Pengine anahisi ndio ujana una mnyemeleaHaya ndio ninayosema mkuu!!
Safi sana mkuu, naelewa sana mkuu. Sikumbuki lini nilinunua hoho, ngogwe, mchicha, mapapai na kuku wa kienyeji. Weekend kama hivi unatumia mda wako kwenye bustani unaenjoy maisha.Pengine anahisi ndio ujana una mnyemelea
Mkuu me nilikuelewa Sana sijuwi ni lini Sina kumbukumbu ya lini nilinunuwa mayai au kuku!
Kama mtu sio mvivu raha Sana kuishi nje ya mji!
Ukitoka zako town ukiona mboga mboga au ndege wako ubongo una relax kabisa! Ila ni wachache wana weza!
View attachment 1259818
Dadaangu kajenga huko huko mitaa ya baobab sec school, ndani ndani ni anajutraa balaa, nae kapakimbia!
Umeongea point mno mkuu, Mimi nilinunua shamba sehem flan kijijin huko,acha usiwafuate waswahili wanaopenda Mjini.
Hapo Kerege patajakuwa Mjini kati kabisa, mwaka 1979 Sinza Makaburini ndio palikuwa mwisho wa Mji wa DSM linafuata pori hadi UDSM
Leo Kibaha ni Mjini kabisa ngoja hiyo njia 6 ya Highway km hukona mwendo kasi halishii Kimara
Ardhi ni mali huwezi linganisha Ardhi yenye ukubwa sawa kwa Miji ya Tanga, Dodoma au Mwanza
Tafuta wenyeji, Mkiti au Mjumbe wakutafutie wapangaji hiyo ni Rasilimali kubwa kuliko kupanga km Mhindi Mjini, Shika ardhi popote km Elimu kwani ni utajiri kuliko hao wezi wa leo tu
wewe mjanjaUmeongea point mno mkuu, Mimi nilinunua shamba sehem flan kijijin huko,
Mwaka jana alijitokeza jamaa mmoja kigogo akataka anipe 7m nilikataa na siwez kuuza.
Lai yangu kwa mtoa uz n kwamba we vumilia tu wala usiingie tamaa ukauza eti uhamie mjini ufanane na wahindi utapotea jipe miaka hata mitano mbele utaona mji unavokusogelea.
Ardhi ni rasilimali adimu sana ,mimi na kiwanja buyuni block 28 nilinunua 1.8m watu wangu wa karibu waliniambia nimepigwa sijuii vile viwanja vimepimwa vina hata.mwak jana jamaa alifika 15m nikakata mwaka 2014 jamaa alifika 10 kikagoma ardhi inapanda sana kila mwaka.huyo akivumilia hadi 2025 na amini hatouza tenaUmeongea point mno mkuu, Mimi nilinunua shamba sehem flan kijijin huko,
Shamba lilikuwa linauzwa 1.2m kubwa mno yan, lakin watu wakaanza kusema oooh umepunjwa mara shamba lenyewe baya miti mingi, yan watu wakataka kunipoteza kabisa.
Nikaenda kuchukua ushauri kwa mamkubwa alichoniambia ni hiki,
"mwanangu ardhi huwa haipunji" nikajipa moyo, basi nikaweka vibarua shamba likasafishwa aiseee nilipiga mahind msimu huo yan pesa ilirudi na faida nyingi tu.
Had sasahivi hilo shamba wanalima tu huko ndugu na kwa sasa thaman yake ni kubwa mno.
Mwaka jana alijitokeza jamaa mmoja kigogo akataka anipe 7m nilikataa na siwez kuuza.
Lai yangu kwa mtoa uz n kwamba we vumilia tu wala usiingie tamaa ukauza eti uhamie mjini ufanane na wahindi utapotea jipe miaka hata mitano mbele utaona mji unavokusogelea.
hiyo sehemu inaitwa Mbalawala, Mpamatwa Mbande nk hakuna barabara ni njia za Baiskeli na pikipiki hatutarajii Mwendokasi ni mapori ya kukata mkaa, ndipo wazi km huko Kerege
Ardhi yote huku imepimwa ni kuanzia 8.5m kwa makazi, ukitaka mashamba ukajipimie na Balozi ndio hayo ya 3m au 1.3m
Sasa Kerege nauli haivuki 2,000. kerege Baobao 500/ Baobao naona mpaka sokoni anapata ya Kawe mpaka Stesheni au mwendokasi 650/ Mwenge stesheni, Mm nimesoma Temeke kwenda Ubungo lazima tupitie Posta kubadili Chai maharage au UDA, Leo Posta hadi Kibaha Mwendokasi bure, hata Posta Bagamoyo rd haitachelewa
avumilie tu asiiachie ardhi akapange Manzese, lkn akishakuwa mstaafu atapakumbuka kina Assad wanalima Bamia Ardhi haimtupi mtu
Karibu kwetu mkuuUbarikiwe, ushauri bora kabisa huu. Mimi nimejenga kibamaba sasa natamani kuhamia kongowe soga maana hapa pamekuwa mjini sasa. Asiuze atakuja kujuta daima.
Endelea kujidanganya. Zama za Ardhi kupanda thamani ziliisha mwishoni mwa 2016. Kama hukuuza nyumba/ardhi enzi hizo andika maumivu. Madalali wanaisoma namba. Pita Masaki/Oysterbay/Upanga uone apartments zilivyo wazi/Matangazo ya "FOR LEASE" mpaka yanapauka. Kuhamia Dodoma nako kumefanya Dar iwe kama imepigwa BomuArdhi ni rasilimali adimu sana ,mimi na kiwanja buyuni block 28 nilinunua 1.8m watu wangu wa karibu waliniambia nimepigwa sijuii vile viwanja vimepimwa vina hata.mwak jana jamaa alifika 15m nikakata mwaka 2014 jamaa alifika 10 kikagoma ardhi inapanda sana kila mwaka.huyo akivumilia hadi 2025 na amini hatouza tena
Chief Namiliki Nissan Fuga Full Stress. Kuna wakat ikizingua lazima kudamka saa 9 nimpigie bodaboda aniwahishe stendi ya daladala za Bagamoyo-Nyuki niunge tena mpaka Makumbusho-Posta. Yaani safari kama unaenda Guanzghou kununua malonyaSasa unawezaje kwenda kukaa KM 50+ nje ya mji wewe ni mstaafu au? Bunju tu hapo ni 40 km hadi mjini, halafu ukute una gari ya 1500 na unalalamika kwenda na kurudi wiki tu au kwa mwezi unajikuta unatembea 3500km kama vile unaenda congo vijana wajanja wote wanaenda Kinyerezi mkuu
Wewe upo wapi huko unapata 200,000 kwa siku enhh?Kweli kila mtu anawaza ajuavyo yeye...yaan nipewe laki 2 kwa mwezi??hapana...!ila kuna biashara kichaa sana...labda ujenge nyumba ukopee mkopo mzuri benk...mwee huyo laki 2 mm naipata kwa siku 1!nah!
Wewe upo wapi huko unapata 200,000 kwa siku enhh?
Sasa mapapai na mayai ndio nini? Unahamia shamba kulima papai?Kama hivi mkuu me nirudi kupanga tena sinza si Dish litakuwa limeyumba!
View attachment 1259772
View attachment 1259775
Angalizo kama wewe sio mpokea rushwa ni mfanyakazi,mfanyabiashara, kama bado unahitaji kunywa pombe kila siku utajuta!!!
Mkuu hapo ulifeli mimi katika vigezo vyangu vyote napima Km toka kazini na ninapokaa nashukuru Mungu nimepata kiwanja sehemu toka kazini hadi nitakapo hamia ni 23-25km kwaio hapo najua wese la 55,000 kwa wiki linanisogeza vizuri kabisa, kuna kiwanja mimi kipo mapinga ni 3km toka barabarani wala hata sijashughulila nako nje ya mji wanakaaga wastaafu mkuuChief Namiliki Nissan Fuga Full Stress. Kuna wakat ikizingua lazima kudamka saa 9 nimpigie bodaboda aniwahishe stendi ya daladala za Bagamoyo-Nyuki niunge tena mpaka Makumbusho-Posta. Yaani safari kama unaenda Guanzghou kununua malonya