Najuta kuhamia kwangu Kerege

Una matatizo.
Niuzie mimi hiyo nyumba halafu njoo kwangu baada ya miaka mitano tu.
 
Hayo hayatuhusu kwa kweli, ekari 20 Kerege ni Zako na familia yako, hatuna sababu ya kujua!

Kama unataka kununua waswahili wamekaa barabara yote hiyo ya Bagamoyo nenda kawanunue! Sio lazima hapo kwake!
😂😂😂😂

Sio kwa povu hili
 
Hayo hayatuhusu kwa kweli, ekari 20 Kerege ni Zako na familia yako, hatuna sababu ya kujua!

Kama unataka kununua waswahili wamekaa barabara yote hiyo ya Bagamoyo nenda kawanunue! Sio lazima hapo kwake!
Hujajibu swali, au proposal, mtoa mada anataka kuuza wewe unaingilia nini.
Yatakuhusu tu baada ya miaka 5.
Kujifanya mjanja ni mama ya Ujinga.
 
Nakazia hapa.
Walio wengi hudhani kwamba kwa sababu sasa hivi anapokea mshahara na kumudu kulipia kodi ya laki 4 au 5 basi miaka yote atakuwa na huo uwezo hawajui kwamba maisha hubadilika.
Ukitaka kujifunza hilo watafute watu waliofukuzwa kazi au kutumbuliwa au kupata maradhi watakupa experience
 
Hayo hayatuhusu kwa kweli, ekari 20 Kerege ni Zako na familia yako, hatuna sababu ya kujua!

Kama unataka kununua waswahili wamekaa barabara yote hiyo ya Bagamoyo nenda kawanunue! Sio lazima hapo kwake!
Du...mkuu
Una kiroho cha korosho kama hujijui!
Ungesema la maana kama ungewaunganisha muuzaji na mnunuzi badala ya kumwaga upupu!
 
Tatizo umeshazoea kuishi mjini. Ni ngumu kupazoea kwa Sasa. Swala la wezi hata si za wapo pia.
Huo umbali unaouona Sasa, kwani wakati unajenga ulikua unaenda na ndege?.

Uza hiyo nyumba na gari ukanunue mjini. ili uwe unatembea tu kwenda kokote.
 
Kweli kila mtu anawaza ajuavyo yeye...yaan nipewe laki 2 kwa mwezi??hapana...!ila kuna biashara kichaa sana...labda ujenge nyumba ukopee mkopo mzuri benk...mwee huyo laki 2 mm naipata kwa siku 1!nah!
Kumbe wewe ni Boss Lady eeeh!! Salute
 
Lifestyle ya Wahindi ni next level. Nimeshangaa bilionea kuishi kwenye apartment
 
Tafuta gari ya Diesel mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…