Janja weed
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 3,000
- 5,606
acha sound yaani ujenge mjengo kama huo ushindwe na mafuta ya gari, kuna tatizo mahala sasa kama umepaki ndinga mbili nje si uuze moja , by the way hutakiwi kuuza nyumba boya wewe, uza gari nunua bajaji ya biashara iwe inakuwahisha stendi kula daladala, ukirudi jioni inakurudisha home ikiwa imeshakula vichwa na hela inaingiza