Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Madame B njo uthibitishe/ukanushe hukuChocs kamba tu hizo anamfunga Ben Saanane hamna chapenzi wala nini, ni kumchuna tu kwa kwenda mbele.
kopi: CHAI CHUNGU
Haya bwana..!!hapa mjini hutishi ntu wewe!
Teh teh
Hapana KOKUTONA mpenzi!!!
Hapana na usiseme hivo kabisa.
Najua ni ngumu kusahau, ila jikaze mpenzi.
Mungu alikuwa na makusudi yake.
Tazama mie kwa jinsi mlivyonifariji, lakini nilipiga moyo konde.
Nilikubaliana na hali ile.
Na ndio maana kila siku siachi kuwasalimia humu, kwa maana najua ninyi ni zaidi ya ndugu, kaka zangu, dada zangu, wadogo zangu na kila kitu.
KOKUTONA, piga moyo konde mamito.
Tuko pamoja.
Nilikwenda kule kwa wakubwa wenzangu kucheki kama kuna habari mpya ya mjini. Nimerudi. BTW huko afrika mashariki muda huu ni saa ngapi?
I love Uuu!!!
Wanga na wachawi, bye bye.
Thanx...ila narudi kwetu kijijini!...huku mjin kuna wenyewe! Nashukur, by the way.
Yaani kama ulikuwepo kaka Bishanga
Nani, mimi au?