Najivunia kuwa na wewe Madame B, Sichoki kuisikiliza sauti yako tamu masikioni mwangu

Jamani kumbe uliachwa mjane.pole Sana
Kamdangie hata mbowe upunguze machungu
πŸ˜‚πŸ˜‚
Ujane unachosha, we acha tu.
Mhhh!!....wanasiasa tena, hapana!!
Bora nidili na hawa wa uraiani tu.
 
Very sad. Sometimes ni Bora Umzike mtu Moyo wako utatulia Kuliko kukaa Hujui hatima yake ilikuwaje.
Kabisa, hili liko wazi.
Nimgezika ningejua moja.
Ila ndio hivyo, sijui kama yuko hai au lah!!
Inauma sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…