Najuta kuhamia kwangu Kerege

Nimekusikia MOTIVATIONAL SPEAKER.
 
Pole, ila uko sio mbali na Kariakoo.
Kwa macho siyo mbali, lakini round trip mpaka mjini ni roughly 42 kilometers... Kwa mafuta tu si chini ya Sh. 450,000 kwa mwezi... Bado usumbufu wa kutrack daily .... Social life na kule ninakotaka kuelekea naona... Nivunje huo mpaka au ukomo ... Naweza kupanga nikaenjoy more quality life, kiuchumi , kijamii na hata fursa za kiuchumi... Ofisi yangu ipo kati kati ya mjini.. Usafiri nitakuwa naenda kwa mguu... na nimeshafungua biashara nyingine ambayo nitaisimamia vizuri na ninaweza kuextend hata muda wa kuhudumia wateja wangu mpaka saa 4 usiku na kupita na kuangalia nini kinaendelea itakuwa rahisi... think out box.. Kwa kweli sasa hivi ni muda wa kurudi city center.... Nitafanya mambo mengi zaidi... Tujiurize kwa nini wageni tu ndio wanaishi maeneo mazuri mazuri ya miji yetu.
 
 
Inabidi uwe wa kwanza kuingia barabarani kukwepa foleni. Pia weka mitambo ya ulinzi ikiwemo rapid security response.
 
Tangazo lilikuwa linasemaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duuh Kerege mbali sana!sisi tumehama Sinza tukahamia Madale mwisho!Dah siku za mwanzo kwa kweli nlkua napaona bush bush kweli lakini nimeanza kuzoea!Watu wanajenga sana pia viwanja vipo,panafikika kwa kupitia Wazo hill ukitokea Tegeta kibaoni vilevile unaweza fika Madale mwisho kwa njia ya Goba au Mbezi!Viwanja vipo japo vingi vishanunuliwa ila jaribuni kupitapita uku kabla ujajichimbia uko nje ya mji unless shughuli zako za kiuchumi ufanyie hukohuko!Changamoto iliobakia ni barabara ya Lami tu kuunganishwa kutokea Wazo hill kiwandani mpaka Madale mwisho huku!Figisuvza kisiasa ndio zinatuchelewesha inasemekana Watawala hawataki kisa ni jimbo la Mdee[emoji41]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wabongo kichwani tumejaza uji
 
Niulizie kiwanja huko bei gani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…