Najivunia kuwa na wewe Madame B, Sichoki kuisikiliza sauti yako tamu masikioni mwangu

Najivunia kuwa na wewe Madame B, Sichoki kuisikiliza sauti yako tamu masikioni mwangu

I know mwisho wa race hii kwa Madame B ntashinda najua huyo sa8 stress za siasa zitamfanya ashindwe
 
Last edited by a moderator:
Ngastuka, machale kundensa, Madame B kalegeze limbwata otherwise huyu jamaa atachizika, khaaa...!! sipati picha siku ya kibuti chake ikifika..

Sifikirii kumuacha na yeye hafikirii kuniacha.
Wote tumefika Kigoma, mwisho wa reli.
Baba V, utasubiri sana fenesi chini ya mpera.
 
Last edited by a moderator:
Ngastuka, machale kundensa, Madame B kalegeze limbwata otherwise huyu jamaa atachizika, khaaa...!! sipati picha siku ya kibuti chake ikifika..

Sifikirii kumuacha na yeye hafikirii kuniacha.
Wote tumefika Kigoma, mwisho wa reli.
Baba V, utasubiri sana fenesi chini ya mpera.
 
Last edited by a moderator:
Tatizo huku kuna wababe!...yaan kupotea njia 2 jamaa anantoa resi!... Xo, ikabid nikatize kazi yangu nikalala kwenye mtaro!! Na akiendelea na hyo tabia ntamfanya client kweny hyo kaz yangu.

Nilikuambia tangu awali uje kulala sebuleni kwetu, ukaleta pozi.
Huko mtaroni umeamka swalama?
Umejikagua mwili wote?
Huna mchubuko?
Haya karibu.
 
Sifikirii kumuacha na yeye hafikirii kuniacha.
Wote tumefika Kigoma, mwisho wa reli.
Baba V, utasubiri sana fenesi chini ya mpera.

Madame B maneno haya haya ulikuwa unayasema ulivyokuwa na Shark,tumeyazoea kama bata alivyozoea maji.
 
Last edited by a moderator:
Hehehe mie nilijitoa mapema maana na uzee huu hayo mambo sikuyaweza.

Nadhani utakuwa ni wewe ulishinda, maana shem umekaba penati...

Shem kwani ni mimi basi ninaekaba mpaka penati,
ni Jimbo nililokoshewa kwetu TA, ndo lanifanya hv.
 
Duh ndo maana nakupenda swits!

Umejibu kikamanda,umejibu ki-Firstlady.Kama Hillary Clinton kwenye scandal ya Monica Lewisky

CC: Majungu Camp
CC:Vyombo vya habari
CC:Wadaku
CC:Wake zangu wa zamani na waume zake wa zamani

We chekelea tu.
Sio kuongea hvo, basi ndo uniletee mke mwenza.
Wa M4C wenzako watakukuta Mabwepande ukiwa huna kucha, jicho wala meno.
 
Back
Top Bottom