Madame B hata ukinikana mimi ni wako wa kufa na kuzikana,achana na Ben Saanane ni tapeli wa mapenzi,muda mfupi ujao utajua kila kitu kuhusu huyu almasi bandia wako!
Tatizo huku kuna wababe!...yaan kupotea njia 2 jamaa anantoa resi!... Xo, ikabid nikatize kazi yangu nikalala kwenye mtaro!! Na akiendelea na hyo tabia ntamfanya client kweny hyo kaz yangu.
Hehehe mie nilijitoa mapema maana na uzee huu hayo mambo sikuyaweza.
Nadhani utakuwa ni wewe ulishinda, maana shem umekaba penati...
I love Uuu!!!
Wanga na wachawi, bye bye.
Duh ndo maana nakupenda swits!
Umejibu kikamanda,umejibu ki-Firstlady.Kama Hillary Clinton kwenye scandal ya Monica Lewisky
CC: Majungu Camp
CC:Vyombo vya habari
CC:Wadaku
CC:Wake zangu wa zamani na waume zake wa zamani
Mhhhh haya maneno nahisi kama yatamuumiza shem Madame B