Najuta kuhamia kwangu Kerege

Positive mind
 
Huu uzi nimeingia kiutani utani ila nimepata kitu kikubwa sanaa
Nilikua naelekea kula za uso soon...
Ngoja nirudishe majeshi nyumaa
pesa zenyewe kuzipata shida halaf nicheze mchezo wa kubeti nibetuliwe....
Sema m naona kila upande una point...
Cha msing hapa ni kulala kwenye ka duka kangu...
asanteni wachangiajii.....
 
 
Oo
 
I tend to differ lakini unaweza kuwa na maana kama unamaanisha unependa vitu. Yaani vitu vinakuendesha wewe badala ya kuviendesha. Jaribu kubadili mfumo wa kufikiri. Imenisaidia sana


Maisha nnayoishi sasa nna zaidi ya mwaka sijui kitanda ni nn..nalalia godoro la wanafunzi lile dogo la mwisho...maisha yanasonga sana tu...niliwah hisi siwez ishi bila hvyo vitu..lakini kumbe nilikua najidanganya...!am very ok..sema nikirudi mjini ndo naishi hvyo kupoza ubongo😅!nakuelewa sana!.asante pia
 
Wahindi si wapuuz kujibanza kwenye nyumba za msajili
Wanaakili sana, wao nyumba ina maji na umeme 24/7, bafu na vyoo viko connected na sewage system hawawazi vyoo kujaa.
Usalama wa uhakika, barabara nzuri na hawasafiri mwendo mrefu kwenda kufanya shughuli zao.
 
I live almost 30km from city centre, dadeq bajeti ya mafuta kwa mwezi ni kodi tosha. Ukijumlisha foleni ya Morogoro road ndio usiseme, thank goodness barabara inapanuliwa so huenda in the near future mambo yakabadilika.

Naelewa unachopitia...
 
Magari yatatumia gesi itakuwa rahisi tu
 
Siwatishi naelezea uhalisia wa hayo maeneo ukiwa mpambanaji kweli na ukalicheza draft lako vizuri.. 200K/day haiwezi kupatikana bila kuituma hela ikuletee na kuisimamia ikuletee hiyo 200K. Kuna vitu huwezi kuongea humu tuishie hapa...
 
Pamoja na kuishi nje ya mji, umbali kutoka kazini na home, siwezi hata siku moja kufananisha na upangaji, headache za kupanga sio kabisa.

Huku mtu kama unapenda vikazi vidogo hutanunua mbogamboga, utakamata kuku na kumkata shingo mwenyewe, utakula mapapai yako mwenyewe na ile hewa fresh utaipata kila siku.
 
Siwatishi naelezea uhalisia wa hayo maeneo ukiwa mpambanaji kweli na ukalicheza draft lako vizuri.. 200K/day haiwezi kupatikana bila kuituma hela ikuletee na kuisimamia ikuletee hiyo 200K. Kuna vitu huwezi kuongea humu tuishie hapa...


😅😅..mie nimechakaa balaa...kwakweli bora ukae kimya! Tuna kauvivu kakutoka nje uone unataka tafuniwa tu..hela haiwez mfata mtu wa aina hii kamwe..!never!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…