Najiuliza wakati shetani anaasi mbinguni, alishawishiwa na nani? Maana hakukuwa na shetani muda huo. Binadamu tunashawishiwa na shetani dhambini

Hili swali huwa najiuliza sana

Ni nani alimshawishi shetani kumuasi Mungu?

Na kwa nini Mungu asizuie shetani kuasi ?
Mungu mwenyewe ndio Shetani, yaan hapo ni kupiga hesabu ngumu sana ndio upate jibu hizo calculation sio ndogo ila mwisho jibu linakuja kwa mujibu wa maandiko Mungu mwenyewe ndio Shetani, km unapingana na Mimi basi ungana na Mimi nikuthibitishie hilo kwamba ni kweli Mungu na Shetani ni kitu kimoja
 
Mungu ni upande wa pili wa Shetani yote yaliyotokea ni mipango yake alipanga iwe hivyo yeye mwenyewe ni sawa na wewe uchonge draft uweke kete kisha ucheze mwenyewe both side huku una attack huku una defend ndio ilivyo kwa Mungu na Shetani, ni ngumu sana kuelezea na ngumu pia kumshawishi mtu aelewe hasahasa aliepandikizwa elimu fulan kisha akagoma kujiuliza maswali au kuuliza maswali kabaki tu km Zombie fulani
 
Kabisa mkuu na ushaidi mwingine ni kwamba mpaka dhambi inaingia duniani akukua na shetani shetani alikua Bado kwenye majukumu yake mbinguni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…