTOKA KUWA WAPIGANIA UHURU NA WAZALENDO, NA KUJA KUWA CHAWA.
 
Back
Top Bottom