Najiuliza hivi kwanini CEO wengi wa kampuni kubwa duniani ni wahindi au kuna kundi kubwa la wafanyakazi wahindi?

Najiuliza hivi kwanini CEO wengi wa kampuni kubwa duniani ni wahindi au kuna kundi kubwa la wafanyakazi wahindi?

Sio zero. Bado tunajifunza. Wahindi wametoka mbali hata kabla ya mkoloni tayari walikuwa wanataifa. Mwafrika ana ugonjwa wa kisaikolojia ipo siku atapona. Akili tunazo ila hatuna dira. Mwafrika hata akigundua kitu anamuuuzia mzungu, yeye hajiamini.
Unaona Dangote ameweza kupenya mbele ya warabu wahindi na wazungu ambao ndio mabwanyenye.Tukiamua tunaweza.
Je mpaka lini? Lakini sisi waAfrika tuna shida mahali ukitaka ukijua sie tuna shida waangalie tunao ishi je wapo tayari kujifunza na sie tuwe top top CEOs?
 
Je mpaka lini? Lakini sisi waAfrika tuna shida mahali ukitaka ukijua sie tuna shida waangalie tunao ishi je wapo tayari kujifunza na sie tuwe top top CEOs?
Kuna stage itabidi tupitie.
Umewaona wahindi wavaa misuli wana vyounda injini, piki piki, transformer nk. Ukiwaona ni watu flan very local ila wanatoa engineering product kubwa. India sio mda mrefu inaenda kuwa industrialized. Sasa sisi waafrika hata hatua ile ya wahindi wavaa misuli hatujafika unategemea tutakuwa CEO kule silicon value.
Mtu hujawahi unda hata kisu, utasimamia nini ? Labda vijana wahamasishane waanzishe vituo vya solution kwa kila kitu. Baadae hivyo vituo vitageuka kuwa hub na kuzaliha kampuni.
Umeona trend ya BYD EV car camp ? Eisee hawaa waishaipita BMW kwa ubora na cost
Gari yao inakupa kila kitu kwa gharama nusu ya BMW, sasa mauzo ya BMW yameanza kushuka.
Unajua nini , BYD ilianza kama kampuni ya kuzalisha battery leo wanashindana na Mjerimani. Ujue jinsi tulivyo na safari ndefu.
But we have to start.
 
Naomba kueleweshwa wakuu hivi kwanini CEO wa kampuni kubwa duniani ni wahindi au kuna utitiri mkubwa wa wafanyakazi wengi kuwa WaAsia Hususani wahindi yaani wamekamata soko la kampuni nyingi duniani aisee na kampuni zao zinafanikiwa sana aisee

Nenda Microsoft,Google,Apple na kadhalika wahindi wamedominate sana Aisee sijui Siri yao nini? Wakuu najiuliza sana hili swali na sipati jibu na Afrika, Marekani na sehemu nyingine wame dominate bwana aisee

"Luka 16: 10-12
Yeyote aliye mwaminifu katika mambo madogo, atakuwa mwaminifu katika mambo makubwa; na yeyote asiye mwaminifu katika mambo madogo, hatakuwa mwaminifu katika mambo makubwa. Kama basi, nyinyi si waaminifu kuhusu mali mbaya za dunia, ni nani atakayewakabidhi zile mali za kweli? Na kama nyinyi si waaminifu kuhusu mali ya mtu mwingine, ni nani atakayewakabidhi mali yenu wenyewe?"



Sisi hatuaminiki. Tunapenda kuiba na kupiga deals. Mwanzoni nilifikiri ni hapa nyumbani tu. Kumbe hata nje, kuna watu waliosoma na kuelimika na wanafanya deals.
Kuna siku nilikutana na mate wangu wa A Level amerudi toka ughaibuni. Amefungua restaurant na hakuwa anaonekana kama anataka kurudi alikotoka. Ingawa familia yake yote iko huko nje. Ile restaurant ilikuwa uswekeni sana na haikulingana na status yake kabisa.
Kufuatilia kumbe alikuwa mfanyakazi wa shirika moja. Akawa anawaibia wateja kwa namna nyingi tofauti. Akakamatwa na baadae kufungwa. Haajiriki tena. Alipotoka aliamua kuja kutuliza boli uko ughaibuni wamsahau kidogo. Mwingine aliiba vifaa vya electronics US akaja na mbwembwe za kampuni lakini sasa hivi kalala chali.
In principle
 
Wahindi wanajua kufanya management hasa hawatanii hiyo ni nature yao.. ni kama tunavyowasifia wachaga wakikuyu au wakika kwenye biashara.

We kama ulishasoma management chuo lazima ulisoma vitabu vya Gupta a father of management.

they have built that. We also can build. East Africa, Kenya imeanza kuwa labor supplier wa powerful economies sababu wanaaminika na wanaonekana wamesoma.
Sisi tumelundikana pamoja kama mchele. Deal zetu ni kuiba kwenye tender na kudhulumu watu. Tunasubiria nani afe ili tupande vyeo.
Tumeishiwa maarifa kiasi cha kwamba tumesahau dunia nzima kuna skills hazina watu wa kutosha. Tunaweza kuzifanya.
Philipines iliweza. Tukiamua kuamka kutoka kwenye huu usingizi na kuacha ujinga pia tutaweza. Sisi wote hatuwezi kuwa waajiriwa wa serikali. Tuko wengi sana kuliko nafasi zilizopo.
Tubadilike tena haraka sana
 
Nimepitia maoini mengi. Kuna kitu hakijaelezwa. Muhindi alishajiweka na kukubali kuwa mtumwa wa mzungu , mwarabu na mchina hawakubali hicho kitu. Muhindi ni middle man, ameisha jihalalishia hio nafasi. Hivyo kampuni za wazungu zinawaweka kwa sababu hakuna madhara makubwa ya ku leak tech knowhow and comp secret
Mchina tayari ana mind set ya ujasiliamali na umiliki, hataki suala la kutumikishwa na mzungu miaka yote.
Wachina wengi waliopewa nafasi kuw CEO au workers baadae walienda anzisha kampuni zao zikitoa huduma ile ile ila muhi di atahamia kampuni nyingine akaendelee kutumika.
Wazungu hawawaamini wachina kabisa ila inawabidi tu kwa shingo upande kwa sababu wachina ni smart na intelligent kuliko wahindi.
Wachina wanataka wawe nao sehemu ya umiliki.
Muhindi akienda USA nk hakumbuki kurudi kwao wakati wachina mguu ndani mguu nje.
Mwarabu hajihusishi sana na teknolojia kazi yake ni kuinunua kwa sababu pesa anazo. Vile vile mwarabu ananua hisa hana mda wa kuwa boss hata ujuzi hana.

Mwafrika haeleweki wala haaaminiki ispokuwa wachache sana. Mwafrka hajaonesha ukomavu wowote kwenye leadership na innovation hivyo apewe Kuwa CEO kwa CV ipi ? Wazungu hawapendi kubeti.
Jambo la mwisho mzungu hamuamini mzungu mwenzake, mda wowote ana hisi anaweza mzidi ujanjaakaanzishe kampuni yake.
Tech na buashara ni mchezo fulani unachezwa kwa akili.
Black man is a looser.
Wahindi wenyewe wa India wanalalamika sana kwa nini China inawaacha wakati hatua za ukuaji wote walianza sawa hata ukiangalia Global fortune 500 China anaongoza akifuatia na U.S India mbali huko.

Wahindi wanalalamika kwa nini wao wakienda nje wanabaki huko huko Canada,U.K hawarudi kwao kuikuza India ni tofauti kabisa na wachina wakienda nje ni lazima mzungu au muafrika alien siku moja.
 
Katika kitu CCM imewakosea sana Watanzania ni kuwapa elimu ya kuombea maji ya kunywa. Hao wahindi na waasia mifumo Yao ya elimu inawaandaa strategically
Naaaaahhh. India ni masikini wa kutupwa, na sehemu kubwa ya nchi yao ina mazingira hovyo kuliko Tanzania.

Strategically gani unaongelea hapa? How to shit in an open field at daytime anonymously?
 
Sababu ni moja tu. India ina population kubwa over 1 billion people na wengi wamesioma na kuhitimu vizuri bila ajira sababu taifa lao ni masikini, hivyo competition ni kubwa sana kitu kinachofanya wawe cheap na over qualified simultaneously kwenye field nyingi sana hasa Technology.

Simple as that.

Na wayahudi wako wangapi mpaka watutengenezee miundombinu ya kutuajiri sisi wote?
 
Hawana mambo mengi ya Kando Kando, mtu anaenda ofisini, akitoka nyumbani, akizidi sana katoka out na familia yake that's it, kuna viwanda vya MO wanajengewa hadi Hostel humo humo, mtu anatoka juu anashuka chini anafanya kazi akimaliza anarudi juu.

Ukiwa na Kampuni na una long term projects unahitaji watu wa namna hii, not necessarily smart people ila watu ambao wataka na project bila kubadili badili.
Except wahindi wengi ni smart.
 
Duniani kuna classes:
1. Wazungu - sayansi, ugunduzi
3. Wahindi - Biashara
Waarabu, waafrika Botha na Trump wameshasema sitii neno,
Wahindi biashara? Ushawahi sikia mtu anaitwa Steve Jobs? Bill Gates? Elon Musk? Au unadhani sio wafanya biashara hao?
 
Wahindi biashara? Ushawahi sikia mtu anaitwa Steve Jobs? Bill Gates? Elon Musk? Au unadhani sio wafanya biashara hao?
Hao matajiri sababu ya u genius wao kwenye mambo ya computer na internet siyo wafanya biashara. Unamjua mgunduzi wa Microsoft?
 
Except wahindi wengi ni smart.
Kuwa Manager not necessarily uwe smart, ukiwa chuo masomo ya biashara hili swali huulizwa sana tofauti baina ya Leader na manager.

Manager kazi yake yeye ni ku Execute, streamline operation, kuhakikisha wanapunguza gharama, hawatake risk sana etc.

Unamuweka mhindi Mhasibu ama HR anafanya kazi ile ile ambayo hata mbongo anaweza kufanya sio kazi ngumu, ila atachokupa mhindi cha ziada ni hatokosa kuja kazini, kila siku atakuja, yupo motivated kufanya kazi hatategea sana, productivity inakua ile ile siku ya kwanza ama after few years.

Mtu anaweza kuwa smart balaa, Genious kabisa ila sio motivated, siku ya kwanza anakupa Output nzuri tu ila after some time yupo bored output inashuka etc.

Hapa ndio unaona makampuni mengi yanataka managers.
 
they have built that. We also can build. East Africa, Kenya imeanza kuwa labor supplier wa powerful economies sababu wanaaminika na wanaonekana wamesoma.
Sisi tumelundikana pamoja kama mchele. Deal zetu ni kuiba kwenye tender na kudhulumu watu. Tunasubiria nani afe ili tupande vyeo.
Tumeishiwa maarifa kiasi cha kwamba tumesahau dunia nzima kuna skills hazina watu wa kutosha. Tunaweza kuzifanya.
Philipines iliweza. Tukiamua kuamka kutoka kwenye huu usingizi na kuacha ujinga pia tutaweza. Sisi wote hatuwezi kuwa waajiriwa wa serikali. Tuko wengi sana kuliko nafasi zilizopo.
Tubadilike tena haraka sana
Tanzania tuna successfull entrepreneur kushinda Kenya, tunaishi maisha mazuri kuliko wao. kuajiriwa nje ya nchi sio sifa bali ni kufeli kwa Serikali, unafikiri Nchi kubwa zinajisifia raia wake kuajiriwa Nchi nyengine?

Kuwa na watu kama Bakhresa ni mara 100 bora zaidi kuliko kuzalisha madaktari na wasomi wengine wanao kwenda kutumikia nchi za watu wakati Nchi yako ina taabika.
 
Naomba kueleweshwa wakuu hivi kwanini CEO wa kampuni kubwa duniani ni wahindi au kuna utitiri mkubwa wa wafanyakazi wengi kuwa WaAsia Hususani wahindi yaani wamekamata soko la kampuni nyingi duniani aisee na kampuni zao zinafanikiwa sana aisee

Nenda Microsoft,Google,Apple na kadhalika wahindi wamedominate sana Aisee sijui Siri yao nini? Wakuu najiuliza sana hili swali na sipati jibu na Afrika, Marekani na sehemu nyingine wame dominate bwana aisee
Nikifanikiwa kuianzisha kampuni ya maana, lazima hawa watu wawepo kwenye menejimenti ya kampuni zangu:
1. Wahindi
2. Wakenya

KWA NINI?
1. Wana exposure kubwa
2. Wabunifu
3. Wachapa kazi
 
Back
Top Bottom