Najiuliza hivi kwanini CEO wengi wa kampuni kubwa duniani ni wahindi au kuna kundi kubwa la wafanyakazi wahindi?

Najiuliza hivi kwanini CEO wengi wa kampuni kubwa duniani ni wahindi au kuna kundi kubwa la wafanyakazi wahindi?

Makonde plateu

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2022
Posts
1,443
Reaction score
3,480
Naomba kueleweshwa wakuu hivi kwanini CEO wa kampuni kubwa duniani ni wahindi au kuna utitiri mkubwa wa wafanyakazi wengi kuwa WaAsia Hususani wahindi yaani wamekamata soko la kampuni nyingi duniani aisee na kampuni zao zinafanikiwa sana aisee

Nenda Microsoft,Google,Apple na kadhalika wahindi wamedominate sana Aisee sijui Siri yao nini? Wakuu najiuliza sana hili swali na sipati jibu na Afrika, Marekani na sehemu nyingine wame dominate bwana aisee
 
Naomba kueleweshwa wakuu hivi kwanini CEO wa kampuni kubwa duniani ni wahindi au kuna utitiri mkubwa wa wafanyakazi wengi kuwa WaAsia Hususani wahindi yaani wamekamata soko la kampuni nyingi duniani aisee na kampuni zao zinafanikiwa sana aisee

Nenda Microsoft,Google,Apple na kadhalika wahindi wamedominate sana Aisee sijui Siri yao nini? Wakuu najiuliza sana hili swali na sipati jibu na Afrika, Marekani na sehemu nyingine wame dominate bwana aisee
Zanzibar ndo kigezo kikubwa sana cha mameneja wa mahoteli ya nyota 3+. Yani wanaandika kabisa nafas hii ya meneja ni lazima atokee Asia. Hawa jamaa kwenye kuleta faida kwenye kampuni wako vizuri sana mana wanapumguza matumizi ya kampuni kwa kuminya wafanyakazi.

Niliwh kufanya kazi kisiwa kimoja hiv unguja huko, meneja wa ile kisiwa pale alikuwa muhindi. Staff house zipo ila mazingira yalikuwa mabovu sana, watu tulikuwa tunajisaidia ufukweni mana choo kiliharibika. Hela za kukitengeneza tu hazikutoka miez 5 mzee.. muhindi bajeti ya maintenance unaweza wewe mfanyakaz kutoa hela yako mfukoni

Wahindi wehu sana. Na ule uwehu wao ndo unaleta faida kwemye kampuni. Siri kuu ya utajiri ni kuminya watu wa chini (maskini), mazingira ya kazi yakiwa magum sana kwa mfanyakazi ndo faida inakuwa kubwa kwa kampuni. Hili wahindi wanaliweza kwelikweli
 
Naomba kueleweshwa wakuu hivi kwanini CEO wa kampuni kubwa duniani ni wahindi au kuna utitiri mkubwa wa wafanyakazi wengi kuwa WaAsia Hususani wahindi yaani wamekamata soko la kampuni nyingi duniani aisee na kampuni zao zinafanikiwa sana aisee

Nenda Microsoft,Google,Apple na kadhalika wahindi wamedominate sana Aisee sijui Siri yao nini? Wakuu najiuliza sana hili swali na sipati jibu na Afrika, Marekani na sehemu nyingine wame dominate bwana aisee
Wanaaminika na ni wachapa kazi
 
Naomba kueleweshwa wakuu hivi kwanini CEO wa kampuni kubwa duniani ni wahindi au kuna utitiri mkubwa wa wafanyakazi wengi kuwa WaAsia Hususani wahindi yaani wamekamata soko la kampuni nyingi duniani aisee na kampuni zao zinafanikiwa sana aisee

Nenda Microsoft,Google,Apple na kadhalika wahindi wamedominate sana Aisee sijui Siri yao nini? Wakuu najiuliza sana hili swali na sipati jibu na Afrika, Marekani na sehemu nyingine wame dominate bwana aisee
Hawana mambo mengi ya Kando Kando, mtu anaenda ofisini, akitoka nyumbani, akizidi sana katoka out na familia yake that's it, kuna viwanda vya MO wanajengewa hadi Hostel humo humo, mtu anatoka juu anashuka chini anafanya kazi akimaliza anarudi juu.

Ukiwa na Kampuni na una long term projects unahitaji watu wa namna hii, not necessarily smart people ila watu ambao wataka na project bila kubadili badili.
 
Zanzibar ndo kigezo kikubwa sana cha mameneja wa mahoteli ya nyota 3+. Yani wanaandika kabisa nafas hii ya meneja ni lazima atokee Asia. Hawa jamaa kwenye kuleta faida kwenye kampuni wako vizuri sana mana wanapumguza matumizi ya kampuni kwa kuminya wafanyakazi.

Niliwh kufanya kazi kisiwa kimoja hiv unguja huko, meneja wa ile kisiwa pale alikuwa muhindi. Staff house zipo ila mazingira yalikuwa mabovu sana, watu tulikuwa tunajisaidia ufukweni mana choo kiliharibika. Hela za kukitengeneza tu hazikutoka miez 5 mzee.. muhindi bajeti ya maintenance unaweza wewe mfanyakaz kutoa hela yako mfukoni

Wahindi wehu sana. Na ule uwehu wao ndo unaleta faida kwemye kampuni. Siri kuu ya utajiri ni kuminya watu wa chini (maskini), mazingira ya kazi yakiwa magum sana kwa mfanyakazi ndo faida inakuwa kubwa kwa kampuni. Hili wahindi wanaliweza kwelikweli
Kuna ukweli fulani lakini hiyo sio sababu kabisa, wahindi ni watiifu kwenye kazi zao na nidhamu ya juu kwenye kazi zao hasa za mahotelini, wewe kama umebahatika kusafiri Dubai tu hebu chukulia wale wahudumu wakihindi wanavyokupokea na hawa kina Juma wa kwetu. Ukitaka hotel yako ife weka wa TZ customer care zerooooooo.
 
Ni muunganiko wa sababu zifuatazo;

1.Cheap labor : Muhindi anajipikia. Dola mia, bajeti ya mwezi anajaza friji vyakula na pilipili za kutosha,unampangia NHC. bajeti kama hiyo expert wa kizungu matumizi ya kula weekend na pombe kali,atataka kupangiwa hotel nyota 5 n.k .

2.Experience: India ina watu bilioni na kidogo, automatic anakuwa kashasolve case nyingi kwa kujitolea (field) kwenye eneo husika iwe accounting,marketing, engineering, n.k .Point hii inawapa kipaumbele dhidi ya mtaalam kama huyo kutoka Africa, toka amalize chuo huenda hataki hata field ya kujitolea.

3. Team work: Wahindi wanaheshimu maagano.Mfano wamechanga mtaji watu wanne ,wamekubaliana watagawana baada ya miaka 10, ni kumi kweli. Wabongo mwaka wa pili,account zikisoma tarakimu 8 hadi 10, mnaanza mzozo mgawane kila mtu afe na chake. Makampuni endelevu kama Bakhresa au Dongote ,yanapenda mtu ajifunge (commitment) kwa muda mrefu ili aweze kurithisha ujuzi pole pole kwa kizazi kijacho kwenye fani husika.

Hayo kwa uchache, japo wana mapungufu yao.
 
Naomba kueleweshwa wakuu hivi kwanini CEO wa kampuni kubwa duniani ni wahindi au kuna utitiri mkubwa wa wafanyakazi wengi kuwa WaAsia Hususani wahindi yaani wamekamata soko la kampuni nyingi duniani aisee na kampuni zao zinafanikiwa sana aisee

Nenda Microsoft,Google,Apple na kadhalika wahindi wamedominate sana Aisee sijui Siri yao nini? Wakuu najiuliza sana hili swali na sipati jibu na Afrika, Marekani na sehemu nyingine wame dominate bwana aisee
Duniani kuna classes:
1. Wazungu - sayansi, ugunduzi
3. Wahindi - Biashara
Waarabu, waafrika Botha na Trump wameshasema sitii neno,
 
Kwanza ni wasomi, halafu wako smart sana kichwani
Hata Ulaya wameishika sana, makampuni mengi ni ya kwao
Nilikuwa naangalia jana walileta documentary kuhusu supermarket ya Asda ambayo ilinunuliwa na ndugu wawili mmoja wao anaitwa Muhsin Isa asili India
Huyu Muhsin ndio alikuwa CEO aka step down wakamleta mzungu toka M&S ila kaboronga kiasi
Asda ina supermarkets 6200
 
Duniani kuna classes:
1. Wazungu - sayansi, ugunduzi
3. Wahindi - Biashara
Waarabu, waafrika Botha na Trump wameshasema sitii neno,
Sitaki kuharibu uzi wa Watu, ila waarabu wengi wapo successfull kibiashara kuliko wahindi.

Pia Tofautisha management na biashara ni vitu tofauti, wahindi ni managers wazuri na sio risk takers.

Nakupa mfano. Mhindi ana kiwanda cha chuma, basi ata Tengeneza supply chain ya wahindi wenzake kuanzia Wholesale chanell mpaka reja reja maduka ya wahindi kkoo. Hio ni management nzuri.

Waarabu ni risk takers, unakuta mtu one man army anaweza toka Arabuni wakaenda Africa ama hata South America huko baada ya Miaka kadhaa tayari ni Bilionea.

Ukumbuke Arabuni hakulimwi sana wala hakuna Dhahabu na almasi huko watu wana survive kwa Biashara tu. Kuna Nchi zina import hadi maji ya kunywa.
 
Naomba kueleweshwa wakuu hivi kwanini CEO wa kampuni kubwa duniani ni wahindi au kuna utitiri mkubwa wa wafanyakazi wengi kuwa WaAsia Hususani wahindi yaani wamekamata soko la kampuni nyingi duniani aisee na kampuni zao zinafanikiwa sana aisee

Nenda Microsoft,Google,Apple na kadhalika wahindi wamedominate sana Aisee sijui Siri yao nini? Wakuu najiuliza sana hili swali na sipati jibu na Afrika, Marekani na sehemu nyingine wame dominate bwana aisee
Wamewekeza, Sana, katika elimu,kuna program mahususi Kuhakikisha vijana wa India wanapata nafasi katika vyuo vikubwa duniani, Ivy League, kama Harvard nk, kisha warudi nyumbani wakuze nchi Yao, na kuitqngaza India duniani, wapo, kwenye IT, medical, AI, nk,
Hata hapa bongo, High-tech companies nyingi, kama za, simu,wahindisi wao wengi nickutoka India, wewe na degree yako ya udsm, au, DIT, huwezi, shindana nao, nililiona hili Tigo,huawei, Airtel,
Hapa kwetu tunakuza machawa tu! (Ila, wapo wabongo wanaofsnya vzr kwenye international stage, kama Fernandez wa NALA) Ila ccm inawaogopa, haiwapi platform hapa nyumbani ili kuchochea vijana wengine wa shine! Ccm inaogopa Sana kuzalisha kina Lisu, Kanye, Mdee,Mnyika wengi! Wanaona Bora Uwe na kina baba revo,na, doto magari laki moja,kuliko Fernandez wawili
 
Kwanza ni wasomi, halafu wako smart sana kichwani
Hata Ulaya wameishika sana, makampuni mengi ni ya kwao
Nilikuwa naangalia jana walileta documentary kuhusu supermarket ya Asda ambayo ilinunuliwa na ndugu wawili mmoja wao anaitwa Muhsin Isa asili India
Huyu Muhsin ndio alikuwa CEO aka step down wakamleta mzungu toka M&S ila kaboronga kiasi
Asda ina supermarkets 6200
Wahindi ni overrated sana
 
Naomba kueleweshwa wakuu hivi kwanini CEO wa kampuni kubwa duniani ni wahindi au kuna utitiri mkubwa wa wafanyakazi wengi kuwa WaAsia Hususani wahindi yaani wamekamata soko la kampuni nyingi duniani aisee na kampuni zao zinafanikiwa sana aisee

Nenda Microsoft,Google,Apple na kadhalika wahindi wamedominate sana Aisee sijui Siri yao nini? Wakuu najiuliza sana hili swali na sipati jibu na Afrika, Marekani na sehemu nyingine wame dominate bwana aisee
Wahindi wanajua kufanya management hasa hawatanii hiyo ni nature yao.. ni kama tunavyowasifia wachaga wakikuyu au wakika kwenye biashara.

We kama ulishasoma management chuo lazima ulisoma vitabu vya Gupta a father of management.
 
Back
Top Bottom