Najuta kuhamia kwangu Kerege

Mimi sijaanza kupata hizo laki mbili kwa siku lakin inashangaza sana watu wanavyoshangaaa ? hiyo ni million sita tu kwa mwez,sema kazi za kuajiliwa zinalemaza sana.2010 wakati naanza ajira rafiki yangu alifungua hardware ndogo tu,leo ni bonge la millionea,analipa kodi serikalini mil 128 kwa mwaka.
 
Assumption zako bado siyo sawa, kwani ukikaa sinza na unafanyakazi mjini hutumii mafuta tofauti yake ni ipi? Uhuru wa kuishi kwakona utumwa wa kulipa kodi ni tofauti sana, kwanza hakuna mwenye nyumba anayelipwa kwa mwezi, either mwaka, miezi sita au mitatu, huoni hiyo karaha imeondoka, mwanaume pambana jali chako
 
Watu bado wana akili mgando wakidhani kama dunia kwao haiendi basi haitaenda kwa wengine wote.

Kuna watu wanatengeneza milions kwa siku, utawala wa magufuli huuhuu.

Nilioneshwa mtu mwenye turnover ya 30M a day sikuamini.
 
Bei gani
 
Amina
 
Amina
 
Sawa
 
Kweri kabisa kuna mshikaji alinunua pande za uko uncle wake akamfanyizia mambo akamjengea nyumba moja mbovu choo cha nje jamaa nasikia kuuona mjengo akaupiga nyundo wote hadi Leo anajenga, imani yake kutakuwa mjini soon nyumba inaitwa nyumba ya nyundo hapo mitaa ya kelege.
 
NJE YA MADA:

MAPINGA, KEREGE, ZINGA, KIROMO, KITOPENI, UKUNI (MAENEO YALIYOPO BARABARA KUU YA DAR - BAGAMOYO)
NI MAENEO AMBAYO YANAONEKANA KEKI SANA KWA MTU KUMILIKI ARDHI,
NA
HIVYO WATU WENGI KUTOKA DAR ES SALAAM NA MAENEO MENGINE KUMIMINIKA BAGAMOYO KWA WINGI KWENDA KUNUNUA ARDHI (VIWANJA & MASHAMBA).

NOTION HIYO IMEIBUA WIMBI KUBWA LA MATAPELI (WANAOJIITA/KUJIFANYA MADALALI) NA KUPELEKEA WATU WENGI KUTAPELIWA NA MADALALI HUKO,
AMA KWA KUUZIWA MAENEO YASIYOWAHUSU AU KUWAUZIA MAENEO YENYE MIGOGORO,
YAANI UNAKUTA ENEO MOJA WAMEUZIWA WATU 6 TOFAUTI,
NA WOTE WANAZO NYARAKA-

SASA HAPO ZINAANZA KESI MAHAKAMANI SASA-
THE STRONGEST DO SURVIVE,
THE WEAKEST END UP TO PERISH.

UNAPOENDA KUNUNUA ARDHI BAGAMOYO,
KUWA MAKINI SANA-
SANA NA SANA, NA TENA ZAIDI YA SANA!!!
WEKA AKILI YAKO MBELE, KISHA PESA NYUMA,
NA SIO PESA YAKO MBELE, KISHA AKILI NYUMA.

(Kama umemaindi herufi kubwa, unaweza sema nikupe mwongozo).
 
Iyo nyumba au banda?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…