Janja weed
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 3,000
- 5,606
Huna sababu ya kuhama mkuu, kwako ni kwako na kuna heshima yake, kama kifedha haupo vizuri kopa kutoka Benk na tumia hiyo nyumba kama collateral , ukipata fedha ongeza urefu wa ukuta ongezea kama course 4 na juu weka razor wire.Wakuu enzi za Neema za Mkwere nilijenga maeneo ya Kerege sasa mambo yalipobana kodi ikanishinda Sinza nikahamia kwangu Kerege asee najuta maana hizo gharama za mafuta zinazidi kodi ya nyumba Sinza (400,000/=)...
Jitahidi kushauri bila kutukana ama kukashifu, unaweza kutumia lugha ya staha na ujumbe ukafikaacha sound yaani ujenge mjengo kama huo ushindwe na mafuta ya gari, kuna tatizo mahala sasa kama umepaki ndinga mbili nje si uuze moja , by the way hutakiwi kuuza nyumba boya wewe, uza gari nunua bajaji ya biashara iwe inakuwahisha stendi kula daladala, ukirudi jioni inakurudisha home ikiwa imeshakula vichwa na hela inaingiza
Serikali ikijenga Bandari ya Bagamoyo kama walivyosema , na kiwanda cha sukari cha Bakhresa kikianza uzalishaji hayo maeneo yote ya Mapinga, Zinga , Kerege nk yatainuka kwa kasiWakuu enzi za Neema za Mkwere nilijenga maeneo ya Kerege sasa mambo yalipobana kodi ikanishinda Sinza nikahamia kwangu Kerege asee najuta maana hizo gharama za mafuta zinazidi kodi ya nyumba Sinza (400,000/=)...
Ndo nami nashangaa, Kerege ipi hiyo imekuwa uswazi? Tena kilometer 8 toka barabara ya lami..Bas mm nna wazo nikizichanga nijenge kerege for life!...nilipewa kiwanja huko!bt mbona si uswahilini kule mzee??
Kumbe we mseng**e ndio ulikua unajiita Joshua_ok.Uelekeo wa Bagamoyo ukitokea Tegeta-Boko-Bunju
hahahahahahaKumbe we mseng**e ndio ulikua unajiita Joshua_ok.
SureTofautisha ardhi na nyumba. Thamani ya nyumba ni ardhi. Mbweni pale viwanja vya milioni 3 ulikuwa unakatiwa na halmashauri ya jiji.
Watu waliokuwa na hekari 10 Mbweni, wamepata faida sana.
Mleta mada kaongea point sana. Usijenge bila kujipanga. Nunua ardhi, subiri.
Kujenga haijawahi kuwa kukurupuka hata siku moja kaa ukijua hiloHii imenikuta, nimejenga sehemu moja inaitwa zuzu, dodoma. Gharama za usafiri kuja mjini zimenizidia, natamani nikapange mjini. Kukurupuka kujenga siyo jambo zuri.
Umbali mkubwa mno about 42 km one way!! Kibaby Walker changu unatumia lita nane kwa siku, sawa na elfu 21. Too expensive! Kama unatumia gari kubwa kidogo cc 2000 si shughuli pevu mzee! Nakushauri Nunua Noah uwe unakula vichwa asubuhi unavyoenda job na jioni muda wa kurudi, hutaumia tena kwenye mafuta.Seneta Wa Mtwiz,
Posta Mpya. Dar
Joshua huna akili 🤣🤣.Kerege oyeee
HoyeeKerege oyeee
Hapo unampa moyo tu kwanza anakazi ya kuamka sa 8 kila ck ilihali kwake atakua anaingia si chini ya sa 4. Huko hata akisema auze hawez pata mteja labda abahatike kupata mstaafu ambaye anahitaji kupata fresh air ambaye atakuwa akifanya tu shuguli zake kuzunguka maeneo anayoishiNina ushuhuda: Pale Sinza, miaka ya nyuma kulikuwa ni pori. Chuo kikuu enzi hizo wakachukuwa eneo kubwa na kuwagawia ma-lectrurers wao. Kuna waliokataa wakasema ''huku porini kwenye madimbwi ya maji ni nani atakuja kukaa huku. Leo hii Sinza imegeuka na kuwa eneo tofauti kabisa. Hapo ulipozunguzumzia Sinza makaburini na maeneo yote ya karibu yalikuwa na pori na ndiyo kisa cha kuyafanya yawe sehemu ya kuzikia.