Najuta kuhamia kwangu Kerege

Najuta kuhamia kwangu Kerege

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
bila shaka kabisa huyu smart911 ni roboti la Jf wala sio human being yan lazma akoment kila uzi kwenye majukwaa yooote ya JF tangu jukwaa la uchumi,siasa,intelligent,gadgets mpaka mmu. yy hana maneno mengi yan utaskia "ngoja waje"
"pole sana"
"inasikitisha sana"
WANAKUJA KUKUPA MWONGOZO.
 
acha usiwafuate waswahili wanaopenda Mjini.
Hapo Kerege patajakuwa Mjini kati kabisa, mwaka 1979 Sinza Makaburini ndio palikuwa mwisho wa Mji wa DSM linafuata pori hadi UDSM
Leo Kibaha ni Mjini kabisa ngoja hiyo njia 6 ya Highway km hukona mwendo kasi halishii Kimara
Ardhi ni mali huwezi linganisha Ardhi yenye ukubwa sawa kwa Miji ya Tanga, Dodoma au Mwanza
Tafuta wenyeji, Mkiti au Mjumbe wakutafutie wapangaji hiyo ni Rasilimali kubwa kuliko kupanga km Mhindi Mjini, Shika ardhi popote km Elimu kwani ni utajiri kuliko hao wezi wa leo tu
Mpaka huo muda ufike huyo jamaa ako ameshastaafu amechakaa na hela zote amemalizia kujaza mafuta gari.

Hizi ni akili za kimasikini BTW.
 
Sasa mapapai na mayai ndio nini? Unahamia shamba kulima papai?
Ukikuwa utajuwa mkuu! Vingine sio mahala pake hapa kuviweka! Kila jambo lina mipaka yake!!
IMG_20191015_231049.jpg
 
Mpaka huo muda ufike huyo jamaa ako ameshastaafu amechakaa na hela zote amemalizia kujaza mafuta gari.

Hizi ni akili za kimasikini BTW.
Watafute wenye nyumba Sinza sasa hv utawaonea huruma wamezeeka na kuchakaa, watoto wamekua mateja na mapunga, nyumba imejaa wapangaji kodi inagombaniwa na ukoo mzima
 
Wakuu enzi za Neema za Mkwere nilijenga maeneo ya Kerege sasa mambo yalipobana kodi ikanishinda Sinza nikahamia kwangu Kerege asee najuta maana hizo gharama za mafuta zinazidi kodi ya nyumba Sinza (400,000/=).

Bado sijaweka ukuta, vibaka kila mara wanavamia nikiwa kazini mjini nimejaribu kuuza nyumba haiuziki wanunuzi wengi wanadai huku uswahilini sana.

Funzo: Vijana msikimbilie kujenga kama hamjajipanga.
Huko Bagamoyo vigagula mwanzo-mwisho
 
Tatizo la kujenga nje ya mji hata ukisema upangishe hiyo nyumba huwezi pata mpangaji,we unafikiri nani akapange kilomita zaidi ya 35 kutoka town ni ngumu.

Bei tunazonunulia viwanja dsm ni bora ukaenda mkoani utapata kiwanja karibu kabisa na mjini unajenga nyumba yako safi na ukiipangisha hukosi kodi ya 200k au 150k kwa mwezi.

Mfano mkoa kama Tanga ukiwa na million 6 au 7 unaweza kupata kiwanja within 15 kilomita kutoka mjini, ukijenga nyumba nzuri kupata mpangaji ni uhakika. Kodi utakayopata mkoani unaitumia kupanga sinza au magomeni
wenger, tanga sehemu gani? sehemu mzuri.. Kange Kasera kubaya, udongo ufinyanzi kwa mvua za sasa shida balaa! asra, uzunguni bei zao kubwa sana... over 20M
 
Watafute wenye nyumba Sinza sasa hv utawaonea huruma wamezeeka na kuchakaa, watoto wamekua mateja na mapunga, nyumba imejaa wapangaji kodi inagombaniwa na ukoo mzima
Ndio maana nasema, kumiliki kiwanja ni biashara ya kimasikini. Kama una idea ya biashara bora uizungushe hiyo hela ule matunda yake ukiwa kijana.

Ukikimbilia kumiliki kiwanja utakufa masikini na ndugu yako waje kuuana kisa mirathi.

Wanasema kiwanja kinapanda bei ila wanasahau kuwa inflation nayo inagonga vilevile.

Utakuta mtu anakwambia alinunua kiwanja 1M miaka 10 badae anauza kwa 10M. Hapo anasahau kuweka time value of money.
 
Watafute wenye nyumba Sinza sasa hv utawaonea huruma wamezeeka na kuchakaa, watoto wamekua mateja na mapunga, nyumba imejaa wapangaji kodi inagombaniwa na ukoo mzima
bora Mkuu umefunguka sio km huyo Bavaria anaona deal kukaa mjini kutwa gahawa na bao
miaka ya 1979 niliishi na kaka yangu Mwl wa Sekondary Magomeni Idrisa NHC, mwenye nyumba alikuwa mkali, Kaka akakimbilia Sinza, (sasa kajenga tena Kimara) kwa ajili ya kodi za wenye nyumba Migo kugombaniana na nduguze ili wakashiinde Shibam, leo wamechakaa ile nyumba ni Bar wenyewe wamesambaratikia Argentina wanapanga.
Jenga nyumba ya aina yoyote ni rasilimali, usafiri miaka hii upo
 
Ishu si gharama kijana tayari umejenga iyoo ni jambo LA kushukuru kwanza kama unapesa tafuta mifugo uiweke apo na ulianzi ambao ni mguu wa kuku ambao utakuwa ulinzi kwako tena ongeza na kaeneo kingine tafuta biashara maisha yaendelee. Usiache kunywa pombe kwa kukwepa gharama ongeza vyanzo vya mapato unywe pombe bila stress
Mkuu nimelike wazo lako. Ni Kama mtu asiyekunywa pombe harafu anampigia hesabu za siku,wiki, mwezi na mwaka mtu anayekunywa pombe.

Swali wewe usiyekunywa pombe, unasave hela nyingi, je kwasasa unamiliki Nini na Nini? ha ha ha ha
 
Ndio maana nasema, kumiliki kiwanja ni biashara ya kimasikini. Kama una idea ya biashara bora uizungushe hiyo hela ule matunda yake ukiwa kijana.

Ukikimbilia kumiliki kiwanja utakufa masikini na ndugu yako waje kuuana kisa mirathi.

Wanasema kiwanja kinapanda bei ila wanasahau kuwa inflation nayo inagonga vilevile.

Utakuta mtu anakwambia alinunua kiwanja 1M miaka 10 badae anauza kwa 10M. Hapo anasahau kuweka time value of money.
Unamshauri nini Kishimba mwenye nyumba kila mkoa?

Je hali ujana
 
Nilishasema, sifanyi kazi ya Kuzika pesa! Umepata vi milioni vyako 50 unakimbilia kuvijengea vyote halafu unarudi kuanza kusota upya!! Upuuzi wa namna gani huo!?
Njoo na maneno yako kama haya ukiwa na 60 years old
 
Back
Top Bottom