Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Una matatizo.Wakuu enzi za Neema za Mkwere nilijenga maeneo ya Kerege sasa mambo yalipobana kodi ikanishinda Sinza nikahamia kwangu Kerege asee najuta maana hizo gharama za mafuta zinazidi kodi ya nyumba Sinza (400,000/=).
Kutokana na sasa hela kuwa ngumu nimeweka ukuta mfupi, vibaka kila mara wanavamia nikiwa kazini mjini nimejaribu kuuza nyumba kupitia kwa madalali na Zoom haiuziki wanunuzi wengi wanadai huku uswahilini sana.
Funzo: Vijana msikimbilie kujenga kama hamjajipanga.
Karibia 8kms kutoka lami - Bagamoyo Rd.
Una matatizo.
Niuzie mimi hiyo nyumba halafu njoo kwangu baada ya miaka mitano tu.
Ha ha ha na nguruweCha maana utakachofanya ni nini zaidi ya kufuga bata na Mbuzi?
Nina eka 20 Kerege mkuu, aniachie hapo niwanunue waswahili wengine majirani.Cha maana utakachofanya ni nini zaidi ya kufuga bata na Mbuzi?
Nina eka 20 Kerege mkuu, aniachie hapo niwanunue waswahili wengine majirani.
😂😂😂😂Hayo hayatuhusu kwa kweli, ekari 20 Kerege ni Zako na familia yako, hatuna sababu ya kujua!
Kama unataka kununua waswahili wamekaa barabara yote hiyo ya Bagamoyo nenda kawanunue! Sio lazima hapo kwake!
😂😂😂😂
Sio kwa povu hili
Hujajibu swali, au proposal, mtoa mada anataka kuuza wewe unaingilia nini.Hayo hayatuhusu kwa kweli, ekari 20 Kerege ni Zako na familia yako, hatuna sababu ya kujua!
Kama unataka kununua waswahili wamekaa barabara yote hiyo ya Bagamoyo nenda kawanunue! Sio lazima hapo kwake!
Nakazia hapa.Acheni kudanganyana,tatizo mnaangali ulipo leo ila hamjui kesho mtakuwa wapi,Kwa ushaur mdog tu ni kwamba Ukikaa kwako ni heshima kubwa sana,unakuwa huru,unapanga mambo binafsi bila bughdha yyte na mkumbuke maisha yanabadilika huwez jua kwamba kila siku utakuwa na uhakika wa kodi ya nyumba..Thanx
Du...mkuuHayo hayatuhusu kwa kweli, ekari 20 Kerege ni Zako na familia yako, hatuna sababu ya kujua!
Kama unataka kununua waswahili wamekaa barabara yote hiyo ya Bagamoyo nenda kawanunue! Sio lazima hapo kwake!
Tatizo umeshazoea kuishi mjini. Ni ngumu kupazoea kwa Sasa. Swala la wezi hata si za wapo pia.Wakuu enzi za Neema za Mkwere nilijenga maeneo ya Kerege sasa mambo yalipobana kodi ikanishinda Sinza nikahamia kwangu Kerege asee najuta maana hizo gharama za mafuta zinazidi kodi ya nyumba Sinza (400,000/=).
Kutokana na sasa hela kuwa ngumu nimeweka ukuta mfupi, vibaka kila mara wanavamia nikiwa kazini mjini nimejaribu kuuza nyumba kupitia kwa madalali na Zoom haiuziki wanunuzi wengi wanadai huku uswahilini sana.
Funzo: Vijana msikimbilie kujenga kama hamjajipanga.
Kumbe wewe ni Boss Lady eeeh!! SaluteKweli kila mtu anawaza ajuavyo yeye...yaan nipewe laki 2 kwa mwezi??hapana...!ila kuna biashara kichaa sana...labda ujenge nyumba ukopee mkopo mzuri benk...mwee huyo laki 2 mm naipata kwa siku 1!nah!
Tafuta gari ya Diesel mkuu.Wakuu enzi za Neema za Mkwere nilijenga maeneo ya Kerege sasa mambo yalipobana kodi ikanishinda Sinza nikahamia kwangu Kerege asee najuta maana hizo gharama za mafuta zinazidi kodi ya nyumba Sinza (400,000/=).
Kutokana na sasa hela kuwa ngumu nimeweka ukuta mfupi, vibaka kila mara wanavamia nikiwa kazini mjini nimejaribu kuuza nyumba kupitia kwa madalali na Zoom haiuziki wanunuzi wengi wanadai huku uswahilini sana.
Funzo: Vijana msikimbilie kujenga kama hamjajipanga.
Wahindi si wenzenuLifestyle ya Wahindi nawaelewa sana. Hawakimbilii Kujenga Wala hawakai Pembezon mwa jiji. Sisi wabantu tunajimaliza na mawazo potofu