Najiuliza hivi kwanini CEO wengi wa kampuni kubwa duniani ni wahindi au kuna kundi kubwa la wafanyakazi wahindi?

Najiuliza hivi kwanini CEO wengi wa kampuni kubwa duniani ni wahindi au kuna kundi kubwa la wafanyakazi wahindi?

Kuna ukweli fulani lakini hiyo sio sababu kabisa, wahindi ni watiifu kwenye kazi zao nasi nidhamu ya juu kwenye kazi zao hasa za mahotelini, wewe kama umebahatika kusafiri Dubai tu hebu chukulia wale wahudumu wakihindi wanavyokupokea na hawa kina Juma wa kwetu. Ukitaka hotel yako ife weka wa TZ customer care zerooooooo.
Si kweli, Wadachi pia ni wachapakazi wazuri sana na waaminifu ila wengi si Ma-CEO duniani, hoja ya uliyemnukuu ni sahihi kabisa 100%.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
 
Sitaki kuharibu uzi wa Watu, ila waarabu wengi wapo successfull kibiashara kuliko wahindi.

Pia Tofautisha management na biashara ni vitu tofauti, wahindi ni managers wazuri na sio risk takers.

Nakupa mfano. Mhindi ana kiwanda cha chuma, basi ata Tengeneza supply chain ya wahindi wenzake kuanzia Wholesale chanell mpaka reja reja maduka ya wahindi kkoo. Hio ni management nzuri.

Waarabu ni risk takers, unakuta mtu one man army anaweza toka Arabuni wakaenda Africa ama hata South America huko baada ya Miaka kadhaa tayari ni Bilionea.

Ukumbuke Arabuni hakulimwi sana wala hakuna Dhahabu na almasi huko watu wana survive kwa Biashara tu. Kuna Nchi zina import hadi maji ya kunywa.
Huyo hua ana chuki ya udini tu na ndio kilichomsukuma kuandika hivyo japo ukweli anaujua.
 
Ni muunganiko wa sababu zifuatazo;

1.Cheap labor : Muhindi anajipikia. Dola mia, bajeti ya mwezi anajaza friji vyakula na pilipili za kutosha,unampangia NHC. bajeti kama hiyo expert wa kizungu matumizi ya kula weekend na pombe kali,atataka kupangiwa hotel nyota 5 n.k .

2.Experience: India ina watu bilioni na kidogo, automatic anakuwa kashasolve case nyingi kwa kujitolea (field) kwenye eneo husika iwe accounting,marketing, engineering, n.k .Point hii inawapa kipaumbele dhidi ya mtaalam kama huyo kutoka Africa, toka amalize chuo huenda hataki hata field ya kujitolea.

3. Team work: Wahindi wanaheshimu maagano.Mfano wamechanga mtaji watu wanne ,wamekubaliana watagawana baada ya miaka 10, ni kumi kweli. Wabongo mwaka wa pili,account zikisoma tarakimu 8 hadi 10, mnaanza mzozo mgawane kila mtu afe na chake. Makampuni endelevu kama Bakhresa au Dongote ,yanapenda mtu ajifunge (commitment) kwa muda mrefu ili aweze kurithisha ujuzi pole pole kwa kizazi kijacho kwenye fani husika.

Hayo kwa uchache, japo wana mapungufu yao.
Ni waaminifu na pia wana elimu kubwa
 
Ni muunganiko wa sababu zifuatazo;

1.Cheap labor : Muhindi anajipikia. Dola mia, bajeti ya mwezi anajaza friji vyakula na pilipili za kutosha,unampangia NHC. bajeti kama hiyo expert wa kizungu matumizi ya kula weekend na pombe kali,atataka kupangiwa hotel nyota 5 n.k .

2.Experience: India ina watu bilioni na kidogo, automatic anakuwa kashasolve case nyingi kwa kujitolea (field) kwenye eneo husika iwe accounting,marketing, engineering, n.k .Point hii inawapa kipaumbele dhidi ya mtaalam kama huyo kutoka Africa, toka amalize chuo huenda hataki hata field ya kujitolea.

3. Team work: Wahindi wanaheshimu maagano.Mfano wamechanga mtaji watu wanne ,wamekubaliana watagawana baada ya miaka 10, ni kumi kweli. Wabongo mwaka wa pili,account zikisoma tarakimu 8 hadi 10, mnaanza mzozo mgawane kila mtu afe na chake. Makampuni endelevu kama Bakhresa au Dongote ,yanapenda mtu ajifunge (commitment) kwa muda mrefu ili aweze kurithisha ujuzi pole pole kwa kizazi kijacho kwenye fani husika.

Hayo kwa uchache, japo wana mapungufu yao.
Wabongo wengi uvumilivu 0
Juzi tu zile rumours za M-KOBA watu tulianza kuomba kila mtu afe na chake😁😁.
 
Hawana mambo mengi ya Kando Kando, mtu anaenda ofisini, akitoka nyumbani, akizidi sana katoka out na familia yake that's it, kuna viwanda vya MO wanajengewa hadi Hostel humo humo, mtu anatoka juu anashuka chini anafanya kazi akimaliza anarudi juu.

Ukiwa na Kampuni na una long term projects unahitaji watu wa namna hii, not necessarily smart people ila watu ambao wataka na project bila kubadili badili.
Fact. Mtu mweusi ukimpa nafasi kama hii anawaza ngono tu hadi ofisini (baltazar). Muhindi linapokuja swala la kazi yupo serious kinoma, hawez changanya upuuzi wowote kwenye issue ya kazi.
 
Zanzibar ndo kigezo kikubwa sana cha mameneja wa mahoteli ya nyota 3+. Yani wanaandika kabisa nafas hii ya meneja ni lazima atokee Asia. Hawa jamaa kwenye kuleta faida kwenye kampuni wako vizuri sana mana wanapumguza matumizi ya kampuni kwa kuminya wafanyakazi.

Niliwh kufanya kazi kisiwa kimoja hiv unguja huko, meneja wa ile kisiwa pale alikuwa muhindi. Staff house zipo ila mazingira yalikuwa mabovu sana, watu tulikuwa tunajisaidia ufukweni mana choo kiliharibika. Hela za kukitengeneza tu hazikutoka miez 5 mzee.. muhindi bajeti ya maintenance unaweza wewe mfanyakaz kutoa hela yako mfukoni

Wahindi wehu sana. Na ule uwehu wao ndo unaleta faida kwemye kampuni. Siri kuu ya utajiri ni kuminya watu wa chini (maskini), mazingira ya kazi yakiwa magum sana kwa mfanyakazi ndo faida inakuwa kubwa kwa kampuni. Hili wahindi wanaliweza kwelikweli
Sifa kuu za Wahindi (Kanjibai);
1. Excessive Nepotism (Undugu-nization mno).
2. Employees exploitation(Unyonyaji wa wafanyakazi), Bongo ni mfano halisi kwa Wafanyakazi waliowahi/wanaofanya kazi kwa Wahindi kwenye viwanda, taasisi au maduka.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
 
Ila wanapambana sana boss na wanaijua hela sana
Imagine kutoka petrol station moja local mpaka branch 6200 kwenye nchi 10 duniani

Nawajua wengi sana hapa UK ambao wako vizuri sana na mpaka rafiki zangu

Tajiri #1 hapa ni mdosi
Wahindi wanachotuzidi waafrika ni wakabila kupitiliza
 
Ila wanapambana sana boss na wanaijua hela sana
Imagine kutoka petrol station moja local mpaka branch 6200 kwenye nchi 10 duniani

Nawajua wengi sana hapa UK ambao wako vizuri sana na mpaka rafiki zangu

Tajiri #1 hapa ni mdosi


Wahindi wangekuwa wa maana wasingekuwa wanakimbilia nchi za wengine...

Linganisha India, China na USA, ni very rare kwa Mchina kutamani maisha ya nje
 
Naomba kueleweshwa wakuu hivi kwanini CEO wa kampuni kubwa duniani ni wahindi au kuna utitiri mkubwa wa wafanyakazi wengi kuwa WaAsia Hususani wahindi yaani wamekamata soko la kampuni nyingi duniani aisee na kampuni zao zinafanikiwa sana aisee

Nenda Microsoft,Google,Apple na kadhalika wahindi wamedominate sana Aisee sijui Siri yao nini? Wakuu najiuliza sana hili swali na sipati jibu na Afrika, Marekani na sehemu nyingine wame dominate bwana aisee
UAMINIFU
 
Wahindi wanajua kucut cost japo kwa huku Africa ni kupitia unyonyaji...kwaio wana maximize profits mara dufu
 
Zanzibar ndo kigezo kikubwa sana cha mameneja wa mahoteli ya nyota 3+. Yani wanaandika kabisa nafas hii ya meneja ni lazima atokee Asia. Hawa jamaa kwenye kuleta faida kwenye kampuni wako vizuri sana mana wanapumguza matumizi ya kampuni kwa kuminya wafanyakazi.

Niliwh kufanya kazi kisiwa kimoja hiv unguja huko, meneja wa ile kisiwa pale alikuwa muhindi. Staff house zipo ila mazingira yalikuwa mabovu sana, watu tulikuwa tunajisaidia ufukweni mana choo kiliharibika. Hela za kukitengeneza tu hazikutoka miez 5 mzee.. muhindi bajeti ya maintenance unaweza wewe mfanyakaz kutoa hela yako mfukoni

Wahindi wehu sana. Na ule uwehu wao ndo unaleta faida kwemye kampuni. Siri kuu ya utajiri ni kuminya watu wa chini (maskini), mazingira ya kazi yakiwa magum sana kwa mfanyakazi ndo faida inakuwa kubwa kwa kampuni. Hili wahindi wanaliweza kwelikweli
Mkuu Wahindi ni cheap labour ndiyo maana Kwenyd kampuni nyingi wapo kwenye sekta ya Fedha, tofauti na Wazungu wanapenda raha awajazoea kujibana na Umasikini.
 
Zanzibar ndo kigezo kikubwa sana cha mameneja wa mahoteli ya nyota 3+. Yani wanaandika kabisa nafas hii ya meneja ni lazima atokee Asia. Hawa jamaa kwenye kuleta faida kwenye kampuni wako vizuri sana mana wanapumguza matumizi ya kampuni kwa kuminya wafanyakazi.

Niliwh kufanya kazi kisiwa kimoja hiv unguja huko, meneja wa ile kisiwa pale alikuwa muhindi. Staff house zipo ila mazingira yalikuwa mabovu sana, watu tulikuwa tunajisaidia ufukweni mana choo kiliharibika. Hela za kukitengeneza tu hazikutoka miez 5 mzee.. muhindi bajeti ya maintenance unaweza wewe mfanyakaz kutoa hela yako mfukoni
Wahindi wehu sana. Na ule uwehu wao ndo unaleta faida kwemye kampuni. Siri kuu ya utajiri ni kuminya watu wa chini (maskini), mazingira ya kazi yakiwa magum sana kwa mfanyakazi ndo faida inakuwa kubwa kwa kampuni. Hili wahindi wanaliweza kwelikweli
Duu! Mfanyakazi aminywe, Kampuni ipate faida. Hii sifa si nzuri.
 
Back
Top Bottom