Najuta kuhamia kwangu Kerege

Najuta kuhamia kwangu Kerege

Asiwadanganye mtu kuishi kwako raha bwana hata kama ni porini kwako hapawezi kuwa mbali bwana ni kujiongeza tu.

Kwakuongezea tu, USIUZE NYUMBA utachanganyikiwa. Kama umeishiwa uza gari. Kula msoto kidogo akili ikae sawa utapata way out tu. Ungekuwa na NOAH ungekuwa unakula vichwa asbh na jioni wakati wa kwenda na kutoka kazini mafuta yangejinunua yenyewe tu.

Cha muhimu fikirisha kichwa sijaona kama unachangamoto wewe, usilaze kichwa.
Unajidanganya, maisha ya kuamka saa 10 usiku ili saa moja asubuhi ndio ufike mjini kati huu ni uwendawazimu kwa Tanzania, kuna nchi nimeishi train za umeme ndio usafiri wa kwenda makazini na mtandao wa reli umepita kwenye makazi mengi, ukikaa mbali na mjini hakuna tatizo lakini si kwa Tanzania acha kudanganya wenzanko.

Watu wenye busara akiwa na million 50 ananunuwa nyumba karibu na town unang'arisha then unaenjoy maisha.
Unakaa sehemu hata kuhudhuria harusi huwezi unawaza stress za muda wa kurudi usiku, disco huwezi kwenda haya ni maisha gani sasa?
 
Unajidanganya, maisha ya kuamka saa 10 usiku ili saa moja asubuhi ndio ufike mjini kati huu ni uwendawazimu kwa Tanzania, kuna nchi nimeishi train za umeme ndio usafiri wa kwenda makazini na mtandao wa reli umepita kwenye makazi mengi, ukikaa mbali na mjini hakuna tatizo lakini si kwa Tanzania acha kudanganya wenzanko.

Watu wenye busara akiwa na million 50 ananunuwa nyumba karibu na town unang'arisha then unaenjoy maisha.
Unakaa sehemu hata kuhudhuria harusi huwezi unawaza stress za muda wa kurudi usiku, disco huwezi kwenda haya ni maisha gani sasa?
Ur very Correct my Broder
 
Wakuu enzi za Neema za Mkwere nilijenga maeneo ya Kerege sasa mambo yalipobana kodi ikanishinda Sinza nikahamia kwangu Kerege asee najuta maana hizo gharama za mafuta zinazidi kodi ya nyumba Sinza (400,000/=).

Bado sijaweka ukuta, vibaka kila mara wanavamia nikiwa kazini mjini nimejaribu kuuza nyumba haiuziki wanunuzi wengi wanadai huku uswahilini sana.

Funzo: Vijana msikimbilie kujenga kama hamjajipanga.
Nikwambie kitu mkuu, usiuze nyumba uza gari nunua pikipiki boxer au mahindra
 
Unajidanganya, maisha ya kuamka saa 10 usiku ili saa moja asubuhi ndio ufike mjini kati huu ni uwendawazimu kwa Tanzania, kuna nchi nimeishi train za umeme ndio usafiri wa kwenda makazini na mtandao wa reli umepita kwenye makazi mengi, ukikaa mbali na mjini hakuna tatizo lakini si kwa Tanzania acha kudanganya wenzanko.

Watu wenye busara akiwa na million 50 ananunuwa nyumba karibu na town unang'arisha then unaenjoy maisha.
Unakaa sehemu hata kuhudhuria harusi huwezi unawaza stress za muda wa kurudi usiku, disco huwezi kwenda haya ni maisha gani sasa?
Haya mawazo sio ya mtu mkomavu,

1. Nyumba ya m50 mjini unaongelea mji upi?

2. Harusi hata kama inafanyikia morogoro ikiisha hata saa 8 usiku kama una usafiri wako private hakuna tatizo lolote.

3. Ulivyoongelea Disco imenipelekea kutambua uchanga wako. Huenda tunabishana na watoto wetu huku.

You have to be man enough to own a house in Dar es Salaam.
 
Mbona hujamshauri kuhusu tatizo la vibaka ?
Asiwadanganye mtu kuishi kwako raha bwana hata kama ni porini kwako hapawezi kuwa mbali bwana ni kujiongeza tu.

Kwakuongezea tu, USIUZE NYUMBA utachanganyikiwa. Kama umeishiwa uza gari. Kula msoto kidogo akili ikae sawa utapata way out tu. Ungekuwa na NOAH ungekuwa unakula vichwa asbh na jioni wakati wa kwenda na kutoka kazini mafuta yangejinunua yenyewe tu.

Cha muhimu fikirisha kichwa sijaona kama unachangamoto wewe, usilaze kichwa.
 
Unajidanganya, maisha ya kuamka saa 10 usiku ili saa moja asubuhi ndio ufike mjini kati huu ni uwendawazimu kwa Tanzania, kuna nchi nimeishi train za umeme ndio usafiri wa kwenda makazini na mtandao wa reli umepita kwenye makazi mengi, ukikaa mbali na mjini hakuna tatizo lakini si kwa Tanzania acha kudanganya wenzanko.

Watu wenye busara akiwa na million 50 ananunuwa nyumba karibu na town unang'arisha then unaenjoy maisha.
Unakaa sehemu hata kuhudhuria harusi huwezi unawaza stress za muda wa kurudi usiku, disco huwezi kwenda haya ni maisha gani sasa?
Disco kuna nini huko!?
 
Wakuu enzi za Neema za Mkwere nilijenga maeneo ya Kerege sasa mambo yalipobana kodi ikanishinda Sinza nikahamia kwangu Kerege asee najuta maana hizo gharama za mafuta zinazidi kodi ya nyumba Sinza (400,000/=).

Bado sijaweka ukuta, vibaka kila mara wanavamia nikiwa kazini mjini nimejaribu kuuza nyumba haiuziki wanunuzi wengi wanadai huku uswahilini sana.

Funzo: Vijana msikimbilie kujenga kama hamjajipanga.
Hiyo nayo inaitwa nyumba?
 
kuna dada kaacha kazi ya mshahara laki 3 masaki.
Ruti ya mapinga-masaki sio kazi ndogo.
Hela yote ya mshahara inaishia kwenye nauli.
 
Haya mawazo sio ya mtu mkomavu,

1. Nyumba ya m50 mjini unaongelea mji upi?

2. Harusi hata kama inafanyikia morogoro ikiisha hata saa 8 usiku kama una usafiri wako private hakuna tatizo lolote.

3. Ulivyoongelea Disco imenipelekea kutambua uchanga wako. Huenda tunabishana na watoto wetu huku.

You have to be man enough to own a house in Dar es Salaam.
Inawezekana wewe umekomaa vigimbi lakini siyo akili,

Nyumba ya million 50 ni Dar na kwa taarifa yako Mimi real estate ndio fani yangu.

Kutoka harusini saa 8 usiku kudrive km 50 huu nao ni zaidi ya uwendawazimu.

Kama umezaliwa kijijini Nyalugusu ni lazimà ushangae swala LA outing, kila MTU na hobby take mwingine disco mwingine live band mwingine matamasha.
 
Inawezekana wewe umekomaa vigimbi lakini siyo akili,

Nyumba ya million 50 ni Dar na kwa taarifa yako Mimi real estate ndio fani yangu.

Kutoka harusini saa 8 usiku kudrive km 50 huu nao ni zaidi ya uwendawazimu.

Kama umezaliwa kijijini Nyalugusu ni lazimà ushangae swala LA outing, kila MTU na hobby take mwingine disco mwingine live band mwingine matamasha.
Kwako ndo unaona ujanja umemaliza hapo ukitoka out
 
Back
Top Bottom