Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna unafiki hapo mkuu. Ukikutana na mimi halafu ukinijua, basi ni watu wawili tofauti kabisa. Ndiyo maisha niliyochaguaWatu mna vyeti vya unafuki humu 😄😄😄
Ni kweli ujiposti status WhatsApp lakini bado una ego hata, hiki ulicho kileta kinaonesha wewe ni mjivuni, ni kama ulikua unataka kutuambia kwamba unamiliki gari na pia wewe ni msomi ungekua sio mtu wa kujionyesha ungekausha hata usingeandika huu uziBaadhi ya mambo ambayo yakizidi sana huwa nayaona ushamba na ulimbukeni. Haya mambo mimi yamenipita mbali kabisa.
1. Kujipost WhatsApp status
Hata kama nitafanya jambo gani, hata kama nimepata nini cha mafanikio huwezi kukikuta status. Mwaka jana nimegraduate taaluma mbili tofauti lakini huwezi kukuta status. Acha status hata graduation sikuhudhuria(Japo sio ushamba)
Sijui nimenunua gari kali najisikia aibu sana kujipost. Hata picha tu ya gari sina, na zile zilizotumiwa na Mjapani nilishazifuta.
Kuna mdogo wangu alikuwa anapenda kupiga picha na gari anajipost. Nikamkataza.
Yule baby alikuwa anapenda kujiselfie na mimi halafu anajipost. Nikamkata kistaarabu tu baby don't do that. Hata kesho nikifanya harusi nadhani hakutakuwa na status.
Naona wenzangu wanapost matokeo ya watoto wao yaliyotoka jana. Mimi A tupu za wakwangu siwezi kuzipost, naona ulimbukeni. Ahadi ya zawadi niliyompa akipata A zote nitampatia, nitamtia moyo aongeze bidii na kumpeleka vacation ya kisima.
2. Kutumia elimu na kazi yangu kujiona bora
Nina mavyeti mengi tu lakini sio bora kuliko wengine. Sio bora kuliko mlinzi na mfagizi pale ofisini. Wakati wengine wakipita bila hata kumsalimia mlinzi na kusaini daftari getini. Mimi lazima nimjulie hali nijitambulishe. Hata akisema basi nenda tu, namwambia hapana nitasaini hapa na kule kwa Mkurugenzi nitasaini. Maana ndio utaratibu.
Tukiwa shamba mimi sio bora kuliko kibarua. Kwa hiyo msosi wa shamba utakula wote.
Unaninafikia wewe 😄😄😄😄😄Hakuna unafiki hapo mkuu. Ukikutana na mimi halafu ukinijua, basi ni watu wawili tofauti kabisa. Ndiyo maisha niliyochagua
😂😂Juzi kafikisha miaka 32
nipo nina siku ya 3 jukwaani, majukumu yali kuwa mengi, lakini pia nili pata ajali.Duh!! Upo?
What happened..!?
Pole sana rafiki.. Unaendeleaje lakini?nipo nina siku ya 3 jukwaani, majukumu yali kuwa mengi, lakini pia nili pata ajali.
binti kiziwi
Kwa Sasa niko poa sana, mchumba amesha maliza chuo?? binti kiziwiPole sana rafiki.. Unaendeleaje lakini?
Hajambo anakusalimia ameshamaliza ameanza na kazi 😀Kwa Sasa niko poa sana, mchumba amesha maliza chuo?? binti kiziwi
huyo si wangu tena, anyway nili taka ku confirm kama ni wewe.Hajambo anakusalimia ameshamaliza ameanza na kazi 😀
Hebu niite hapo!huyo si wangu tena, anyway nili taka ku confirm kama ni wewe.
maana Kuna sehemu nime Soma nika ona sijui mtu hapendwi, Mara ume ibiwa simu 😆😊
Haya 😃😂Hebu niite hapo!
ime ondolewa😂😂Hebu niite hapo!
ila hapa amejianika aiseeeehMkuu wewe kama mimi tuu
Kuna wanangu niliomaliza nao Telecom pale Cive walikua watu wa ku show off status ila mii wala
Nulipo piga electrical south africa wala hakuna ndugu aliyekua anajua an ni mtu wa kimya kimya..
Juzi nimeenda dubai lakini cha ajabu sijapiga picha hata kidogo. Mpaka mdogo angu anashangaa huyu blaza vipi ila naona normol tuu..
Maisha ya mtandaoni kujianika mi ndo siwezi kabisa aiseee
Hii ni nature niliyonayo toka advance nilipo piga A ya phy na chem wala sikua mtu wa show off zaidi zaidi waliokuwa and anapost matokeo yangu ni wale ndgu wa karibu tuu..
Ila jamaa juu hapoila hapa amejianika aiseeeeh