Najuta kuhamia kwangu Kerege

Mkuu jumba kama hili kibaka anaingiaje? Unashindwa weka germany shepherd hata wa 2 tu unaendelea na shughuli zako? Majibu utayaona
 
Kama unaenda kujenga sehemu ya mbali hivyo hakikisha unapata eneo kubwa kuanzia ekari moja ili ufanye na shughuli zingine za bustani na ufugaji zikupunguzie kidogo gharama za maisha. Mie habari za kwenda kujenga nje ya mji then unaishia kupata kiwanja sijui 25 kwa 30 hizo sizitaki kabisa bora nikomae mjini
 
Bei gani na anakuwa kama Fisi kivipi mkuu?
Ndo hapo utumie dawa sasa!! yaani weye ukija kwangu na wazo la kuiba utaona fisi mkubwa ajabu...anakubwekea kwanza utashangaa nii hii?
 
kama unahitaji kuishi nje ya mji kubali kuendana na uhalisia maisha ya mjini ukiyaishi nje ya mjini utatumia gharama kubwa kuishi
 
Yaani hapo kerege unaona mbali Mimi nipo kibaha kwa mfipa na kutoka hapo kwa mfipa mpaka kwangu 6km ,natoka kwangu Asubuhi na kipikipiki changu nakuja hadi morogoro road naiacha hapo sheli napanda daladala naenda town nikirudi naichukua narudi home kwenye hewa safi
 

Kikubwa apangishe na hella ya kupangisha aitumie kuongezea kupanga mjini
 
Duh, 6km toka home hadi moro road, then daladala hadi town. Nilikuws nadhani naishi shamba, nate natengua kauli rasmi.
 
Doh[emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…