Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 31,155
- 35,683
Kula bata my dear maisha yenyewe mafupi, Shem wako hajambo kabisa shosti
Ndo mana yakeee...hapa ni Bata mpaka kuku waone gere.
Heri Maisha mafupi ya Raha kuliko Marefu ya Karaha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kula bata my dear maisha yenyewe mafupi, Shem wako hajambo kabisa shosti
Daah pole Madam.Dah!!!
Mpenzi wangu Ben Saanane...umepotea kama upepo.
Kama uko salama, tutaonana tu.
Ila kama in mipango ya Allah, tutakutana peponi.
Love you!!!!
Not to sound cruel but unatunza penzi lake au masela wamesha make Y as a subject? ..... Naomba nimalize kwa kupa Pole kwa kupotelea na kipenzi chakoDah!!!
Mpenzi wangu Ben Saanane...umepotea kama upepo.
Kama uko salama, tutaonana tu.
Ila kama in mipango ya Allah, tutakutana peponi.
Love you!!!!
Madame B
Nami nimeonaaaDaah kumbe Ben alikuwaga anachitchatika na yeye
Nimeshapoa.Daah pole Madam.
Asante.Not to sound cruel but unatunza penzi lake au masela wamesha make Y as a subject? ..... Naomba nimalize kwa kupa Pole kwa kupotelea na kipenzi chako
HahahahaDaah kumbe Ben alikuwaga anachitchatika na yeye
TayariMadame B
Bado Naendelea kukusubiri.Najua una majonzi kwa kuwa uliyempenda hakupendeka na kutumia njia ya kistaarabu kumuacha kwa majonzi, nimekuja mwokozi kukufuta machozi kwakukupa penzi la dhati
Nakupenda mpenzi amini sitalimwaga lako chozi, na daima nitakuenzi.
Kwa tuliyopanga weekend naamini Mola atatutangulia,sauti yako tamu masikioni mwangu bado yajirudia rudia.
Wikiendi ndiyo imeisha, majukumu hatunabudi kuyatimiza dear, kuwa nawe muda mrefu
nimefurahia nakujihisi mfalme katika hii dunia kuwa nawe najivunia. Luv u
Madame B,Do not think for one second you are alone, for two hearts and souls joined together in friendship, for this life and in many past lives, forges an unbreakable bond that only grows stronger in time.
My love for you knows no limits. It is timeless, spaceless, formless, unshakable and un breakable.Ilove you Madame B
CC: Madame B-Future First Lady(kiboko ya magamba kule siasani)
CC: Kwa wale waume zake wa zamani
CC:Kwa mashemeji
CC:Kwa wale wote wanaomtolea mimacho
CC;Kwa wale wote wanaomuhonga bila kuambulia kitu madame B kula kama vijana wanavyokula za CCM lakini kura CHADEMA.View attachment 92669
NB: Ben Saanane wa Chit chat anabakia humu humu na wanachama kampani yake.
Bado Naendelea kukusubiri.
Nina imani ipo siku utarudi.....❤️❤️❤️
Asante sana kipenzi changu.Pole sana, ukiwa na ukaribu na mtu na akatoweka bila kuagana kunakuwa na maumivu anayoyaelewa mhusika tuu.
Mola akufanyie wepesi.