Najuta kuhamia kwangu Kerege

Nunua pikipiki mkuu, hutojuta
 
Ulihamia kipindi hicho hicho cha JK au hivi majuzi?
 
Dada angu Mane, hebu njoo inbox unipe mchongo, unapataje hiyo 200K au wewe trafiki nini au una michongo yako inahusisha rushwa rushwa hivi, i love you kitambo sana
Kweli kila mtu anawaza ajuavyo yeye...yaan nipewe laki 2 kwa mwezi??hapana...!ila kuna biashara kichaa sana...labda ujenge nyumba ukopee mkopo mzuri benk...mwee huyo laki 2 mm naipata kwa siku 1!nah!
 
Uko right nimenunua Kiwanja Pongwe tanga mil 1.8 sqm 600 ni km 18 toka city centre Kiwanja kimepimwa kabisa
 
Kwanini nyumba za kupangisha zimeshuka bei tofautu na kipindi cha kikwete? Leo maeneo ya sinza, kijitonyama, kinondoni, nyumba zimeshuka bei alaf madalali wamekuwa wachache
 
Well said
 
Ameshasema kuna vibaka, mifugo itapona?
 
Safi kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…