Manjagata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 13,942
- 15,371
Pole Madame B!Ndio hivo.
Ila sichoki kumsubiri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole Madame B!Ndio hivo.
Ila sichoki kumsubiri.
Kila la kheri!Najua una majonzi kwa kuwa uliyempenda hakupendeka na kutumia njia ya kistaarabu kumuacha kwa majonzi, nimekuja mwokozi kukufuta machozi kwakukupa penzi la dhati
Nakupenda mpenzi amini sitalimwaga lako chozi, na daima nitakuenzi.
Kwa tuliyopanga weekend naamini Mola atatutangulia,sauti yako tamu masikioni mwangu bado yajirudia rudia.
Wikiendi ndiyo imeisha, majukumu hatunabudi kuyatimiza dear, kuwa nawe muda mrefu
nimefurahia nakujihisi mfalme katika hii dunia kuwa nawe najivunia. Luv u
Madame B,Do not think for one second you are alone, for two hearts and souls joined together in friendship, for this life and in many past lives, forges an unbreakable bond that only grows stronger in time.
My love for you knows no limits. It is timeless, spaceless, formless, unshakable and un breakable.Ilove you Madame B
CC: Madame B-Future First Lady(kiboko ya magamba kule siasani)
CC: Kwa wale waume zake wa zamani
CC:Kwa mashemeji
CC:Kwa wale wote wanaomtolea mimacho
CC;Kwa wale wote wanaomuhonga bila kuambulia kitu madame B kula kama vijana wanavyokula za CCM lakini kura CHADEMA.View attachment 92669
NB: Ben Saanane wa Chit chat anabakia humu humu na wanachama kampani yake.
Madame B kumbe una historia ya kuhuzunisha namna hii? Pokea pole za dhati kutoka kwangu. Ulisoma kitabu cha Kabendera? Alisema kuwa yule mwovu alimuua mwenyewe kwa mkono wake tena ndani ya ikulu. Kusema kweli naona hata mods wangeweka abbrez a RIP kwenye profile yake tu kwa sababu ni ukweli usiopingika kuwa hatunaye tena. Once again, pole sana. Hivi ilikuwa ni utani wa JF wa members kutaniana tu au mlikuwa mnajuana kwa kuonana?😂😂
Ujane unachosha, we acha tu.
Mhhh!!....wanasiasa tena, hapana!!
Bora nidili na hawa wa uraiani tu.
Asante, nilishapoa.Pole Madame B!
Kabisa😔Sad...😪
Shikamoo mateSad...😪
Asante sana macho_mdiliko mkuu.Madame B kumbe una historia ya kuhuzunisha namna hii? Pokea pole za dhati kutoka kwangu. Ulisoma kitabu cha Kabendera? Alisema kuwa yule mwovu alimuua mwenyewe kwa mkono wake tena ndani ya ikulu. Kusema kweli naona hata mods wangeweka abbrez a RIP kwenye profile yake tu kwa sababu ni ukweli usiopingika kuwa hatunaye tena. Once again, pole sana. Hivi ilikuwa ni utani wa JF wa members kutaniana tu au mlikuwa mnajuana kwa kuonana?
Hatorudi Yule .siku zote atakuwa wapi?Asante, nilishapoa.
Maana nililia na kulia ila ndio hivo siwezi kujua hatma.
Kama yuko salama nina imani atarudi!
Miss Natafuta, kuna sauti ya rohoni inasema niendelee kumsubiri.Hatorudi Yule .siku zote atakuwa wapi?
Kwaiyo hugegedwi?Miss Natafuta, kuna sauti ya rohoni inasema niendelee kumsubiri.
Ila Ben nae bna kwanini alichagua vita binafsi na Yule mtu?Asante sana macho_mdiliko mkuu.
Kitabu cha Kabendera kuna mtu alinitumia kwa njia ya PDF ili nisome kupata ukweli, ila sikudili nacho kwa maana sikutaka kujua na kujikumbushia machungu.
Ninacho!!!
Na sidhani kama wataweza weka RIP maana sheria za Jf ni mpaka uongozi uthibitishe na awepo mtu aliyeshuhudia mwili wa marehemu, hvo bado kuna ukakasi. Maandiko sio hitimisho la kusema amefariki, maana hakuna aliyethibitisha kuuona mwili.
Ben alikuwa mtu wangu na rafiki yangu.
Kuna mengine siwezi weka hapa maana sheria za Jf haziniruhusu.
Hapa kariakoo tuna Madame wetu B ni maarufu sana so Kila nikionaga hii handle(ID) yako naitilia shaka.😊Miss Natafuta, kuna sauti ya rohoni inasema niendelee kumsubiri.
NdioKwaiyo hugegedwi?
Ni mambo yao binafsi.Ila Ben nae bna kwanini alichagua vita binafsi na Yule mtu?
Hakuona upepo?
Kweli?Hapa kariakoo tuna Madame wetu B ni maarufu sana so Kila nikionaga hii handle(ID) yako naitilia shaka.😊