sawa lakini asijutie
mm nitamtafuta @
joshua_ok aiuzie maana kuna mdogo wangu mwaka 2010 alinunua pori ndani kilomita 5 kutoka Kibanda cha Mkaa Kimara kabla ya Mbezi Louis wanajiita Makao Mapya, leo kuna Makanisa na Mahoteli, kuna Shule za Bweni nk
Lengo asiweke kukwepa Kodi aweke km Rasilimali
MMikoani ndio hakufai kabisa maendeleo yatachelewa kwani km Dodoma viwanja ni milioni 15 Moshi na Arusha ndio hakuna kabisa ni vya urithi
kwa hiyo ajifunze Ardhi haichezewi
hapa nina safari ya kuhamia Kilosa hata miezi 6 Waziri Lukuvi kaachia maekari huko, najua sitapewa ila nitanunua na hicho cha KEREGE naingia PM yake