Najuta kuingalia video ya Joshua

Najuta kuingalia video ya Joshua

Swali langu moja tu , hivi hii vita ni ya Israel dhidi ya Hamas ambacho ni kikundi cha magaidi kama wasemavyo wao.. au ni dhidi nchi ya Palestina? Kama ni Dhidi ya Hamas kwanini Israel isipigane na Hamas bali inalipua mpaka majengo ya shule na hospital ambazo kuna mamia ya wapalestina wanakufa?

Unafikiri nao hawaumii kwa hayo ndugu zao wanayopitia?? Moyo unauma kumpoteza Mtz mwenzetu ila hii vita sijawahi elewa Israel anapigana na nani hapo kati ya taifa au kundi la magaidi
Hamas sio magaidi,Hamas ni freedom fighters wanaopinga Zionist occupation kwenye Ardhi yao na kufungiwa mipaka Gaza,tatizo la watu,mzungu akimbrand mtu gaidi basi watu wote wanaunga tela tu.
 
Na kama wote tutafuata dini ya kweli kwa ukweli ya Yesu Mpende Jirani yako kama nafsi yako na umpende Mungu kwa moyo na nafsi yako yote.
Si lazma mtu awe na dini ili ajue kutofautisha kati ya kilicho sahihi na kisicho sahihi kuwatendea watu wengine.
Though ni kweli falsafa za kristu zinakufanya uwaelewe watu kuliko kuwahukumu lakini pia kutokutoa reaction ya ubaya pale unapofanyiwa ubaya
 
Nimekuelewa sana tuu ila hii vita ni kati wapalestina na waisrael sasa why hamas wanawaua hadi waafrika wasiohusika? Au kisa wapo israel?
Hiyo clip bado haijawa verified na mamlaka yeyote ile,kuna watu wala hawamjui huyo Joshua kwa sura ila wanaunga tela tu,

Si ajabu hata wewe humjui kwa sura huyo Joshua bali na wewe umepitiwa tu na huu upepo ukaunga tela,subiri mpaka hiyo clip iwe verified na mamlaka husika,nowadays kila kitu kinaweza kua fabricated kwa lengo maalum,

Nje ya mada,unajua kua Israel imeua mpaka wasiokua raia wa Palestina kwenye hii vita?
 
Mzuka wanajamvi.

Najuta kuingalia hii video ya kaka yetu Joshua Mollel aliyetekwa na kuuwawa kikatili bila huruma huku hawa manyani wakishangilia na kumtukuza mungu wao.

Imenifanya niwe na trauma na chuki dhidi ya hawa binadamu.

Sina uwezo tu ila nawaombea laana na kamwe hawatakuwa huru.

Kwaanzia leo Sitachanganyikana na mwarabu yoyote wala kusalimiana hata akiwa mkristo.

Sitanunua bidhaa yoyote inayozalishwa na mwarabu yoyote.

Sitaenda tena kwenye mabucha yao ya halal na migahawa yao ya mipizza kebab.

Nimejisikia vibaya sana. Furaha yangu sasa hivi Palestina kamwe isiwe huru na haitakuwa huru.

R.I.P Joshua na Clemence wakulima namba moja. Msijali mtalipiziwa kisasi tu.


Damu ya wakulima namba moja Joshua na Clemence haitapotea hivihivi nawahakikishia.
Wewe sii ni mshabiki wa vita hayo ndio matokeo ya vita
 
Kuna jambo silielewi hapa, watu wanalaani na bado wanadai kisasi. Hii imekaaje Wakuu?.

Siungi mkono mauaji yoyote ila tuache unafiki na hisia tutumie maarifa sasa.

Watu wengi wanauliwa kwa vita, kutaka kisasi ni sawa na kutaka vita wafe wakwao. Huu ni ujinga.
 
Mkaldayo, taarifa zipo kuwa dogo amekufa. Sasa maswali yangu kuhusu credibility ya source ya hiyo video umeshindwa kuyajibu.

Je ndio yeye kweli huyo Joshua kwenye video?

Je hao wanaooneka kwenye video ni kweli ni HAMAS?

Tupe chanzo kilicho verify hiyo video. Ubalozi wa TZ huko Uyunani wamethibitisha hiyo video?

Sirikali ya wayunani wamethibithisha hiyo video?

Hamkawii kesho kuanza kusema Joshua yupo salama na ile video ilukuwa ya raia wa Ghana akiteswa na kuuwawa na IDF.

Au kweli alikuwa Joshua ila pale chini alianguka tu ila hakuwa amekufa. Maana video imekuwa sensored kwa kinjiwa haionekani mahali mtu akiuwawa kwa risasi au panga. Inaonyesha tu mtu akivutwa na mwisho kalala chini.

Haijaonyesha kama yupo decapitated. Bali yupo tu kalala chini.

Nani anauhakika alielala chini amekufa?

Nani ana uhakika alielala chini ni Joshua?

Hakika hakuna mwenye jibu.

Mimi sio kwamba siumizwi na mtanzania kuuwawa kama inavyosemekana ila I don't easily jump into bandwagons bro.

I have my brains and I put them into use.

View: https://t.me/beholdisraelchannel/24765

View: https://t.me/beholdisraelchannel/24766
 

Raia wasiokua na hatia kila siku wanauawa hapa Duniani,unapoona mauaji kama hayo unatakiwa uyakemee na sio kuyafurahia yanapotokea kwa wenzako ila siku yakitokea kwako ndio unaona uchungu,ndio maana watu hupinga mauaji ya watu wasiokua na hatia hasa Wanawake na Watoto coz usipopinga na kukomesha mauaji ya aina hii,ipo siku na wewe yatakuja kukugusa.
 
TUMIA AKILI

Sio kila mada/topic/jambo unaloliona kwa macho yako ndivyo lilivyo, kiuhalisia linaweza kuwa tofauti kabisa.

Kuna matukio unapoyaona hutakiwi kutanguliza hisia kuya judge, bali akili tu, unapotumia hisia&mihemko unaharibu sehemu ya akili kulitafakali hilo jambo.

The same kwa Tukio hili waTanzania tulitakiwa kutumia akili na sio hisia ili tujue ukweli na undani wa hilo tukio ka kifo.

Dunia ya leo mambo hayatokei kwa bahati mbaya, kuna matukio yanapikwa then yanaachiliwa wazi na kila mtu atatafsiri matukio hayo kulingana na uwezo wa akili yake kuchanganua mambo.

Kuna watakao tumia hisia ambao kwa ulimwengu wa sasa hawa ndio main Target ya mpika matukio maana hawa kwa population ni more than 90% ya watu na hawa ndio wale wasio chambua mambo wala kuyatafakali zaidi ya kuendeshwa na mihemko na hisia kali zinazozalishwa baada ya kuliona tukio ambalo mpikaji alipenda liwe hivyo na lilete matokeo gan kwa jamii baada ya kuona hilo tukio.

Kuna asilimia ndogo sana ya watu ambao hayo matukio yanayoibuka dunian hata yapikwe vipi hayawaendeshi kutumia hisia&mihemko maana wanajua michezo yote ya wajanja.

Anaecontrol media ndiye anaecontrol mienendo mizima ya matukio iwe vipi, na kuteka attention ya watu kiasi gani wakubaliane na ujumbe wa tukio.

Back to topic, kwa anaetumia akili tu na sio mwenye mihemko, ukiitizama hiyo video inaleta maswali mengi na kuibua viulizo kuhusu undani wa kinacholazimishwa kuaminisha watu waamini ndivyo au sio.

[emoji117] labda kinyonga aliponzwa na rangi yake ndipo balaa likampata(kijana huyo huenda hakuwa na tatizo lolote na hao wanaosemekana ni Hamas lkn kwakuwa tu ni mweusi, kama ijulikanavyo watu weusi hawapendwi dunian, hivyo rangi yakeikamponza.

[emoji117] labda nguo yake ya ndani aliyovaa(boksa) yenye rangi ya kijeshi ilimponza kwa kuwafanya hao wanaosemekana ni Hamas kumfyeka kwa kuamini ni miongon mwa mwanajeshi wa kiisrael.

[emoji117]labda nae alikuwa sehemu ya jeshi la siri/mpelelezi kutoka israel ndiomaana kifo kikampata, haimake sense mtu wa kawaida tu kumiliki jezi/vazi la kijeshi.

[emoji117]labda hilo ni tukio la kupikwa na waisrael wenyewe kwa kutafta uungwaji mkono na mataifa yasiyowasapoti kwa kujenga chuki dhidi ya palestina na wanamgambo wa Hamasi, kwa kuua baadhi ya raia wa nchi zisizo isapoti israel na kusingizia ni hamasi wamefanya matukio hayo.

[emoji117]labda ni kweli ni Hamas wametenda hilo tukio lakin bado kunaibuka maswali, haiwezekan raia wa kawaida asiye na siraha wala mjeshi wa kiisrael kuuliwa kinyama vile itakuwa kuna viashiria fulani walivyoviona kutoka kwa huyo raia na kuhisi hatari au mamluki wa kiisrael na hapa tunarudi kule kule kwenye viashiria vya kipelelezi/mamluki kupitia vazi la jezi ya kijeshi au chuki tu ya kibaguzi wa rangi.

Tukio hilo litizamwe kiumakini kwa akili timamu na sio hisia ili tusibase kwenye mihemko na kujikuta tunasapoti ujinga ambao umepikwa na mpikaji katimiza ajenda zake za kueneza chuki.

Hii ni kwaajili ya wenye akili tu na sio vilaza
 
Hawa ndio kila siku humu walikua wanafurahia na kuwashabikia Wayahudi kuua wapalestina wasio na hatia,au Wapalestina wasio na hatia kuuliwa ni sawa? Kama kupinga kuuawa raia wasio na hatia tupinge kwa haki sawa kwa wote na sio kwa ubaguzi.
Hakika hata Mimi sifurahii kuuwawa kwa waisrail wala wapalestina wanazingua Sana kuleta udini katika vifo vya watu
 
Mkaldayo, taarifa zipo kuwa dogo amekufa. Sasa maswali yangu kuhusu credibility ya source ya hiyo video umeshindwa kuyajibu.

Je ndio yeye kweli huyo Joshua kwenye video?

Je hao wanaooneka kwenye video ni kweli ni HAMAS?

Tupe chanzo kilicho verify hiyo video. Ubalozi wa TZ huko Uyunani wamethibitisha hiyo video?

Sirikali ya wayunani wamethibithisha hiyo video?

Hamkawii kesho kuanza kusema Joshua yupo salama na ile video ilukuwa ya raia wa Ghana akiteswa na kuuwawa na IDF.

Au kweli alikuwa Joshua ila pale chini alianguka tu ila hakuwa amekufa. Maana video imekuwa sensored kwa kinjiwa haionekani mahali mtu akiuwawa kwa risasi au panga. Inaonyesha tu mtu akivutwa na mwisho kalala chini.

Haijaonyesha kama yupo decapitated. Bali yupo tu kalala chini.

Nani anauhakika alielala chini amekufa?

Nani ana uhakika alielala chini ni Joshua?

Hakika hakuna mwenye jibu.

Mimi sio kwamba siumizwi na mtanzania kuuwawa kama inavyosemekana ila I don't easily jump into bandwagons bro.

I have my brains and I put them into use.
Mkuu Mimi Nina video ambay ipo 45 min

Huyo alipigwa risasi almost nane kifuani

Na kwa uchungu wenye ganzi ya maumivu za risasi alipapatika kwa kuinua mikono walau kwa sekunde mbili ila alishindwa mana nguvu na haraka za umauti zilimuawai

Kuhusu kuwa Yule ni mhusika hapo ndio kuna kipengere maana

Ukiangalia vizuri unaona kama watu tofauti katika tukio tofauti inaumiza mno

All in all serikali hapa umetupiga na kitu kizito kichwani
 
Mzuka wanajamvi.

Najuta kuingalia hii video ya kaka yetu Joshua Mollel aliyetekwa na kuuwawa kikatili bila huruma huku hawa manyani wakishangilia na kumtukuza mungu wao.

Imenifanya niwe na trauma na chuki dhidi ya hawa binadamu.

Sina uwezo tu ila nawaombea laana na kamwe hawatakuwa huru.

Kwaanzia leo Sitachanganyikana na mwarabu yoyote wala kusalimiana hata akiwa mkristo.

Sitanunua bidhaa yoyote inayozalishwa na mwarabu yoyote.

Sitaenda tena kwenye mabucha yao ya halal na migahawa yao ya mipizza kebab.

Nimejisikia vibaya sana. Furaha yangu sasa hivi Palestina kamwe isiwe huru na haitakuwa huru.

R.I.P Joshua na Clemence wakulima namba moja. Msijali mtalipiziwa kisasi tu.


Damu ya wakulima namba moja Joshua na Clemence haitapotea hivihivi nawahakikishia.
Chukia wote, nachukia dini zote, nawaza kwanin wazee wetu walishindwa kutetea mira na desturi zetu hadi tumejikuta mikononi mwa hawa wauaji

Dini zao zimefeli hata kutufanya tuwe na viongozi wa damu walio na uchungu na vizazi vya dam zao
 
Kwa comments za watu online nimeogopa kuiangalia, halafu ukisoma comments za wafuasi wa dini ya Mwarabu wanavyochekelea, yaani ni mazombi yaliyouza nafsi zao kwa Mwarabu na shetani, hayana uzalendo.
 
Kwa comments za watu online nimeogopa kuiangalia, halafu ukisoma comments za wafuasi wa dini ya Mwarabu wanavyochekelea, yaani ni mazombi yaliyouza nafsi zao kwa Mwarabu na shetani, hayana uzalendo.
Usiangalie, ni unyama sana...
 
Si upo Denmark wewe mbona mawazoyako kama upo Nyarugusu...hivi hujawahi kuona wasouth Africa wakifanyia unyama waafrika wenzao??? Au chuki zako ni kwa hao wapambania uhuru wao...Kama si unyama na ukandamizaji wanaoufanya Israel hayo yangetokea?? Hapo ulipo kwa wenye akili mbona kilasiku wanaandamana on behalf of Palestina?? Huna uwezo wa kukwepa madukayao ya halali labda uhame na urudi Nyarugusu.
Mwarabu wa Namtumbo malaya wewe
 
Hiyo clip bado haijawa verified na mamlaka yeyote ile,kuna watu wala hawamjui huyo Joshua kwa sura ila wanaunga tela tu,

Si ajabu hata wewe humjui kwa sura huyo Joshua bali na wewe umepitiwa tu na huu upepo ukaunga tela,subiri mpaka hiyo clip iwe verified na mamlaka husika,nowadays kila kitu kinaweza kua fabricated kwa lengo maalum,

Nje ya mada,unajua kua Israel imeua mpaka wasiokua raia wa Palestina kwenye hii vita?
Kama magaidi Hamas wanapigana kwa kujificha nyuma ya raia unategemea nini mkuu? Si ndio hao wamechimba mahandaki kwenye hospital na shule?

Si ndio magaidi huwatumia raia kama ngao?
 
Back
Top Bottom