cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
Asante.
Jamani tangu 2016 December natunza penzi lake tu?
Nililitunza but naona nitapata ugonjwa was mfadhaiko.
Pole, bado unamtunzia ila una onja onja au?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante.
Jamani tangu 2016 December natunza penzi lake tu?
Nililitunza but naona nitapata ugonjwa was mfadhaiko.
Hi inauma BBado Naendelea kukusubiri.
Nina imani ipo siku utarudi.....❤️❤️❤️
Sana, sema sina la kufanya!!!Hi inauma B
Asante mwaya,Pole, bado unamtunzia ila una onja onja au?
Lione! sio kuamua ni unaonja haswa...🤣Asante mwaya,
Namtunzia, japo wakati mwingine uzalendo unanishinda na kuamua kuonja onja 😔!
Siku moja moja jamani inaruhusiwa.Lione! sio kuamua ni unaonja haswa...🤣
Tumeshapoa.Pole sana
basi namimi siku moja moja nitakuja kukutembelea au unasemaje..?Siku moja moja jamani inaruhusiwa.
Japo si sana!!!
Pole sana,wamechukua mzima mzima.Asante mwaya,
Namtunzia, japo wakati mwingine uzalendo unanishinda na kuamua kuonja onja 😔!
Nina imani atarudi tuPole sana,wamechukua mzima mzima.
Jamani kumbe uliachwa mjane.pole SanaNina imani atarudi tu
😂😂Jamani kumbe uliachwa mjane.pole Sana
Kamdangie hata mbowe upunguze machungu
Lipumba ana madhara gani.jiweke hata pale😂😂
Ujane unachosha, we acha tu.
Mhhh!!....wanasiasa tena, hapana!!
Bora nidili na hawa wa uraiani tu.
Very sad. Sometimes ni Bora Umzike mtu Moyo wako utatulia Kuliko kukaa Hujui hatima yake ilikuwaje.Sana, sema sina la kufanya!!!
Duh, hivi huyu kijana ndiyo akapotezwa jumla!? Mungu huyu jamani!Asante mwaya,
Namtunzia, japo wakati mwingine uzalendo unanishinda na kuamua kuonja onja 😔!
Hapana aisee.Lipumba ana madhara gani.jiweke hata pale
Kabisa, hili liko wazi.Very sad. Sometimes ni Bora Umzike mtu Moyo wako utatulia Kuliko kukaa Hujui hatima yake ilikuwaje.
Ndio hivo.Duh, hivi huyu kijana ndiyo akapotezwa jumla!? Mungu huyu jamani!