Umenena points,
Kama anauwezo wa kutumia 400000 kwa mwezi, inamaana hata uwezo wa kuimarisha ulinzi wake upo hasa kwa vibaka
Nashauri nunua mbwa ( Trained) hata wawili kukabiliana na vibaka, lakini pia kupitia bughudha ya vibaka kaa na serikali ya mtaa wakupitishie kibali ununua siraha.
Kuhusu galama za usafiri, nunua pikipik TV's Lita 2 kwenda na kurudi kwa umbali huo.
Pia usiuze Wala kupangisha zaidi buni mradi mdogo mdogo Kama kufuga kuku ili wakusupport kwenye running cost za pikipiki hasa mafuta
Sent using
Jamii Forums mobile app