Kiagoh92
Senior Member
- Feb 23, 2018
- 101
- 56
Kwa upande wangu naona bora mara 1000000 kuwa mwanaume wa dar kuliko wa shamba kwa sababu zifuatazo.
Dar kuna kila kitu ambacho Mikoani baadhi kupatikana shida.
Dar hatulimi ila unachotaka kula kipo.Tofaut na mikoani
Dar Hatukai kizembe zembe akili ndio msing wa Maisha tofaut na mikoani.
Najivunia kuwa mwanaume wa dar.
Dar kuna kila kitu ambacho Mikoani baadhi kupatikana shida.
Dar hatulimi ila unachotaka kula kipo.Tofaut na mikoani
Dar Hatukai kizembe zembe akili ndio msing wa Maisha tofaut na mikoani.
Najivunia kuwa mwanaume wa dar.