gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 3,915
- 6,272
Wewe kama huna usilipe,riba gani 53%?Wiki iliyopita si ni li kopa pesa x ikawa natakiwa nirejeshe pesa nusu mara mbili ndani ya siku 14 yani kila baada ya siku Saba nirejeshe.
Sasa rejesho la kwanza lilikuwa jana ila cha moto nakipata! Aloo najuta, sio kwa meseji hizo ninazotumiwa!
Kwani nisipolipa watanifanya nini tofauti na kuwapigia wadhamini wangu?
Pia soma: Nape: Tumewaagiza TCRA wachunguze wale wanaodhalilisha watu waliowakopesha Mtandaoni
Ni kweli kabisa shida Haina mwenyewe mkuuKushindwa kulipa jambo moja, ila kujisifu kwa kutolipa ndilo jambo zaidi.... by the way hao wakopaji wa mtandaoni hawafai ni vile tu shida hazina mwenyewe.
Nilikopa.78.elfu natakiwa.kulipa.laki Moja na elfu 5.kasoroWewe kama huna usilipe,riba gani 53%?
Ndogo ndo bidhaa gani mkuuWatawajua Tena Kuna Jamaa Alikopa
Alitengezewa Group La WhatsApp Akadhalilishwa
Kuwa Anauza Ndogo
Dooh ila uliwalipa ?yaan srinaga hamu naoo kabisaa walivuonifanyia nkaonba wako wapi niwapelekeè wakajibu ulichukua hela ofisin kha
Na jamaa ni matapeli.Nimekupata vizuri.
Kama ndivyo basi hatuna serikali ya wananchi kwenye hili taifa.
Watu wanapigwa kwa sababu ya shida zao...sirikali kimya.
Mbaya sana.
Buza kwaa mpalangeNdogo ndo bidhaa gani mkuu
Kwenye kudai wameipa kampuni maalumu ya kudaiyaan sinaga hamu naoo kabisaa walivyonifanyia nkaomba wako wapi niwapelekeè wakajibu ulichukua hela ofisin kha
Shoga wanampakua ndio maana yake.😂😂😂Ndogo ndo bidhaa gani mkuu
Huo ni udhalilishaji SasaBuza kwaa mpalange
Mkuu Anauza LBGTNdogo ndo bidhaa gani mkuu
Never mpaka nshasahauDooh ila uliwalipa ?
Dooh Sasa wao walijuaje au ndo udhalilishaji wenyew?Shoga wanampakua ndio maana yake.😂😂😂
Ni makubaliano tu. Unataka 50,000 unapewa 35,000 unarudisha 50,000. Take it or leave it.Ooh okay sawa, naona ina utapeli mwingi.....katika biashara ambayo siwezi hata kuithubutu ni hii yani huo mtaji wa kukopesha bora nkale kitimoto na bia, hapana asee.
Ni kweli mkuuUkikopa ujue na kulipa.
Hawaku kuundia group la tsup?Never mpaka nshasahau