Mshamba wa kusini
JF-Expert Member
- Jun 30, 2015
- 2,857
- 3,593
Wewe hujipost ila unajitype ni sawa na mmasai kujiita muarusha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wala sio shida zangu,.Unakera ujui tuu....
Mi sio mchawi ila mambo ya kupost post inakera..Wala sio shida zangu,.
Simu ya kwangu, bando langu, napost matukio yangu wewe unakereka nini kama sio uchawi😄😃
Kumbe matatizo mnayo ninyi viewers sie tunaopost wala sio shida zetu,.Mi sio mchawi ila mambo ya kupost post inakera..
Kwanini upost yaan mi sijala alafu ww unapost upo kula kama sio wanga ni nini 😄
Uko vizuri sana na MUNGU azidi kukupa neema tele.Baadhi ya mambo ambayo yakizidi sana huwa nayaona ushamba na ulimbukeni. Haya mambo mimi yamenipita mbali kabisa.
1. Kujipost WhatsApp status
Hata kama nitafanya jambo gani, hata kama nimepata nini cha mafanikio huwezi kukikuta status. Mwaka jana nimegraduate taaluma mbili tofauti lakini huwezi kukuta status. Acha status hata graduation sikuhudhuria(Japo sio ushamba)
Sijui nimenunua gari kali najisikia aibu sana kujipost. Hata picha tu ya gari sina, na zile zilizotumiwa na Mjapani nilishazifuta.
Kuna mdogo wangu alikuwa anapenda kupiga picha na gari anajipost. Nikamkataza.
Yule baby alikuwa anapenda kujiselfie na mimi halafu anajipost. Nikamkata kistaarabu tu baby don't do that. Hata kesho nikifanya harusi nadhani hakutakuwa na status.
Naona wenzangu wanapost matokeo ya watoto wao yaliyotoka jana. Mimi A tupu za wakwangu siwezi kuzipost, naona ulimbukeni. Ahadi ya zawadi niliyompa akipata A zote nitampatia, nitamtia moyo aongeze bidii na kumpeleka vacation ya kisima.
2. Kutumia elimu na kazi yangu kujiona bora
Nina mavyeti mengi tu lakini sio bora kuliko wengine. Sio bora kuliko mlinzi na mfagizi pale ofisini. Wakati wengine wakipita bila hata kumsalimia mlinzi na kusaini daftari getini. Mimi lazima nimjulie hali nijitambulishe. Hata akisema basi nenda tu, namwambia hapana nitasaini hapa na kule kwa Mkurugenzi nitasaini. Maana ndio utaratibu.
Tukiwa shamba mimi sio bora kuliko kibarua. Kwa hiyo msosi wa shamba utakula wote.
Tutawaroga nyieKumbe matatizo mnayo ninyi viewers sie tunaopost wala sio shida zetu,.
Fresh tu hamna tatizoTutawaroga nyie
Mtoa mada anapaswa kutambua ya kuwa binadamu kamwe hatuwezi tukafanana..Kujisifia mwenyewe au kuona wengine washamba ndo ushamba wenyewe. To each their own pambana na hali yako.
Mbona usha liweka hapa JFMi mkuu siwezi kufanya hilo...
Yaani nipo.lazi nikae na langu moyoni
Endeleeni kukaa nayo,.
Tena mie ninavyopenda show off. Chochote tu napost iwe meme, iwe sijui nimetoka out. Nikiwa ofisini tu najipost mda mwingine,.
Na ninaishi vizuri tu, kama kuna ninayemkera animute
Madam HannahNa kuna mimi na mashoga zangu wa huku buza hata tukila kiepe yai ni lazima tupost tena ndio iwepo na mishikaki post itarudiwa mpaka. Sisi hatuwezi kuvaa wigi jipya bila kupost.. ni bora tusivae.
Ahsante Mhasibu kwa machache tumeweza Gundua kuwaBaadhi ya mambo ambayo yakizidi sana huwa nayaona ushamba na ulimbukeni. Haya mambo mimi yamenipita mbali kabisa.
1. Kujipost WhatsApp status
Hata kama nitafanya jambo gani, hata kama nimepata nini cha mafanikio huwezi kukikuta status. Mwaka jana nimegraduate taaluma mbili tofauti lakini huwezi kukuta status. Acha status hata graduation sikuhudhuria(Japo sio ushamba)
Sijui nimenunua gari kali najisikia aibu sana kujipost. Hata picha tu ya gari sina, na zile zilizotumiwa na Mjapani nilishazifuta.
Kuna mdogo wangu alikuwa anapenda kupiga picha na gari anajipost. Nikamkataza.
Yule baby alikuwa anapenda kujiselfie na mimi halafu anajipost. Nikamkata kistaarabu tu baby don't do that. Hata kesho nikifanya harusi nadhani hakutakuwa na status.
Naona wenzangu wanapost matokeo ya watoto wao yaliyotoka jana. Mimi A tupu za wakwangu siwezi kuzipost, naona ulimbukeni. Ahadi ya zawadi niliyompa akipata A zote nitampatia, nitamtia moyo aongeze bidii na kumpeleka vacation ya kisima.
2. Kutumia elimu na kazi yangu kujiona bora
Nina mavyeti mengi tu lakini sio bora kuliko wengine. Sio bora kuliko mlinzi na mfagizi pale ofisini. Wakati wengine wakipita bila hata kumsalimia mlinzi na kusaini daftari getini. Mimi lazima nimjulie hali nijitambulishe. Hata akisema basi nenda tu, namwambia hapana nitasaini hapa na kule kwa Mkurugenzi nitasaini. Maana ndio utaratibu.
Tukiwa shamba mimi sio bora kuliko kibarua. Kwa hiyo msosi wa shamba utakula wote.
And this is how i live with my friends😍😁 Nimependa huu ujasiri wako.. unaongea kimsisitizo Sana Madam
Mimi Kuna baadhi ya friends ambao nina namba zao Whatsapp wasipo post hata kwa siku 2 Huwa nawajulia Hali kuuliza kama wapo wazima ama lah maana nimezoea kuona posts zao.
Wakati mwingine ni sehemu ya kuanzisha mazungumzo sio wakati wote mtakuwa mnatafutana..
Kuna Ile anaepost Kuna kitu kimekufurahisha una reply unachat kidogo siku zinaendana..
Kuna wakati Fulani Kuna rafiki hakuwai post kama Kuna week na siku kadhaa nilimtafuta mbona siioni post zako maana Mimi ni mfatiliaji wa posts zako kumbe alikua anamatatizo kadhaa.. so status inatutanya tuwe connected somehow
Ila mzee uko moto hasaWatu wabaya na wenye nia ovu huwa mnajitetea hivi.
Hauwezi ukawa Mwasibu mubumbu unawaza ngono na mamipira ukawa na potential
Ni ujinga tu
Kama unaona unahitaji kukaa nayo moyoni then kinacho kuleta JF kuwalaumu wanao onyesha furaha zao na kuwaita washamba ni nini unaonaje kama ukikaa kimya na uache wengine wafurahie maisha yao kwa amani na wewe ukae na siri zako kwa amani
Kwani JF sio social network.?Mbona unaemda off point sasa?
Je hii mada inahusu habari za kuchangia hoja zetu JF?
Shangazi binti kiziwi shikamooMwasibu umefanya wanachofanya hao ila kwa platform tofauti.
Watu wana flex kitofauti tofauti… Mmeshawahi kujiuliza matajiri na matajiri wenzao wakikutana kwenye social gatherings zao wanaongea nini? wanatambiana nini?
Si ushamba… Kuna levels kwa kila kitu… na walengwa kwa kila kitu.
It’s me, someone ambaye sipost personal staffs kwa status zaidi ya moments/location nayo ni incognito.. Ni lazima utauliza hapo ni wapi….! Napost memes/jokes pia…