Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Wabongo tunapenda kusikia habari nbovu mbov km zako hheheheiyyaaa!kalaghabahoNa umelichangamsha kweli!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wabongo tunapenda kusikia habari nbovu mbov km zako hheheheiyyaaa!kalaghabahoNa umelichangamsha kweli!!
Wewe itakua ni zakayo tu bila shaka...hakuna ku chill...Nilikua nachangamsha genge tu mkuu..chill!
Mkuu hapo ulifeli mimi katika vigezo vyangu vyote napima Km toka kazini na ninapokaa nashukuru Mungu nimepata kiwanja sehemu toka kazini hadi nitakapo hamia ni 23-25km kwaio hapo najua wese la 55,000 kwa wiki linanisogeza vizuri kabisa, kuna kiwanja mimi kipo mapinga ni 3km toka barabarani wala hata sijashughulila nako nje ya mji wanakaaga wastaafu mkuu
Hio 25km ni to and from kazini mafuta ya 55,000 ni 25 litres kwa gari inayotumia 1L = 10km = 250kms = kwaio kuna siku 10 za kutumia mafuta x 3 = 160,000 tshs hili ndo future ride nalotaka kuvuta BMW 320i ya 2010 ulaji wake upo hivyoMhhh km 25 mafuta ya 55000?inategemea na gari basi!naona machache kidg
Hio 25km ni to and from kazini mafuta ya 55,000 ni 25 litres kwa gari inayotumia 1L = 10km = 250kms = kwaio kuna siku 10 za kutumia mafuta x 3 = 160,000 tshs hili ndo future ride nalotaka kuvuta BMW 320i ya 2010 ulaji wake upo hivyo
ni biashara gan zenye mzunguko mzuri kwa hii mikoa tajwa?Mkuu usichulie poa, huko mikoani na vijijini ndio hela ilipo.. Dar watu wamekaba kila fursa, unahitaji mtaji wa kutosha kuingia kwenye mbilingembilinge za Dar..
Kahama,Geita, Katoro,Nzega hiyo miji mzunguko wa hela ni mkubwa na kama unacheza karata zako vizuri uwezo wa kuingiza 200K kwa siku upo... Hiyo 200K mbona hata Dar au Mwanza ukicheza draft yako vizuri unaipata??
Future baada ya kuhamia kwanguFuture ride🤔!ok sawa
MPE MWONGOZO MKUU.
Future baada ya kuhamia kwangu
🤣🤣usingz wot umekata kwa hii comment🤣MPE MWONGOZO MKUU.
KWA NINI MKUU?[emoji1787][emoji1787]usingz wot umekata kwa hii comment[emoji1787]
Umekuja kutoa mwongozo🤣KWA NINI MKUU?
[emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]MPE MWONGOZO MKUU.
Uko sahihi pia hata uliyemjibu yuko sahihi. Wote mko sahihiLabda sikueleweka..ishu hapa sio jirani akiniona nimeshika chuma la eicher atasemaje .ishu ni yale mazoea mzee baba!hapa hakuna cha elimu ya kujitmbua wala nn...!kuna kaulemavu kapo sana ukizoea kutembelea gari!wenyewe wanakajua!
Kerege haipo dar mkuu,karibu kifuru huku uje kupigwa na baridi kama upo njombe vileDar pamekaa kishamba mno