Najivunia kuwa na wewe Madame B, Sichoki kuisikiliza sauti yako tamu masikioni mwangu

Najivunia kuwa na wewe Madame B, Sichoki kuisikiliza sauti yako tamu masikioni mwangu

Dah!!!
Mpenzi wangu Ben Saanane...umepotea kama upepo.
Kama uko salama, tutaonana tu.
Ila kama in mipango ya Allah, tutakutana peponi.
Love you!!!!
Not to sound cruel but unatunza penzi lake au masela wamesha make Y as a subject? ..... Naomba nimalize kwa kupa Pole kwa kupotelea na kipenzi chako
 
Not to sound cruel but unatunza penzi lake au masela wamesha make Y as a subject? ..... Naomba nimalize kwa kupa Pole kwa kupotelea na kipenzi chako
Asante.
Jamani tangu 2016 December natunza penzi lake tu?
Nililitunza but naona nitapata ugonjwa was mfadhaiko.
 
Daah kumbe Ben alikuwaga anachitchatika na yeye
Hahahaha
Khantwe bhana
Muda mwingine inabidi mambo ya nyuma ya keyboard yawe mbele na halisi.
But...ndio tulikuwa tunaanza.
Sijajua endapo angekuwepo mpaka sasa, tungekuwa wapi!

Ila mimi nina mkosi....yule mwingine nae kafa, huyu ndo sijajua kama yu hai au ndo kaondoka.
 
Nimejisikia huzuni kubwa kumkosa huyu ndugu....
We shall meet you Ben
 
Najua una majonzi kwa kuwa uliyempenda hakupendeka na kutumia njia ya kistaarabu kumuacha kwa majonzi, nimekuja mwokozi kukufuta machozi kwakukupa penzi la dhati

Nakupenda mpenzi amini sitalimwaga lako chozi, na daima nitakuenzi.

Kwa tuliyopanga weekend naamini Mola atatutangulia,sauti yako tamu masikioni mwangu bado yajirudia rudia.

Wikiendi ndiyo imeisha, majukumu hatunabudi kuyatimiza dear, kuwa nawe muda mrefu
nimefurahia nakujihisi mfalme katika hii dunia kuwa nawe najivunia. Luv u


Madame B,Do not think for one second you are alone, for two hearts and souls joined together in friendship, for this life and in many past lives, forges an unbreakable bond that only grows stronger in time.
My love for you knows no limits. It is timeless, spaceless, formless, unshakable and un breakable.Ilove you Madame B

CC: Madame B-Future First Lady(kiboko ya magamba kule siasani)

CC: Kwa wale waume zake wa zamani
CC:Kwa mashemeji
CC:Kwa wale wote wanaomtolea mimacho
CC;Kwa wale wote wanaomuhonga bila kuambulia kitu madame B kula kama vijana wanavyokula za CCM lakini kura CHADEMA.View attachment 92669

NB: Ben Saanane wa Chit chat anabakia humu humu na wanachama kampani yake.
Bado Naendelea kukusubiri.
Nina imani ipo siku utarudi.....❤️❤️❤️
 
Jamaa alikuwa na Elimu nzuri
Alikuwa very humble
Alikuwa ana umri mdogo
Alikuwa visionary
Alikuwa Kijana mwenye nguvu ,akili na upeo mkubwa.

Ila akaamua kuchagua upande tofauti wa kisiasa

Akapotezwa
Akabaki historia


Then huwa sielewi ni kweli tumeshindwa kuujua ukweli about this guy ni kweli walimchukua huyu Kijana tunashindwa kuwadukua akili zao na kuupata ukweli?



FB_IMG_17385588588592311.jpg
 
Back
Top Bottom